Usichokijua kuhusu juice ya miwa

Unawezaje kununua gari la mil 20 alafu unashindwa kwenda sehemu classic ya kupata hiyo uduma hadi uende vichochoroni au kwenye vibanda pembeni mwa barabara

Hakika wewe ni mgeni hapa mjini, mbona mkuu wa Uhasama wa Taifa bwan Othman tunagonga naye supu ya pweza Coco kwenye vibakuri vya plastic?
 

Offisi zinatofautiana. Njoo uone
 
Asante sana mkuu.....
 
Hakika wewe ni mgeni hapa mjini, mbona mkuu wa Uhasama wa Taifa bwan Othman tunagonga naye supu ya pweza Coco kwenye vibakuri vya plastic?

Mkuu watu wa bara wana taabu sana.yani hapo kwenye pweza napo umenichanganya huwa nawafata magomeni mikumi au Temeke mwisho stand pale au buguruni tawi la Yanga au Tbt lerini Pweza bwana raha sana jaribu na Ngisi mkuu watamu sana.kuhusu Juice ya miwa sio mchezo mimi huwa napenda lile grasi kubwa halafu iwe mixer stand ya congo ukipita round about ya uhuru km unaenda mnazi mmoja au tandika kwa wapemba hizi mambo watu wa kutoka mikoani huko hawajui wakuu
 
Huku pweza nzi, kule mbatata za urojo, unashushia na juice ya muwa saafi kabisa. Muhimu kuangalia kutokula au kunywa sehemu zisizo safi.
 
Kutokana na title yako hapo juu nilitegemea kusoma athari za juice ama composition ya hiyo juice kumbe unazungumzia mazingira ya hiyo juice inavyotengenezwa!Wamekusikia wadau
 
Unawezaje kununua gari la mil 20 alafu unashindwa kwenda sehemu classic ya kupata hiyo uduma hadi uende vichochoroni au kwenye vibanda pembeni mwa barabara
Una uhakika gani kwamba hiyo gari ni lake? akili ndogo hii!
 
Kutokana na title yako hapo juu nilitegemea kusoma athari za juice ama composition ya hiyo juice kumbe unazungumzia mazingira ya hiyo juice inavyotengenezwa!Wamekusikia wadau

Kumbe mpo? mnaotumia gari za shemeji zenu!…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…