ushuhuda wa kweli-niliishi miaka 7 bila...

mmmmh huko nilikuwa st kayumba bado hata kipaimara bado bwana

Haya,anza kwa kukanusha kwamba mimi ni dogo.
Dah kusimamia uongo kazi kweli.
ukweli ni kwamba by 1999 nilikua darasa la 4.
Huh,afadhali nimeondoa uongo huo maana.......
 
ahahaaaa mtanicheka balaaa heshima itashuka kwa friends humu
Kama kukucheka basi wangekuwa wamekwishafanya hivyo kwa stori hii uliyotupa maana kwa wengine ni ya kuchekesha ila ina mafunzo mengi hasa kwa watoto wetu kuhusu afya ya uzazi na makuzi kwa ujumla.
Usiogope na atakayecheka basi katika maisha haya yeye ni malaika ambaye hajakutana ni mitihani ya kimaisha na hafai kuwepo humu.
 
ahahaaaa wewe ulijuaje canta sema kweli
Hahahahahahah!
My dia mie nilikuwaga mtundu sana aisee,
Yani kwanza hata nikiwa sijawa nazo nilishajua zikiota nitafanyaje,

Kwetu tulikuwa tunaishi na mama mdogo naye alikuwa bado madada tu,asa nikawa nawasikilizaga sana wakiongea mambo yao,
Kuna siku akawa ndio anafundishwa kunyoa na kuvaa taulo za kike,nilijidai nimelala pale chumbani kumbe bluu tuth ya masikio iko wazi nikawa nasikia kila kitu,
Hata siku mama alipokua akinipa hiyo lekcha tayari nilishakuwa naifahamu,so mie nikuwa najulishwa kila kitu na mama na still kuna mengi ya kimaisha na kimwanamke naendelea kupata maujuzi!!
 
sasa ulikuwa hujiulizi za wenzako/vipochi manyoya nywele zimeenda wapi wakati mnaoga.... Haukujuaga definition ya wembe au mkasi???.. By the way its all abt life tym experience
nilikuwa najiuliza saaana thats why nikaenda hadi hosp nilijua mimi siko normal mkuu
 
Mmmh,hadi leo bana sijapata chochote.
Alipoenda chuo mi nilienda kufundisha kwanza,...
kamaliza masters mie ndo kwaaanza....................duh.

Sitegemei kumwambia tena "nakupenda" maana yupo dunia tofauti na mimi.
Tuseme hiyo dunia anayoishi siyo unayoishi wewe???
Dadavua basi nielewe maana sijakusoma hapo unamaanisha nini.
 
hahahahahahah!
My dia mie nilikuwaga mtundu sana aisee,
yani kwanza hata nikiwa sijawa nazo nilishajua zikiota nitafanyaje,

kwetu tulikuwa tunaishi na mama mdogo naye alikuwa bado madada tu,asa nikawa nawasikilizaga sana wakiongea mambo yao,
kuna siku akawa ndio anafundishwa kunyoa na kuvaa taulo za kike,nilijidai nimelala pale chumbani kumbe bluu tuth ya masikio iko wazi nikawa nasikia kila kitu,
hata siku mama alipokua akinipa hiyo lekcha tayari nilishakuwa naifahamu,so mie nikuwa najulishwa kila kitu na mama na still kuna mengi ya kimaisha na kimwanamke naendelea kupata maujuzi!!
kweli wewe mjanja siku nyingi mimi kiukweli niko shy saaana hapa ni keyboard tu zinanisaidia.nilijua nina ulemavu ujue? Nikaenda hadi hosptal bwana ya huko sasa ahahaaaa
 
Mmmh,hadi leo bana sijapata chochote.
Alipoenda chuo mi nilienda kufundisha kwanza,...
kamaliza masters mie ndo kwaaanza....................duh.

Sitegemei kumwambia tena "nakupenda" maana yupo dunia tofauti na mimi.

lakini kama unampenda itakuwaje si itabidi ujitose tu...............
 
Pole mamito wala sikushangai ni anina tu malezi ambayo ulikulia ndio maana,
Hasa huku mijin mda mwingi watoto wanabaki na wadada wa na wamama wanakuwa bize na kazi tu.

Mie nakumbuka fm one kuna binti naye alikuwa hajui km watu wananyoaga so nae akawa anaoga na chupi yake,
Mpaka fm two watu tukawa tunajiuliza mbona huyu havuagi chupi akioga siku moja akiwa amejipaka sabuni tukamvizia na kuishusha haki yanani ilikuwa ni afro ya ajabu,japo alilia sana kwa tulichomfanyia but badae tupomuelekeza na akaelewa alitushukuru.

Na mie waweza nielekeza ? Wahanga tupo wengi humu !
 
Pole dear.. I can imagine... Daah.. Yaani miaka saba si mchezo..
Nashukuru enzi hizo nilikuwa naishi na dada zangu na pia mama yangu hivyo walinipa maelekezo mazuri...

Aisee ni fedheha tena ndio kama watoto wa boarding mnaoga wote wenzio wote shwari.. Wewe ndo daaah.. Amazon forest! Mmh...
 
kweli wewe mjanja siku nyingi mimi kiukweli niko shy saaana hapa ni keyboard tu zinanisaidia.nilijua nina ulemavu ujue? Nikaenda hadi hosptal bwana ya huko sasa ahahaaaa
Hahhahahahhaaaa!
Pole mwaya sasa ulishindwa hata kuongea na mama au hukuwa na ukaribu na mama au shangazi?
Asa huko hospitali lol!shukuru ulikutana na dokta mzuri,mwingine angekuambia umwonyeshe aone tatizo na hizo aibu zako lol ungetoka bila kupata suluhisho!!!

Ila nakushauri jitahidi kuwa karibu mama au shangazi maana kuna mambo mengi sana humu duniani sie wadada hatuyajui na huu utanda wazi ndio kbs unatupoteza,ukiangalia hata huko kwenye makichen pati wala hakuna la maana watu wanalofundishwa ni ubabaishaji tu,but ukiwa karibu na watu wazima wa mama unafaidi mengi aisee!!

BTW naomba kujua kilichotokea ulipoenda hospitali lol!!!
 
pole dear.. I can imagine... Daah.. Yaani miaka saba si mchezo..
Nashukuru enzi hizo nilikuwa naishi na dada zangu na pia mama yangu hivyo walinipa maelekezo mazuri...

Aisee ni fedheha tena ndio kama watoto wa boarding mnaoga wote wenzio wote shwari.. Wewe ndo daaah.. Amazon forest! Mmh...
ahahaaaa usinikumbushe
 
Na mie waweza nielekeza ? Wahanga tupo wengi humu !
Khaaaaaaaaa!!!!
Makubwa haya,kwan na ww mpaka leo hujui?
Ok,usijali ila kwa msitu utakaokuwa nao,
Tafuta mapanga,majembe,mafyekeo na reki ya kukusanyia majani bila kusahau dumu la mafuta ya taa na kiberiti ili kazi ikiisha tuchome majani.
 
Pole mamito , ila tunajifunza wazazi wa sasa tuwe na muda wa kukaa na familia, pesa haitokuwa na maana kama watoo watakosa mafundisho kutoka kwa wazazi!!!!
 
pole mamito , ila tunajifunza wazazi wa sasa tuwe na muda wa kukaa na familia, pesa haitokuwa na maana kama watoo watakosa mafundisho kutoka kwa wazazi!!!!
kweli mpendwa ndo maana yangu kubwa kushare na nyie hii story yangu.watoto wa kike tuna shida kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom