Ushuhuda wangu kuhusu pombe

Enhe ikakufanya nini baadae bange mzee? [emoji28] ebu tuambie....




Let's meet at the top, cheers [emoji1635]
Nilianza kujiona kama yesu nikaanza plan ya kutokuwa na demu, alaf wale jamaa zangu ninao vuta nao sigara pori ndo nikawa nawaona kama vile wanafunzi wangu,,, kama vile yesu alivyokuaga na wanafunzi wake,,, nilianza kudata imani ya dini ilipanda sana
 
 
Nilianza kujiona kama yesu nikaanza plan ya kutokuwa na demu, alaf wale jamaa zangu ninao vuta nao sigara pori ndo nikawa nawaona kama vile wanafunzi wangu,,, kama vile yesu alivyokuaga na wanafunzi wake,,, nilianza kudata imani ya dini ilipanda sana
Aisee! 😂...



Let's meet at the top, cheers 🥂
 
ivo ni Mimi nikiwa nimepiga puff kadhaa za canabis
 
Pombe ukitaka uiweze hakikisha umeshiba saa 2 kabla

Kunywa pombe ila uwepo na maji pembeni

Kama unaenda kunywa beba hela ya kiasi unachoweza kunywa usibebe zaidi utajuta.

Kunywa ulipopazoe wanapokufahamu.
 
piga beer mkuu

Kuna mgeni nilimkaribisha anatumia wine, sasa chupa zimebaki hapa natamani niendelee nazo ila nafsi inakataa. Alinifanya nitamani kunywa pombe wakati nipo nae. Tatizo anaongea sana akinywa pombe, sasa na mimi sio muongeaji sana..naona nikionja na mimi nitakuwa chiriku.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]

Mkuu kama hujawahi kunywa, chukua hayo mabaki ya mgeni ( wine) katupe jalalani, usionje achana nayo.PERIOD
 
ata mm nilianza hivohivo ila saizi nahangaika vp ntaweza kuacha pombe kwani ndo chanzo cha hali ngumu ya maisha niliyonayo+ mke kuniacha
 
Bia inaongeza uwezo wa kufikiria.
Ila ukinywa kwa kiasi na kwa starehe.

Na bora bia za kijan, zile nyeusi zile habar nyingne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…