Usijaribu kumpiga paka teke

Habari za jioni.

Baadhi ya paka na mbwa hawapigwi ovyo.Ukimpiga teke usiku utakiona kilicho mtoa mbuni manyoya.

Kama huamini Fanya kama unajaribu vile.Nilikutana na kisanga hicho Muheza Tanga.
Pole mkuu
 
Habari za jioni.

Baadhi ya paka na mbwa hawapigwi ovyo. Ukimpiga teke usiku utakiona kilicho mtoa mbuni manyoya.

Kama huamini fanya kama unajaribu vile. Nilikutana na kisanga hicho Muheza, Tanga.
Mkuu sasa huko Tanga na sumbawanga si ni miji ya wachawi? Unaanzaje kupiga paka teke, jaribu hata kupiga kifuu tu uone shughuli yake
 
"Hakuna uchawi mbele ya Yakobo" hesabu23:23 hayo ni mawazo yako tu hayana ukweli wowote uchawi ni elimuj duni haina nguvu kama wengi wanavyodhani na huwezi kurogwa pasipo na ww mwenyewe kuamini au kukubali kama unaweza kurogwa nishapiga sana paka shume na hakuna lolote
 
Habari za jioni.

Baadhi ya paka na mbwa hawapigwi ovyo. Ukimpiga teke usiku utakiona kilicho mtoa mbuni manyoya.

Kama huamini fanya kama unajaribu vile. Nilikutana na kisanga hicho Muheza, Tanga.
Ni kwa baadhi ya maeneo
 
Uchawi upo!! Milele na ni elimu kama kawaida mpaka mwamposa ni mchawi wakina Anthony lusekelo wote
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…