heshima yako mkuu
Ni kweli kwamba binadamu anabadilika kulingana na hali ya maisha, mahali, nafasi, uwezo, nk. Lakini kwa binadamu mwenye utu moyoni, na mwenye hofu ya mungu moyoni mwake, mazingira yoyote hayataweza kumbadilisha. Watch it out.
ni wachache wanaoweza kuchunguza yote hayo