USHUHUDA: Haya ndio maendeleo niliyoyapata kupitia JamiiForums

Dr. Adams Faida, mimi nikupe hongera nyingi sana, kwanza kwa inspiration story ya upambanaji inayotia moyo wengine kupambana na maisha popote pale, hili ni jambo bora sana. Pili, uandishi wa story yako ni kitu muhimu sana sana na msaada kwa wengine, nitumie fursa hii kuwashawishi vijana wenzetu wengine, unaposafiri ukajifunza jambo la muhimu kama hili, basi andika full story yako ikibidi na picha kama hizi kwa ajili ya kufunza wengine. Wenzetu wazungu kila wafanyalo lenye elimu kwa jamii huweza andika story hata VITABU ambavyo vizazi kwa vizazi watasoma kwa muda wao na kujifunza hata kutatua changamoto zozote zinazoweza kujitokeza katika jambo kama hilo, hivyo niseme big up sana, Cheers! !!
 
Mm jf nimeambulia majina mapya ya sehemu za siri. papuchi gegedo kigegedeo nk.
 
Dr. Adams Faida, mimi nikupe hongera nyingi sana, kwanza kwa inspiration story ya upambanaji inayotia moyo wengine kupambana na maisha popote pale, hili ni jambo bora sana. Pili, uandishi wa story yako ni kitu muhimu sana sana na msaada kwa wengine, nitumie fursa hii kuwashawishi vijana wenzetu wengine, unaposafiri ukajifunza jambo la muhimu kama hili, basi andika full story yako ikibidi na picha kama hizi kwa ajili ya kufunza wengine. Wenzetu wazungu kila wafanyalo lenye elimu kwa jamii huweza andika story hata VITABU ambavyo vizazi kwa vizazi watasoma kwa muda wao na kujifunza hata kutatua changamoto zozote zinazoweza kujitokeza katika jambo kama hilo, hivyo niseme big up sana, Cheers! !!
Asante sana mkuu lengo ni kupeana mwanga wa maisha tu.
 
Ww utaikumbuka JF kwa ku cc mahondwa wako huyu kila sehem, kusema ukwel hata mm binafsi hatua nyingi nilizopitia na kufika hapa nilipo 80% ni muongozo wa Jf kwa topics kibao, huko ug nshatia team sana mkuu kwa hizo mishe, nikafika gikombaa kenya mara kibao tu, mapambano yanaendelea kama kawaida! Sky is my limit

Mafanikio niliyokuwa nayo, nimeyapata kabla hata uwepo wa JF... Sehemu/nchi nilizokwenda, nimeenda hata kabla ya uwepo wa JF...


cc: mahondaw
 
Hongera mkuu
.
.
Dada aliyekuwa anatapika aliishia wapi?
 
Back
Top Bottom