Umejitahidi ila hukuwa muwazi, coz kizungu hatukijuwi.
Maelezo ya ziada: Ni mchezo usiyo na refa wala shuhuda. Ktk mwangaza unachezeka pia ktk giza unanoga.[/QUOTE]
Yaani unafafanua namna hiyo unafikiri watu hawajaelewa?Nionavyo, watu wengi humu hawapendi utani unaohusisha mambo ya ngono