USHUHUDA: Hii ndiyo michezo hatarishi ya Kampuni ya Mafuta ya Oilcom

Wewe kwa kuwa wamekupachika Umeneja wa Kituo cha Mafuta, unajitia kuwatetea. Hebu niambie kuwa top 10 katika walipa kodi kunahusiana nini na kucheza mchezo mchafu wa uchakachauaji !! IST yangu huioni hapo kwako tena.
Nimejikuta nacheka kwa sauti , mpaka ofisini vibarua wamestuka ! Wameuliza bosi unacheka nini ?
 
hivi mafuta yanaingia kwenye injini za vyombo vya moto ama maana najua oil ndo inayoingia kwenye injini usije kutuaminisha uongo uliochanganyika na ukweli

We ni mjinga kiasi iko, ,,kwani injector pump au nozzles zipo kwenye injini au ndani ya tenki la mafuta, ,,
 
Nimejikuta nacheka kwa sauti , mpaka ofisini vibarua wamestuka ! Wameuliza bosi unacheka nini ?
Ahaa, kumbe kweli wewe ni Meneja wa kituo hicho cha OILCOM, kwa kuwa wewe unapokea mafuta tu na kutoa taarifa unapoona yanaelekea kuisha, huwezi kufahamu hayo mafuta yanafanyiwa nini kabla ya kufika hapo. Wewe simamia tu mafuta yakishafikishwa kituoni kwako.
 
Mkuu siyo lwamba nimesema hivyo kwa kuwasapoti, afterall mimi hata siwakubali kabisa hawa jamaa.

Amini hata serikali inajua kuna mahali ilicheza pata potea kwa haya madhehebu ya dini hasa katik ulipaji kodi, hata wao wanajuta kwa maana wahuni wanajifungulia makanisa yao wanatapeli waumini na kujitajirish bila kulipa kodi na ni ngumu kuwakaripia maana hao hao viongozi ndio wanaoabudu humo

Hivyo nilichomaanisha ni kwamba hawa jamaa wanatumia loophole iliyopo kisheria kufanya yao
Haya Makanisa ni loophole kubwa... Na nadhani mashine kubwa ya utakatishaji pesa nchini.. Watunga sheria wetu wanalazimika kuliona hili mapema na kwa upana
 
Sijasema hivyo. Labda hujanisoma vizuri.

Ukiwa mlipa Kodi Mkubwa maana yake unakuwa karibu zaidi na Idara ya mapato kuliko wengine na ni wepesi kumulikwa kuliko watu wadogo.

Hilo liko wazi kwa mtu yyt mwenye kutumia akili japo kidogo.

Maafisa wa TRA wako karibu sana ktk kupekuwa Mafaili ya OILCOM kuliko mafaili ya wale wenye Viduka kariakoo.

Kutambua Hili wala haitaki mtu aende chuo cha biashara.

Wabongo vipi?
Hii ni Mpya... World wide top richest people pay less taxes percentage wise. Wanahonga. Hire best accounting lawyers ili walipe less.. Send money in offshore accounts... Truth is they did not get rich by giving it away.. But by holding.
 
Hii ni Mpya... World wide top richest people pay less taxes percentage wise. Wanahonga. Hire best accounting lawyers ili walipe less.. Send money in offshore accounts... Truth is they did not get rich by giving it away.. But by holding.
Hata wafanyabiashara wa kati ,wa dogo hawapendi kulipa Kodi 100%

Juzi maafisa wa kodi walikuwa wanatembelea gongo la mboto karibu maduka yote walifunga siku hiyo na jamaa mmoja akawa anasema hafungui duka labda usiku

So hakuna mfanyabiashara yeyote yule anayepinda kulipa kodi 100% ,awe mkubwa au mdogo ,kodi 100% inaumiza
 
Hata wafanyabiashara wa kati ,wa dogo hawapendi kulipa Kodi 100%

Juzi maafisa wa kodi walikuwa wanatembelea gongo la mboto karibu maduka yote walifunga siku hiyo na jamaa mmoja akawa anasema hafungui duka labda usiku

So hakuna mfanyabiashara yeyote yule anayepinda kulipa kodi 100% ,awe mkubwa au mdogo ,kodi 100% inaumiza
Serikali lazima iwe na nguvu sn kukusanya kodi au matumizi/matokeo yake yawe wazi na ubadhilifu uwe kidogo sn ndio utaona watu wanalipa kodi bila shuruti.

Sasa huku kwetu hata barabara hakuna.. Premium walichukua... Land rent wanabeba, property tax wanasomba... Utatamani kulipa kodi kweli?
 
Mheshimiwa Rais Magufuli wewe Shujaa fanyia kazi hii taarifa huu ni uhujumu uchumi mkubwa kama taarifa hii ni sahihi
 
Juzi nimefungua uzi wenye kichwa cha habari, "USHUHUDA: Jinsi kampuni za mafuta zinavyokwepa ushuru" nikatoa mfano mmoja wa kampuni ya OILCOM inavyokwepa ushuru. Kuna watu wameni-inbox vitisho.

Sasa natoa mfano mwingine wa OILCOM hiyohiyo.

Baada ya gas ya songosongo kuanza kuchakatwa (Gas processing). Kampuni ya OILCOM ilipata tender ya kununua Naptha ambayo ni byproduct ya gas processing. Hii naptha ni mojawapo ya condensate katika Natural Gas Liquids (NGL) ambazo huwa zina-liquify katika surface separator.

Kwa wasioijua hii Naptha ni ile thinner inayotumika kuchanganyia rangi. Sasa hii naptha inatumika katika viwandani kutengenezea Rangi. Sasa OILCOM ndio Dealer mkubwa wa hiyo naptha pale songosongo. Huwa anapeleka meli pale Songosongo na kupakia mzigo wa kutosha na kuja kuushusha kwenye depot yake pale kurasini. Kwa mkataba wake OILCOM ni kwamba anaiuza kwenye viwanda vya rangi vya hapa nchini na nyingine ana-export nje ya nchi.

Anachokifanya kwenye depot yake pale kurasini ni kui-blend na Petrol (PMS) kwa ratio nzuri na kuongeza na Octane boosters ili afikie viwango vinavyohitajika vya AKI (Anti Knocking Index) na anatuuzia kwenye service station zake kama petrol.

Parameter anayoi-monitor kwenye hii petrol anayotu-blendia ni hiyo OCTANE number tu kwa sababu anajua kuwa akikosea hiyo atauwa injini za magari yote yanayotumia petrol na effect yake watu wataiona immediately wakijaza kwenye station zake.

Parameter nyingine kama oxygen content na vapour pressure hashuguliki nazo kwakuwa effect zake zipo kwenye ulaji wa mafuta wa injini na kutoa moshi. (Effects of low and high oxygen content)

Hii petrol yenye naptha ya songosongo tumeuziwa kwa muda mrefu sana na wakuu wanajua kuanzia EWURA hadi TRA. Yupo afisa mmoja wa TRA wa kitengo cha mafuta ambaye alikuwa ndio kama Resident Custom Officer pale Oilcom anaitwa GEORGE, yeye ndio alikuwa kiunganishi wa OILCOM kwenye haya magumashi.
kama ni kweli, mamlaka Ziko wapi
 
Siku ile nilikwambia uwe makini, na Leo nakusisitiza Ndg yangu uwe Makini.. Taarifa hizi Ni nyeti kuliko hata nyeti tulizonAzo...

Zamani tulikua na petrol inAkua Kama Nyekundu, sikuhizi petrol Kama Mafuta ya taa Kumbe Ni feki, Dah.. Haya Maisha hAya!!!

Mkuu yeyote akikujua PM na msg ya kitisho weka ID Yake hapa hadharani tuwajue walanguzi na wahujumu uchumi..

Mwisho Kabisa... Kuwa makini na mienendo yako popote uendapo, matajiri wanamkono mrefu!!!

Mungu anaeishi Akulinde siku zote za Maisha yako hapa chini ya jua.

no Wonder hata mateja wanaongezeka, kansa zinaongezeka ni sababu Ya ku inhell moshi wa haya makemikali.
 
Njaa na wivu zitawaua nyie maskini.
OILCOM ni one of top 10 wanao ongoza Kulipa Ushuru hapa nchini.

Kama una data za hakika si umplekee Pombe !
Tatizo sio kulipa ushuru ila shida ni kwamba anachanganya Naphtha badala ya ETBE kuongeza AKI.
Kwa akili yako hata wakiuza leaded petroleum ni sawa kwa kuwa wanalipa kodi?
 
Mleta mada wacha kudanganya.

Petroleum Naptha inatoka kwenye crude oil na haitoki kwenye gas.

Gas kuifanya iwe mafuta yanayotumika kwenye gari ni amma uiuze kama gas yenyewe na magari yawe na tank za compressed gas pamoja na conversion kits kwa magari yetu yatumiayo petroli. Utaepuka conversion kit pale tu gari lako likiwa limetengenezwa kutumia gas kutokea kiwandani. Si vinginevyo.

Bila hivyo Natural Gas kuibadili sana sana utaibadili kuwa Diesel au Jet fuel kwa kutumia process iitwayo Fischer Tropsch process ambayo kwa sasa kwa Afrika ipo Afrika Kusini pekee na kiwanda chake ni kikubwa sana na ghali sana na Oilcom hana kiwanda hicho na pia process yake ina gharama kubwa na inabidi utengenezaji wa mafuta uwe mkubwa kiasi ambacho gas yetu ya songosongo yote iwayo kwa sasa haiwezi kukidhi kukilisha kiwanda.

Mleta mada wacha uongo. Nnaijuwa vilivyo process ya kubadili gas kuwa liquid na si rahisi kama unavyofikiria.

Hivi huwa mnafikiri wana JF wote ni manyumbu na mapunguani yanayokubali kila uongo mnaozuwa?
Swadakta Ukhti UMENIKUMBUSHA Fisher -Tropsch synthesis, waliyotumia majeremani wa kinazi wakati ule wa vita kuu ya pili ya dunia, kimsingi kubadilisha kuyabadili hayo makarbon monokside na mahydrogen gesi kuwa ma Hydrokarbon na hasa misururu ya ma alkane ambayo ndio hutengeza diesel ni GHALI MNOO na kwa Muktadha huo HAO Oilcom wangepata hasara,
Sasa labda kama wanatumia process ama synthesis nyengine ambayo kiuchumi I naingia akilini kidogo lakini kama ni hiyo F-T , NOPE.
 
Back
Top Bottom