Usidanganywe ewe Muislamu

Status
Not open for further replies.
Wew jamaa sasa ndo umeandika nini hiki?
Faiza alisema waislam hatuna chuki na mtu yeyote...(maana yake tunapenda watu wote)
Mimi nikamwambia wewe ni nani upende kila mtu wakati allah mwenyewe anapenda waislam tu na kuchukia wasio waislam??
Nikaweka na aya hiyo.

Sasa wewe tena unaanza kuniambia stori sijui isa sijui yesu mimi hayo haijalishi au unataka kuniambia kuna dhehebu lingine tofauti na islam wanaamini yesu ni nabii wa mungu na muhamad ni nabii???
Hata kama lipo hilo dhehebu basi tuliunganishe nalo tuseme allah anapenda watu wa kwenye hilo dhehebu pamoja na waislam...bado haibadilishi fact kuwa allah hawapendi watu wengine waliobakia i.e wayahudi,wakristo,wahindu,wabudha,wapagani n.k

Kwahiyo sentesi ya faiza kusema sisi waislam hatuna chuki na mtu yeyote ni ULONGO.
 
Wanahofia vizazi visitambue kama uislamu ndio uliyopigania Uhuru na ilikuwa na nguvu Tanganyika.
 
Ubarikiwe sana mleta mada na Mungu,utafungua viziwi na vipofu wengi sana wa masuala ya kidini hapa. Asante sana kwa uzi mzuri
 
Sasa mbona mnaswali swala tano ilhali quran imeandika mswali tatu?
Mkuu ni wapi quran imesema watu waswali tatu? Imesema shikeni/simamisheni/dumisheni swala. Namna na idadi imeelekezwa na Mtume wake. Mi nilidhani unaujua Uislamu
 
Kama waislamu Wana chuki na wakristo Nani alikataa mahakama ya kadhi isiwepo nchini,Kama si wakristo,mbona haiwahusu na waaliikataaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani aliyepanga serikali isiwe na dini ni mkristo au muislam?
Sasa ikishakuja mahakama ya kadhi hapo serikali imeanza kuwa na udini (mahakama ni nguzo ya serikali)

Halafu mbona kuna waislam wengi tu waliipinga hiyo mahakama,,nakuhakikishia hata hapa tz wakisema waislam tu wapige kura hiyo mahakama inaweza isipite kwasababu wengi ni wazinzi na wala ngurue na wanatamani uhuru wa kuchagua maisha,hawapendi kuwa watumwa wa dini (mfano sheria kuwa ukiacha dini sharti uuwawe)...wewe huoni watu wanakimbia saudia arabia kwenda kuishi marekani kwa amani.

Nje ya mada lakini eti swali!!!
Kwamfano mkristo akizini na mwanamke wa kiislam wakadakwa,,According to hiyo mahakama ya kadhi adhabu itakuwaje?
 
Hahah wew ni comedian
Jamaa yuko sahihi....mashujaa wa nchi hii wengi wao walikuwa waislamu....hata wazee walioanzisha vuguvugu la kupigania Uhuru walikuwa ni waislamu...acha kashfa uislamu ni dini yenye nguvu Tanzania....ndiyo maana hamuishi kuifatilia Mara utasikia wanacheza kareti Mara hivi mnahofu sana juu uislamu.
 
Wanahofia vizazi visitambue kama uislamu ndio uliyopigania Uhuru na ilikuwa na nguvu Tanganyika.
Vikitambua vitakufa?
Kuna mtu alishakukataza kuandika mohamed kinjektile? Au
Aman abeid karume?
 
Mkuu ni wapi quran imesema watu waswali tatu? Imesema shikeni/simamisheni/dumisheni swala. Namna na idadi imeelekezwa na Mtume wake. Mi nilidhani unaujua Uislamu
Hahah kwani unahisi watu wanabahatisha eti?? Kuna madhehebu ndani ya uislam wanaswali mara tatu tu. Soma
Quran 11:114
 
Utajua tu, kama hujui,..

kwanza hiyo Aya uliyoiweka hapo juu 30:44 umepotosha tafsiri yake

Halafu sifikirii kama wewe ni HINDU au BUDDHIST..

Mungu wa waislamu hana chuki na yoyote au chochote kile..

Ulongo=Uwongo
 
Hahah kwani unahisi watu wanabahatisha eti?? Kuna madhehebu ndani ya uislam wanaswali mara tatu tu. Soma
Quran 11:114
Mkuu naomba nitoe darsa kidogo. 11: 114 tafsiri ya sheikh Abdalla Saleh Farsi: Na simamisha sala katika ncha mbili za mchana (nayo ni Adhuhuri na Laasiri) na nyakati za usiku zilizo karibu na mchana. (Nayo ni Magharibi na Isha - ziko karibu na mwisho wa mchana; na Alfajiri iko karibu na mwanzo wa mchana). Hakika mema huondoa maovu. Huu ni ukumbusho kwa wanaokumbuka. (Haya ni mawaidha kwa wanaukubali kuwaidhika)." Hii ndo quran. Kwa mujibu wa aya 114 ya quran 11 sala ni tano (5) na siyo tatu(3).
 
Hahah daah poa man.....kaz kweli kweli
 
Utajua tu, kama hujui,..

kwanza hiyo Aya uliyoiweka hapo juu 30:44 umepotosha tafsiri yake

Halafu sifikirii kama wewe ni HINDU au BUDDHIST..

Mungu wa waislamu hana chuki na yoyote au chochote kile..

Ulongo=Uwongo
Mr. Mimi sio punga sawa??
Kama nimepotosha aya je ukweli wake ni upi??
Kwahyo ukweli wake ni kuwa allah anapenda wasiomuamini?

Kwanza usiassume dhehebu langu,hata "tukiassume" mimi ni mkristo
Kuna mkristo anaamini yesu ni nabii tu na muhamad ni nabii wa Mungu??
Kama hayupo basi wakristo ni makafiri a.k.a disbeleivers
Na kwa msingi wa hiyo aya ya quran, Allah hawapendi a.k.a anawachukia wakristo wote na binadamu wengine waliobakia kasoro waislam tu.
 
Duuh,mkuu unaonesha unachuki ya wazi kabisa
Kwenda mpumbavu wewe,ajira munapeana kwa ukristo,teuzi za nyadhifa za juu munapeana kwa ukristo halafu unachora watu,munatengenza kundi lisilo na chakupoteza,mutavuna chuki,dhulma na ukandamizaji wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mtu haujitambui!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemalizia vyema sana,tuwe kitu kimoja
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna dini inayoitwa "Ukristo", Yesu hajawahi sema kuwa anachokihubiri ni Ukristo..

"Kristo" ni neno la KIGIRIKI lenye Maana "MPAKWA MAFUTA",..

Sasa jiulize hii dini inayoitwa Ukristo imetokea wapi au kaileta nani?..

Wewe kama ni Mkristo basi ni mfuasi wa Paulo sio Yesu, kwani Paulo ndie alianzisha hiyo dini..
 
Kiukweli middle East crisis ni swala la kisiasa na si dini.Mashehe kuwajaza vijana chuki dhidi ya wakristo si sawa. Wakristo hata palestina wapo.Ingekuwa ni crisis yakidini ule msikiti wa Jerusalem ungesha vunjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikupe darsa la darsa lako
Huyo mtafsiri wa kiswahili alikosea na Hilo neno apo wa-zulafan ilitakiwa iwe na katika wakati sio katika nyakati..
Ndomana translations za kiingereza sahih inasema and at the approach of night
Haijasema at the approaches of the night.
Au unaweza kusema at the first part of the night au early hours of the night bado haibadili maana....sio early PARTS of the night hapo inabadili maana
Kwahiyo hapo salat ya usiku ni moja tu na sio nyingi kama Zinavotungwa..
Swala tatu ni hizi tu

1- Salat Al-Fajr 24:58

2- Al-Salat Al-Wusta 2:238

3- Salat Al-Isha 24:58

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…