Kuna siku nilikunywa juice pale mamzese mida ya saa tatu usiku......dah!!!.....asubuhi tumbo lilivuruga mbaya mpaka nikashindwa kwenda kibaruani...siku hiyo ilibidi nishinde nimevaa msuli bila nguo ya ndani ili kuokoa muda wa kuvua nguo nikifika makao makuu maana speed yake ni kali unaweza ukayaacha mlangoni......ilikuwa noumer sana......