Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,627
Twende mbele , turudi nyuma! Huwezi kuwa serikalini unasubiri mafao ya 200+Mil ukiwa kwenye umri wa miaka 55 hadi 60, na wakati huo wote wa kuitumikia serikali, unalipwa laki 9 hadi 1mil per month.
Private mtu ana mkataba wa miaka 3, Kwa mwezi anakinja 5mil, safari kibao, posho kibao, hakuna kukopwa hata kidogo.
Sasa bora wapi?
We need money now, we need to do things now, not at very late age.
Kwanza at late age, utakuwa unaona, utakuwa unatembea, utakuwa na nguvu za kuamka mapema na kufanya kazi?
Do it now.
Wazo tu hili.
Private mtu ana mkataba wa miaka 3, Kwa mwezi anakinja 5mil, safari kibao, posho kibao, hakuna kukopwa hata kidogo.
Sasa bora wapi?
We need money now, we need to do things now, not at very late age.
Kwanza at late age, utakuwa unaona, utakuwa unatembea, utakuwa na nguvu za kuamka mapema na kufanya kazi?
Do it now.
Wazo tu hili.