Ushuhuda wangu kuhusu pombe

Subiri usikie wakisema bila "pombe hawezi kufanya kazi".

Na kweli huwezi kufanya kazi vizuri kwa sababu umeshazoea.

Katika vitu duniani sio vya kujaribu ni pombe, adhari zake ni kubwa mno kuliko maelezo.
 
Subiri usikie wakisema bila "pombe hawezi kufanya kazi".

Na kweli huwezi kufanya kazi vizuri kwa sababu umeshazoea.

Katika vitu duniani sio vya kujaribu ni pombe, adhari zake ni kubwa mno kuliko maelezo.
Ahsante Mtumishi hata soda zina madhara dawa ni kuheshimu kiasi, nimesema nakunywa kiasi.
 
Kama kipato kinaruhusu, bia mbili au tatu ni sehemu ya chakula, bia ni ngano.
 
..sema unakunya kidogo kukuongezea ujasiri/confidence ya kukutana na wateja wako
 
29 Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye, Ole? Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno? Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu? Ni nani aliye na macho mekundu?

30 Ni wale wakaao sana kwenye mvinyo; Waendao kutafuta divai iliyochanganyika.

31 Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; Iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu;

32 Mwisho wake huuma kama nyoka; Huchoma kama fira.

33 Macho yako yataona mambo mageni; Na moyo wako utatoa yaliyopotoka.

34 Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.

35 Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; Wamenipiga wala sina habari; Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.

Achana na pombe mkuu haya unayoyasema sasa kuwa ni faida baada hutayaona ila ubatili tu huku ukiwa umeshalewa
 
Kunywa kupita kiasi ndio kunywa namna gani? Hicho kiasi kinapimwa vipi? Hivi pombe zilitengenezwa ili nini?

Natamani kunywa pombe siku moja.. nashawishika sana kuonja pombe....
kuna aliyekuzuia kunywa?maana kwenye katiba au biblia hujazuiwa..
 
Hata mimi kipindi naanza kuvuta bangi nilikua naenda kanisani nafanya usafi nje na ndani nilikua mwema hivyohivyo subiri iko siku utaona madhara yake
 


Hii mistari yote inazungumzia Ulevi mimi sio mlevi mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi kipindi naanza kuvuta bangi nilikua naenda kanisani nafanya usafi nje na ndani nilikua mwema hivyohivyo subiri iko siku utaona madhara yake

Enhe ikakufanya nini baadae bange mzee? πŸ˜… ebu tuambie....




Let's meet at the top, cheers πŸ₯‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…