Luhamba II
Senior Member
- Mar 22, 2025
- 126
- 186
Fee za usajili wa Kampuni BRELA, zinatofautiana kulingana na capital ya Kampuni.
Kwa capital ya 1M mpaka 4M Brela wataku charge 222,200.
Kwa capital ya 5M mpaka 10M Brela watacharge Tsh. 333,000.
Watu wengi sana wanabana capital ili walipwe fee ndogo lakini hii huleta effect kwenye biashara unapotaka kujipanua au kuleta investor.
Utatakiwa ku amend taarifa zako kila mara, na mara zote hizi utalipia fee Brela.
I hope this helps
Hey, naitwa Luhamba Mimi ni mwanasheria na agency freelancer nawasaidia wafanya biashara kama wewe kusajili biashara leseni na Kampuni.
Kama unahitaji consultation zaidi kuhusu usajili wa Kampuni na biashara unaweza kunitumia ujumbe WhatsApp kupitia namba hizi
0678131068
Your Favorite Lawyer.
Kwa capital ya 1M mpaka 4M Brela wataku charge 222,200.
Kwa capital ya 5M mpaka 10M Brela watacharge Tsh. 333,000.
Watu wengi sana wanabana capital ili walipwe fee ndogo lakini hii huleta effect kwenye biashara unapotaka kujipanua au kuleta investor.
Utatakiwa ku amend taarifa zako kila mara, na mara zote hizi utalipia fee Brela.
I hope this helps
Hey, naitwa Luhamba Mimi ni mwanasheria na agency freelancer nawasaidia wafanya biashara kama wewe kusajili biashara leseni na Kampuni.
Kama unahitaji consultation zaidi kuhusu usajili wa Kampuni na biashara unaweza kunitumia ujumbe WhatsApp kupitia namba hizi
0678131068
Your Favorite Lawyer.