USIA wa Baba wa Taifa!

USIA wa Baba wa Taifa!

Wewe Nape huko Zanzibar huna tofauti na Mkenya

Huwezi kumilikishwa ardhi ya aina yeyote

Huwezi kuajiriwa kwenye serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Huwezi kuomba nafasi yeyote ya kugombea huko kama ambavyo unaweza ukajaribu kwenye jimbo lolote huku Bara
Sasa kwa nini tuendelee kuwa watumwa wao?
Kwa nini hamridhiki na Tanganyika yetu?mbona Rwanda na Burundi ni nchi ndogo kama baadhi ya mikoa hapa kwetu Bara lakini wamejikubali?
Bila kuungana na Zanzibar Tanganyika haiwezi kusimama?
Hebu fungukeni zaidi mtueleze agenda za siri za Muungano huu mnaoung'ang'ania manake sidhani kama zimeshawahi kuwekwa wazi asilani
Tanganyika kwanza,Tanzania baadaye
Usalama wa Tanganyika utakua mdogo sana kama Zanzibar ikijitenga, Tuko tayari kushare nao keki ya Tanganyka kwa ajili ya maslahi mapana. Kama Zanzibar ni ndogo kwa nini ijitenge?
 
CHAMA CHA MAPINDUZI kitakapobadili sera yake ya Muungano wa Serikali Mbili, sera yake mpya itakuwa sera ya Muungano wa Serikali moja. Chama Cha Mapinduzi chenye wanachama wenye akili, na ukweli, na ujasiri, hakiwezi katu kukubali sera ya serikali tatu, kikijua wazi wazi kwamba matokeo na shabaha ya sera hiyo ni kuiua, na kuizika Tanzania. Chama Cha Mapinduzi kikiwa na msimamo huo na wala kisiuonee haya, Tanzania itadumu.

Do I care about pathetic ccm,am I a devil
 
CHAMA CHA MAPINDUZI kitakapobadili sera yake ya Muungano wa Serikali Mbili, sera yake mpya itakuwa sera ya Muungano wa Serikali moja. Chama Cha Mapinduzi chenye wanachama wenye akili, na ukweli, na ujasiri, hakiwezi katu kukubali sera ya serikali tatu, kikijua wazi wazi kwamba matokeo na shabaha ya sera hiyo ni kuiua, na kuizika Tanzania. Chama Cha Mapinduzi kikiwa na msimamo huo na wala kisiuonee haya, Tanzania itadumu.

Kweli CCM haina tena mashine mahili ya kupika propaganda.
 
Back
Top Bottom