uvugizi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,351
- 1,099
Dunia hii tunaishi katika effect yaani vyote tunavyoviona ni matokeo .
Ukiwa mjinga utaanza kudeal na Matokeo badala ya kuangalia sababu .
Mtu yeyote aliyezaliwa , amezaliwa kwa sababu , kuzaliwa kwako kunakuwa Marked na Matokeo.
Wengi wetu tunajua tumekuja duniani Tufurahie dunia na Mungu anapenda hilo na ndiyo maana anasema anatuwazia mema ( yeremia 29;11).
Synthetic happiness ndicho tunachotafuta yaani furaha ya matokeo mfano umepata gari , umefaulu mtihani , umeokota hela, umejenga nyumba, nk . lakini siku ukijua kusudi la kuishi kwako duniani unaweza ukawa umepata vyote na kuwa na furaha maisha yako yote .
Daima kumbuka unachohangaikia kitakuhangaisha, palipo na Baraka , ujue Baraka huyo ndiyo ana control mtiririko siyo juhudi zako.
Be inspired
Ukiwa mjinga utaanza kudeal na Matokeo badala ya kuangalia sababu .
Mtu yeyote aliyezaliwa , amezaliwa kwa sababu , kuzaliwa kwako kunakuwa Marked na Matokeo.
Wengi wetu tunajua tumekuja duniani Tufurahie dunia na Mungu anapenda hilo na ndiyo maana anasema anatuwazia mema ( yeremia 29;11).
Synthetic happiness ndicho tunachotafuta yaani furaha ya matokeo mfano umepata gari , umefaulu mtihani , umeokota hela, umejenga nyumba, nk . lakini siku ukijua kusudi la kuishi kwako duniani unaweza ukawa umepata vyote na kuwa na furaha maisha yako yote .
Daima kumbuka unachohangaikia kitakuhangaisha, palipo na Baraka , ujue Baraka huyo ndiyo ana control mtiririko siyo juhudi zako.
Be inspired