Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,343
Keshapewa bahasha ya khaki huyu mkuu.Acha kumpigia chapuo, mbona upande mbaya wake hujauweka? Au hausikii tuhuma tuhuma za rushwa na upigaji unaomuhusu?Yeye siyo Mungu wala tajiri pekee Anayeweza kuisaidia yanga, ni muda muafaka sasa yanga kujisajili kama kampuni, siyo kumkodisha mtu mmoja timu bila kuwa na uhakika akimaliza mda wake nini kitafuatia.
Tatizo mnapenda sana kulamba makalio ya wenye fedha, yanga ina uwezo wa kugenerate mapato yatakayoiwezesha kuwa club kubwa africa, inahitaji viongozi waendeshaji wazuri si kwa kuwa mtu ni mwanachama tuu wa siku nyingi au ana hela mnamchagua kuwa mwenyekiti
Kwanza anatakiwa aondoke na jopo la viongozi wote waliopo sasa yanga ipate viongozi wapya, hatuwezi kuwa na viongozi wenye mentality za kipuuzi kabisa, wanaowaza kwenda quality plaza kuvuta pesa kwa mwenyekiti, Yangs inahitaji visionary leaders watakaoitoa katika hali ya utegemezi wa mtu mmoja.
Hivi uyo manji baada ya kupewa timu, Mungu akamchukua yanga itakuwa wapi?au baada ya miaka miwili akasusa tutafanya nini?mtu mwenyewe anasusa susa kama mtoto wa kike