matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,587
- 15,373
Sijui kama ni Bongo au dunia nzima. Adui wa kudumu wa kukufanya uwe na taadhari ni wivu kwa wanaokuzunguka.
Usiwe mwepesi kufunguka kwa kula mtu. Hata aliyefanukiwa na tajiri akiona unapiga kahatua kidogo tu moyo unalipuka qnataguta namna ya kukupiga pini.
Ujumbe ni kwamba Ukiacha Mjngu mwingine ambaye hataona wivu ukimzidi ni mzazi aliyekuzaa tu.
Ukionq unaonewa wivu, usipanic, hizo signal utakutqna nazo hadi unaenda kaburini.
Usiwe mwepesi kufunguka kwa kula mtu. Hata aliyefanukiwa na tajiri akiona unapiga kahatua kidogo tu moyo unalipuka qnataguta namna ya kukupiga pini.
Ujumbe ni kwamba Ukiacha Mjngu mwingine ambaye hataona wivu ukimzidi ni mzazi aliyekuzaa tu.
Ukionq unaonewa wivu, usipanic, hizo signal utakutqna nazo hadi unaenda kaburini.