Muonekano mzuri kwake mwenyewe maana kama ni aibu alikuwa anaona kwa watu wengine illa si kwake,kipende chako.Muonekano mzuri kwa nani naye alikuwa havui chupi kwa aibu............................lol
acha maneno kijana
Pole mamito wala sikushangai ni anina tu malezi ambayo ulikulia ndio maana,nilipovunja ungo sikupata mtu wa kunielekeza chochote kuhusu mabadiliko ktk mwili wangu
nilikuwa la sita.
mojawapo ya jambo lililokuwa ninanishangaza ni pubic hair.sasa zikakua na kukua sikujua kama zinanyolewa nikawa nipo nazo miaka inakata. nilipoenda a level boarding nikiwa naoga na wenzangu mimi nilikuwa sivui underwear maana nilikuwa naona siko normal nilikuwa nashangaa mbona wao hawana hzo nywele huko?
hata wanaume walikuwa wakinitongoza nilikuwa nakataa cause nilijua wataniona huku nio aibu nikapanga kwenda kwa daktari bwana ..................................wewe
nashindwa kumalizia mtanicheka sana huku
my point ni vema mabinti waelezwe kuhusu mabadiliko katika miili yao live bwana
Muonekano mzuri kwake mwenyewe maana kama ni aibu alikuwa anaona kwa watu wengine illa si kwake,kipende chako.
Naomba kama inawezekana basi tupe na yaliyojili ulipoenda hospital maana stori yako imetupa changamoto sana na kwa kiasi kikubwa mimi binafsi sijawahi sikia kitu kama hiki hasa hapa kwetu Tz.niliteseka kweli kiakili hadi nilienda hosptal
ahahaaaa wewe ulijuaje canta sema kweliPole mamito wala sikushangai ni anina tu malezi ambayo ulikulia ndio maana,
Hasa huku mijin mda mwingi watoto wanabaki na wadada wa na wamama wanakuwa bize na kazi tu.
Mie nakumbuka fm one kuna binti naye alikuwa hajui km watu wananyoaga so nae akawa anaoga na chupi yake,
Mpaka fm two watu tukawa tunajiuliza mbona huyu havuagi chupi akioga siku moja akiwa amejipaka sabuni tukamvizia na kuishusha haki yanani ilikuwa ni afro ya ajabu,japo alilia sana kwa tulichomfanyia but badae tupomuelekeza na akaelewa alitushukuru.
acha maneno kijana
ahahaaaa mtanicheka balaaa heshima itashuka kwa friends humunaomba kama inawezekana basi tupe na yaliyojili ulipoenda hospital maana stori yako imetupa changamoto sana na kwa kiasi kikubwa mimi binafsi sijawahi sikia kitu kama hiki hasa hapa kwetu tz.
niliteseka kweli kiakili hadi nilienda hosptal
Kweli alikuwa mgumu asilia,miaka yote hiyo alikuwa anakutosa!Unakumbuka enzi zile za "Nganza" sekondari pale mwanza?
mimi nikiwa "Nsumba"?
Tulikua tuna kutana maeneo ya kitintale?
Ume sahau ulivo nitosa toka tuko form1 hadi form4?
ahahaaa ulisoma nsumba mwaka gani weye?
Kweli alikuwa mgumu asilia,miaka yote hiyo alikuwa anakutosa!
Ila pongezi kwa kufukuzia kwa muda wte huo,swali,je ulipata?