Usichokijua kuhusu Yusuf Manji

Acha kumpigia chapuo, mbona upande mbaya wake hujauweka? Au hausikii tuhuma tuhuma za rushwa na upigaji unaomuhusu?Yeye siyo Mungu wala tajiri pekee Anayeweza kuisaidia yanga, ni muda muafaka sasa yanga kujisajili kama kampuni, siyo kumkodisha mtu mmoja timu bila kuwa na uhakika akimaliza mda wake nini kitafuatia.

Tatizo mnapenda sana kulamba makalio ya wenye fedha, yanga ina uwezo wa kugenerate mapato yatakayoiwezesha kuwa club kubwa africa, inahitaji viongozi waendeshaji wazuri si kwa kuwa mtu ni mwanachama tuu wa siku nyingi au ana hela mnamchagua kuwa mwenyekiti

Kwanza anatakiwa aondoke na jopo la viongozi wote waliopo sasa yanga ipate viongozi wapya, hatuwezi kuwa na viongozi wenye mentality za kipuuzi kabisa, wanaowaza kwenda quality plaza kuvuta pesa kwa mwenyekiti, Yangs inahitaji visionary leaders watakaoitoa katika hali ya utegemezi wa mtu mmoja.

Hivi uyo manji baada ya kupewa timu, Mungu akamchukua yanga itakuwa wapi?au baada ya miaka miwili akasusa tutafanya nini?mtu mwenyewe anasusa susa kama mtoto wa kike
Keshapewa bahasha ya khaki huyu mkuu.
 
Hao wahindi baada kashindwa kwenye siasa wamekuja kwenye mpira kwa kasi ya ajabu, baada ya kugundua ndio sehemu iliyobaki ya kupiga hela.

Hapo mwanzo walipiga hela kwenye hizi klabu zetu baadaye wakaona siasa inalipa zaidi kuliko mpira wakaenda kwenye siasa, Sasa walipoona mianya kwenye siasa imefungwa hao mbia wanarudi kule kwenye mpira kupiga tena, kwa sababu kwenye klabu zetu bado kuna mianya mingi ya kupiga deal.

Acha ubaguzi wewee,haya mambo yashapitwa na wakati, toa hoja na sio unaongea ka umenyeshwa wiski
 
Mimi sio mpenzi wa ligi zetu, na haitatokea nishabikie timu yeyote hapa kwetu....lkn mitanzania bana hainaga shukurani hata ifanyiwe mema gani itabaki kulalama tu,na kuchongosha midomo ndio maana maendeleo hakuna huo ndiyo ukweli halisi.

Ukweli ni kwamba Manji kaisimamia yanga vilivyo, hapo mwanzo haikuwa hivyo.
Mkuu Black Panther asante sana kwa kuwa neutral na mkweli kuliko panya wengi kwenye uzi huu
 
Nkiripoti live kutoka kwenye PR office ya Quality group ni mimi Sunil gok wa FixTV
 
Duh...! thanx for the info brahhhhhhh!!! Hata mimi mtu wa Simba imenigusa hii. Hadi EBOLA.
 
Amekupa tsh ngap au ndo zile zile lak lak ...njaa mbaya sana. Unaweza jikuta mwanaume unatembea unamsifia mwanaume mwenzio kwa kukulishia familia yako kama taahira.



Kwanza kabisa fahamu kwamba Yusuf Manji alichaguliwa na wanayanga mwaka 2012, Yanga ikiwa haifanyi vizuri katika mpira ukilinganisha na wahasimu wake Simba. Baada tu ya Yusuf Manji kuingia madarakani, mwaka 2012 Yanga ikatwaa ubingwa wa Ligi Kuu. Tangia kipindi hicho hadi sasa Yanga imeshatwaa ubingwa mara 3.

Hivi karibuni watu wamezua sintofahamu juu ya adhma ya Yusuf Manji Jangwani. Nia na madhumuni ya Manji kwa Yanga ni kuwekeza ili klabu iwe na uwezo mkubwa zaidi na siku moja iweze kushindana kimataifa na hata iweze kutwaa ubingwa wa Afrika.
Kuna mambo mengi ambayo watu wengi hawajui kuhusu Yusuf Manji. Yeye kama Mwenyekiti ndiye aliyependekeza na kuwezesha kupandishwa mishahara kwa wachezaji pamoja na benchi la ufundi iliosababisha kwa namna moja au nyingine kuleta mafanikio ya Yanga tunayoiona leo.

Fahamu kwamba mkataba kati ya TBL na Yanga ulipokwisha muda wake mwaka huu, hakuna hata kampuni moja iliyojitokeza kwa ajili ya udhamini mpya. Manji kwa mapenzi yake akaona aende kuiombea Yanga udhamini kutoka katika kampuni ambayo alishawahi kuwa mwenyekiti wake.
Kwa kuangalia yote ambayo Manji ameyafanya kwa kujitoa kwa hali na mali, inashangaza kwamba mtu anaweza simama akasema kwamba kuna dalili za rushwa wakati hata huko nyuma, Manji alifanya mambo yote kwa uwazi kabisa. Tujiulize, ufisadi ni kutoa au kuchukua hela? Na je Manji amekuwa akitoa au kuchukua hela Yanga?

Kwa mapenzi yake kwa klabu pamoja na mpira wa Kitanzania, Manji amekua akichangia kwa kiasi kikubwa lakini leo watu ambao hatujawahi kuwasikia wakichangia lolote kwenye mpira wanapaza sauti na kuleta kashfa zisizokuwa na ushahidi wowote. Wanamichezo wenzangu pamoja na wapenzi wote wa mpira, tuwakatae watu wa haina hii kwa nguvu zote.

Mafanikio waliyoyapata Yanga ndani ya kipindi ambacho Manji amekuwa mwenyekiti sio yakuyabeza hata kidogo, tukifanya mchezo tunaweza rudi kule tulipotoka. Si unajua msemo wa adui yako muombee njaa? Ndio wanachotuombea watani wetu.
Mwezi Julai 2016 Yusuf Manji alichaguliwa na wanachama wa Yanga kwa asilimia 100 kuwa mwenyekiti kwa kipindi cha pili mfululizo. Hii inadhihirisha ni jinsi gani wanachama wa Yanga walivyo bado na imani na mwenyekiti wao.
Watu watambue kwamba Manji hajaanza kujihusisha au kuichangia Yanga mwaka 2012 pindi alipoutwaa uwenyekiti bali alianza kipindi cha nyuma zaidi na Yanga imekua ikinufaika kwa miaka mingi sana.

Ukiachana na mpira Yusuf Manji pia amekua na mchango mkubwa sana hapa Tanzania. Kupitia makampuni yake ameweza kuwapatia ajira Watanzania wengi sana. Licha ya hayo yote, pale anapojaribu kuwekeza upande wa pili wa michezo watu wanaleta hoja za kumpinga na kutaka kudhoofisha azma yake ya kutaka kuleta mabadiliko yenye tija.

Yusuf Manji amekuwa ni mwanzilishi wa “Africa Against Ebola Solidarity Trustee“ ambayo ilikua chini ya uangalizi wa Thabo Mbeki ilyokuwa na lengo la kutokomeza Ebola barani Afrika. Manji ameweza kusimamia na kufanikisha uchangishwaji wa mamilioni ya pesa na yeye akiwa mmoja kati ya wachangiaji wakubwa katika mfuko huo. Hata baada ya kufanya yote hayo, Manji hajawahi kujitangaza kwa hayo yote ambayo ameyafanya.

Dunia imekuwa ikitambua michango ya Yusuf Manji na hadi kumpa tuzo mbalimbali. Mfano, mwaka 2015 alipewa tuzo ya Iconic business leader of the year ambayo pia alishawahi kupewa pia Sheikh Ahmed Bin Saeed Maktoum, Chairman and CEO of Emirates na watu wengine wengi maarufu.
Katika siasa aliamua kuingia katika kinyanganyiro cha udiwani ambao watu wengi walidhania ni cheo kidogo kwa mtu mwenye wadhifa wake lakini alifanya hivyo ili kuweza kuwafikia zaidi watu kwa ukaribu. Amekua akichangia sana katika sekta ya Elimu Mbagala Kuu. Licha ya haya yote anayofanya bado kuna watu wanaamua kumvunja moyo kwa kupinga mipango ambayo anataka kuendelea kuitekeleza kwa ajili ya jamii ya Tanzania.
Yusuf ambae amekaririwa na Saleh Jembe Blog kuwa “wamuache amechoka” ni kuonyesha kuwa yeye pia ni binadamu na anaumia kama wanavyoumia binadamu wengine.

Pale mtu anapoamua kuchangia pesa zake binafsi kwa ajili ya jambo jema,hatuna budi wananchi pamoja na viongozi kumtia moyo na kumpa ushirikiano ili azma iweze kufikiwa. Yusuf Manji hajawahi kuchukua kitu chochote Yanga wala hajawai kuomba kitu kutoka kwa Yanga au wanachama wake zaidi ya ushirikiano.

Hatuna budi kumwachia Manji akaendelea kuiboresha timu yetu iwe ya kimataifa zaidi na kutufanya wana Yanga tuendelee kufurahia ushindi na wapenzi wa mpira nchini wakijionea Yanga inavyosonga mbele. Maana nyuma sie kwetu mwiko.

View attachment 383886
 
Acha kumpigia chapuo, mbona upande mbaya wake hujauweka? Au hausikii tuhuma tuhuma za rushwa na upigaji unaomuhusu?Yeye siyo Mungu wala tajiri pekee Anayeweza kuisaidia yanga, ni muda muafaka sasa yanga kujisajili kama kampuni, siyo kumkodisha mtu mmoja timu bila kuwa na uhakika akimaliza mda wake nini kitafuatia.

Tatizo mnapenda sana kulamba makalio ya wenye fedha, yanga ina uwezo wa kugenerate mapato yatakayoiwezesha kuwa club kubwa africa, inahitaji viongozi waendeshaji wazuri si kwa kuwa mtu ni mwanachama tuu wa siku nyingi au ana hela mnamchagua kuwa mwenyekiti

Kwanza anatakiwa aondoke na jopo la viongozi wote waliopo sasa yanga ipate viongozi wapya, hatuwezi kuwa na viongozi wenye mentality za kipuuzi kabisa, wanaowaza kwenda quality plaza kuvuta pesa kwa mwenyekiti, Yangs inahitaji visionary leaders watakaoitoa katika hali ya utegemezi wa mtu mmoja.

Hivi uyo manji baada ya kupewa timu, Mungu akamchukua yanga itakuwa wapi?au baada ya miaka miwili akasusa tutafanya nini?mtu mwenyewe anasusa susa kama mtoto wa kike

Kwa sasa unafikiri kiongozi gani mwenye vision ya kuipeleka yanga mbele?...mm simuoni hata mmoja kwa sasa ni bora manji apewe timu sio kila kitu unachokisikia ni kweli...akili za kuambiwa changanya na zako.
washabiki wengi wa simba wanataka mamni asuse ili tusifanye vizuri wapate cha kusema....nasema hvi mwacheni Manji na yanga yetu.
 
Kwa sasa unafikiri kiongozi gani mwenye vision ya kuipeleka yanga mbele?...mm simuoni hata mmoja kwa sasa ni bora manji apewe timu sio kila kitu unachokisikia ni kweli...akili za kuambiwa changanya na zako.
washabiki wengi wa simba wanataka mamni asuse ili tusifanye vizuri wapate cha kusema....nasema hvi mwacheni Manji na yanga yetu.
Kweli kabisa mkuu
 
Amekupa tsh ngap au ndo zile zile lak lak ...njaa mbaya sana. Unaweza jikuta mwanaume unatembea unamsifia mwanaume mwenzio kwa kukulishia familia yako kama taahira.
Mimi ni shabiki namba 1 wa Yanga. Ningekua nalipwa wala nisingekuja hapa jf mkuu
 
Ukweli upo pale pale... Mpira bila hela uendi mbele! watu ambao wapo tayari kutoa hela ni wachache, sasa awewezi wakawa wanatoa tu bila kupewa nguvu Fulani zakuhakikisha hela hizo zinatumika sawasawa! Mtu kama Huyu anavyojitolea, ni haki kabisa kupewa Yanga kwa mda. kama Yanga wataona aina faida kwao si watairudisha timu yao
 
Back
Top Bottom