masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,800
- 16,817
- Thread starter
- #21
hapana my dear namuomba mungu sana kuvua sketi ni jambo la mwisho sana
hapana my dear namuomba mungu sana kuvua sketi ni jambo la mwisho sana
nganashe masai dada kanyoo doi, tawala meeki le mutandao me sidai, itoning'o?
jamani kwa nini mnatangaza kutaka wachumba alafu mnafanya mambo ya ajabu,,,nilifatilia post ya kaka mmoja wiki kama mbili zilizopita alisema anatafuta mchumba sasa baada ya kuchat nae kwa muda leo hii tukapanga tukutane kuzungumza cha ajabu ananiambia eti uje uage kabisa haurudi ili twende club tutarudi usiku CLUB?????????? hivi kweli unataka mke ama??? yaani umenifadhaisha natamani nikutaje hapa,, alafu jingine ni kwamba na mimi nilipost lakini naona wengi wanaokuja pm wanafanya games jamani hivi msaada hapa kabla hujafika mbali na mtu utajuaje kama ancheza na hisia zako? maana siku hizi watu wana janja nyingi
hapana my dear namuomba mungu sana kuvua sketi ni jambo la mwisho sana
kama umemshika kweli atakuongoza
Pole sana dada yangu humu wengi hawatafuti wachumba ila wanatafuta wanawake wa kuwagegeda halafu waje wajisifu humuhumu kwa hiyo inahitaji kuwa muangalifu sana la sivyo utaishia kugegedwa na mume usipateyaaani mungu atusamehe bure
pole sana...utampata tu mwenza sahihi kuwa na subira na muombe mungu pia 🙂eti mwishoni akanambia hutaki twende club sabab una mambo mengi eti ujiamini....jamani siwez kwenda huko mimi kwanza sijawah na nadhan ni sehem hatari lakini pia nadhani watu wanavaa bila heshima na kuna pombe jamni mimi pombe sinywi yaani nahisi hasira na njaa pia na huzuni
hapana ninaishi na kuendesha maisha yangu vizuri tu,,na kwa nini niombe pesa wakati naweza kuitafuta mi nataka upendo tu