Nimesoma paragraph hii tu. Siendelei tena.Hatimaye Ametiki(Based on true story)
Ilikua mwaka 2016 katika chuo cha elimu ya biashara(CBE) Tawi la Mbeya nilikuwa mwaka wangu wa pili nikichukua stashahada ya usimamizi wa biashara (diploma in Businesses administration). Nikiwa nimeketi kwa pembeni kipindi hicho ndo kuna wanafunzi wapya walio kua wanaripoti. Nilimuona binti mmoja ambaye alikuwa akitoka Eneo la utawala kufanya usajili lilikua ingizo jipya Chuo hapo, binti huyo yeye alikuwa mzuri mwenye kufanana na mabinti wa kimasai kulingana na mkao wake, tembelea pamoja na umbo na rangi yake.
Sikufuatilia sana nilimuona na kumfananisha na maasai.
Siku kadha kupita wakiwa wanaelekea siku za mwisho za Orientation binti huyo nilimuona amekaa peke yake sehemu nikaona si vyema kumuacha nikasigea karibu yake na kuanza mazungumzo japo kidogo.
Mimi: Mambo vipi sister
Yeye: Safi (Aliitikia salamu huku akiniangalia na kuonyesha nusu tabasamu nusu kuchukia kama nimevuruga mpango wake wa kukaa peke yake yaani sikumuekewa)
Mimi: samahani kwa kukuingilia je, itakuwa dhambi kwa mimi kukaa na wewe hapa?
Yeye: Hapana
Mimi: Samahani wewe ni mwenyeji wa Arusha eti
Yeye: Ndio mimi mwenyeji wa Arusha wilaya ya Karatu.
Nilimuuliza maswali hayo sababu akifanania na maasai. Nikaanza kwa kumuuliza Jina akagoma kunitajia, Nikaona hapa niende direct kuomba mawasiliano ikabidi nimfungukie unaweza nisaidia mawasiliano yako.
Yeye alikataa katukatu na kusema hawezi nipa Mawasiliano yake nilijitahidi kumdanganya akasema labda yeye achukue namba zangu nami bila hiyana nikamupatia.
Hapo tunapiga stori kidogo nikaachana nae nikawa nimemuacha amekaa. Siku zilipita ilikuwa nadra kumuona sababu lecture rooms tulitofautiana na wala hakuwahi nitafuta kwenye simu. Siku zikaenda kama mwezi mmoja yupo chuo nikaonana naye alikuwa amekaa alipenda kukaa peke yake mara nyingi nikamfata nikampasa salam akaitikia.
Nikauliza mbona kimya hata hukunitafuta akasema nitakutafuta muda bado haujafika. Basi nikamuuliza tena Jina akasema mda ukifika nitamfahamu alidai mda bado.
Tulipiga story kidogo akanyanyuka kuondoka nikamuuliza mbona unaondoka akasema anawahi kipindi nami nikamuacha.
Kama bahati CR wao alikuwa ni jamaa tulie fahamiana kwa mda mfupi sababu akitoka mkoa mmoja na mimi hivyo tulishare Kabila. Ilibidi nimtumie yeye kumfuata na kumueleza kua anisaidie kupata namba za binti fulani nikamuelekeza sifa za huyo binti ili ajaribu kupata mawasiliano yake, alisema atamtafta ili amfahamu. Baada ya siku kadhaa alisema amemuona sema hajapata kumfahamu Jina wala hajapata mawasiliano yake maana binti yupo serious sana.
Siku zikapita CR akasema amepata namba zake hivyo atanipatia.
Dahh kwakweli nilifurahi sana ilibidi nikomae na huyo CR ili nipate namba.
Siku moja nipo geto CR akanitumia namba 075XXXXXX4 Akaniambia Jina kanaitwa ka Adelina.
To be continued...
Hata kama nilisoma chuo nikapata GPA ya 2.0 ila siwezi andika upupu kama huu wa jamaa.2rd episode ndo nini
Kajifunze kuandika. Unatia aibu.We mkubwa kaa kwa kutulia
Umeandika utopoloWakubwa wote wamesoma uzi ila hawajaongea hayo.
Ila wewe unae jua kuandika niache mimi nisie jua.
Naona akili zako za kisomi kama hawa wenzio.
[emoji23][emoji23]Tupige vigelegele tukisha fika salama, salama....
Manahodha wawe mbele abiria tuwe nyuma, tuvikwepe vipengele chombo kisende mrama...... Mrama
[emoji3][emoji3]Komaa na shule. Acha kupotezea watu muda na vistori vyako, utadisco dogo
UNABOASHUHUDA: HATIMAYE AMETIKI (based on my true story) 2nd epsode
...Cr alinitumia namba za huyo binti pamoja na kutaja Jina lako hivyo hivyo nami nilishkuru kwa kupata namba za huyo binti aliye kua hataki mimi kua na mawasialiano yake. Ilinibidi nisiwe na haraka sana, Siku hiyo ilipita pasipo kumtafuta.
Siku iliyo fuata ilinibidi bora nimtafute maana wanasema ngoja ngoja huumiza matumbo.
Ikabidi nianze kufanya mawasiliano nayo kwa njia ya sms.
Mimi: Mambo
Kama ilivyo kawaida ya wadada wengi hasa wanao jiona na wasio penda mambo mengi ukimtafuta akiona namba ngeni lazima akufikishie kwenye kukuuliza kua wewe nani.
Yeye: Safi wewe Nani? Maana namba ngeni.
Maswali yalifululuzi kwa sms moja tu niliyo mwambie mambo. Nani sikutaka kufunguka Jina moja kwa moja nikaamua kutua vionjo.
Mimi: Bila shaka unanifahamu kwa maana mimi ni yule niliye kuomba namba hukutaka kunipatia, mimi ni yule niliye kuuliza juna hukutaka kuniambia, pia mimi ni yule uliye chukua namba yangu lakini hukutaka kunitafuta.
Nilimjibu kwa mfululizo huo ili asipate shaka ya kunijua mimi ni nani.
Kama ilivyo kawaida ya wadada hasa wanao jiona hawawezi sahau kabisa kuuliza maswali kama Namba yangu kakupa nani/Umetoa wapi.
Nami swali hilo akiniuliza namba nimetoa wapi? Nami nilimimpiga maneno kua nimeteseka sana hadi kupata namba yake, nikaongeza chumvi kua nimepata sehemu nyingi sana hadi kuipata, yaani nilimujaza maneno ili ajue huyo jamaa jaamua kweli.
Tulichati kidogo akaniuliza maswali mengi sana nami nikajibu kwa kuweka chumvi.
Baadaye kidogo akamalizia kwa kusema Asante kwa ushirikiano. Kwa kweli alinikata moto kabisa yaani kujitetea kote huko anakuja kusema asante kwa ushirikiano ina maana ndio Imeisha hiyo.
Nikaamua kumuaga na kumwambia nitamcheki mida, mtoto akakubali. Ilipo fika mida ya usiku nikamcheki
Alirespond vizuri nikamuulza maswali akajibu japo kwa nyondo jana kwamba hataki kuwe na mawasiliano baina yake na mimi. Ilibidi nikomae nae kibishi tu mpaka kieleweke.
Siku kadhaa zikapita nikiwa nachati nae ikabidi niombee kukutana nae akinihangaisha kabisa yaani hakutaka tukutane ananiuliza ninashida gani na kwanini niseme kwenye simu.
Kwakweli halikuwa lengo langu kusema ya moyoni kwa njia ya simu hivyo niliomba kukutana naye.
Yaani ilikuwa ni wajibu wangu kila Siku kumcheki kwa sms pamoja na kumpigia.
Siku zingine Alikubali kuonana nae ila mda ukifika anazungua tena.
Nilijitahidi kumbembeleza lakini alikataa katu katu. Lakini niliinyesha dalili zote za kumpenda.
Niliona nikichelewa sitampata kabisa kwahiyo ni bora nimfungukie Hata kwenye simu, Siku moja nikampigia simu ili nifunguke.
Akapokea simu yangu nami nikasema nimuelekeze, nikamuelekeza vitu vyote jinsi nilivyo mpenda since day one mpaka leo mtoto ikafika time yake ya kutoa majibu sasa...
To be continued...
Mmasai alikuwa na kila sababu ya kutotoa jina na namba yake. Ona sasa kila kitu kipo JF!Hatimaye Ametiki(Based on true story)View attachment 1776172
Ilikua mwaka 2016 katika chuo cha elimu ya biashara(CBE) Tawi la Mbeya nilikuwa mwaka wangu wa pili nikichukua stashahada ya usimamizi wa biashara (diploma in Businesses administration). Nikiwa nimeketi kwa pembeni kipindi hicho ndo kuna wanafunzi wapya walio kua wanaripoti. Nilimuona binti mmoja ambaye alikuwa akitoka Eneo la utawala kufanya usajili lilikua ingizo jipya Chuo hapo, binti huyo yeye alikuwa mzuri mwenye kufanana na mabinti wa kimasai kulingana na mkao wake, tembelea pamoja na umbo na rangi yake.
Sikufuatilia sana nilimuona na kumfananisha na maasai.
Siku kadha kupita wakiwa wanaelekea siku za mwisho za Orientation binti huyo nilimuona amekaa peke yake sehemu nikaona si vyema kumuacha nikasigea karibu yake na kuanza mazungumzo japo kidogo.
Mimi: Mambo vipi sister
Yeye: Safi (Aliitikia salamu huku akiniangalia na kuonyesha nusu tabasamu nusu kuchukia kama nimevuruga mpango wake wa kukaa peke yake yaani sikumuekewa)
Mimi: samahani kwa kukuingilia je, itakuwa dhambi kwa mimi kukaa na wewe hapa?
Yeye: Hapana
Mimi: Samahani wewe ni mwenyeji wa Arusha eti
Yeye: Ndio mimi mwenyeji wa Arusha wilaya ya Karatu.
Nilimuuliza maswali hayo sababu akifanania na maasai. Nikaanza kwa kumuuliza Jina akagoma kunitajia, Nikaona hapa niende direct kuomba mawasiliano ikabidi nimfungukie unaweza nisaidia mawasiliano yako.
Yeye alikataa katukatu na kusema hawezi nipa Mawasiliano yake nilijitahidi kumdanganya akasema labda yeye achukue namba zangu nami bila hiyana nikamupatia.
Hapo tunapiga stori kidogo nikaachana nae nikawa nimemuacha amekaa. Siku zilipita ilikuwa nadra kumuona sababu lecture rooms tulitofautiana na wala hakuwahi nitafuta kwenye simu. Siku zikaenda kama mwezi mmoja yupo chuo nikaonana naye alikuwa amekaa alipenda kukaa peke yake mara nyingi nikamfata nikampasa salam akaitikia.
Nikauliza mbona kimya hata hukunitafuta akasema nitakutafuta muda bado haujafika. Basi nikamuuliza tena Jina akasema mda ukifika nitamfahamu alidai mda bado.
Tulipiga story kidogo akanyanyuka kuondoka nikamuuliza mbona unaondoka akasema anawahi kipindi nami nikamuacha.
Kama bahati CR wao alikuwa ni jamaa tulie fahamiana kwa mda mfupi sababu akitoka mkoa mmoja na mimi hivyo tulishare Kabila. Ilibidi nimtumie yeye kumfuata na kumueleza kua anisaidie kupata namba za binti fulani nikamuelekeza sifa za huyo binti ili ajaribu kupata mawasiliano yake, alisema atamtafta ili amfahamu. Baada ya siku kadhaa alisema amemuona sema hajapata kumfahamu Jina wala hajapata mawasiliano yake maana binti yupo serious sana.
Siku zikapita CR akasema amepata namba zake hivyo atanipatia.
Dahh kwakweli nilifurahi sana ilibidi nikomae na huyo CR ili nipate namba.
Siku moja nipo geto CR akanitumia namba 075XXXXXX4 Akaniambia Jina kanaitwa ka Adelina.
To be continued...
Upo naye mpaka sasa? Au alikuacha?Kazi ya kufuatilia umetoa wapi
hahah nshakujua weweKwa nini mkuu
Hapo sawa ndio maana nilivyo mkazia na kumshusha alijirudi mwenyewehahah nshakujua wewe
Hao watoto wa karatu ni kama qa Arusha tu, ulikuwa unakosea sana kuwanyenyekea, hao unawaendea kigumu gumu mkuu, urembo wao usikufanye uwaone ni walainj
Mkuu uliingia diploma 1 mwaka gani na intake ipi ya march au october
HahahahaSawa nimekuacha mkuu! Unamaanisha huyo mkuu ndo kaanza mchakato wa kutafuta mama mzuri?[emoji3] hii ni defense mechanism tu hamna lolote someni huko
Huyo mke wa P pamoja na mtoto yaani ni kama Elfu moja na Buku.Hahahaha
Kila mwanaume hupambana kutafuta mama Bora kwa ajili ya wanae wasije mlaumu baadae
Mcheki mama wa mtoto wa majani alivyo hamnazo[emoji1]
Acha ujinga malizia store fasta.Hatimaye Ametiki(Based on true story)View attachment 1776172
Ilikua mwaka 2016 katika chuo cha elimu ya biashara(CBE) Tawi la Mbeya nilikuwa mwaka wangu wa pili nikichukua stashahada ya usimamizi wa biashara (diploma in Businesses administration). Nikiwa nimeketi kwa pembeni kipindi hicho ndo kuna wanafunzi wapya walio kua wanaripoti. Nilimuona binti mmoja ambaye alikuwa akitoka Eneo la utawala kufanya usajili lilikua ingizo jipya Chuo hapo, binti huyo yeye alikuwa mzuri mwenye kufanana na mabinti wa kimasai kulingana na mkao wake, tembelea pamoja na umbo na rangi yake.
Sikufuatilia sana nilimuona na kumfananisha na maasai.
Siku kadha kupita wakiwa wanaelekea siku za mwisho za Orientation binti huyo nilimuona amekaa peke yake sehemu nikaona si vyema kumuacha nikasigea karibu yake na kuanza mazungumzo japo kidogo.
Mimi: Mambo vipi sister
Yeye: Safi (Aliitikia salamu huku akiniangalia na kuonyesha nusu tabasamu nusu kuchukia kama nimevuruga mpango wake wa kukaa peke yake yaani sikumuekewa)
Mimi: samahani kwa kukuingilia je, itakuwa dhambi kwa mimi kukaa na wewe hapa?
Yeye: Hapana
Mimi: Samahani wewe ni mwenyeji wa Arusha eti
Yeye: Ndio mimi mwenyeji wa Arusha wilaya ya Karatu.
Nilimuuliza maswali hayo sababu akifanania na maasai. Nikaanza kwa kumuuliza Jina akagoma kunitajia, Nikaona hapa niende direct kuomba mawasiliano ikabidi nimfungukie unaweza nisaidia mawasiliano yako.
Yeye alikataa katukatu na kusema hawezi nipa Mawasiliano yake nilijitahidi kumdanganya akasema labda yeye achukue namba zangu nami bila hiyana nikamupatia.
Hapo tunapiga stori kidogo nikaachana nae nikawa nimemuacha amekaa. Siku zilipita ilikuwa nadra kumuona sababu lecture rooms tulitofautiana na wala hakuwahi nitafuta kwenye simu. Siku zikaenda kama mwezi mmoja yupo chuo nikaonana naye alikuwa amekaa alipenda kukaa peke yake mara nyingi nikamfata nikampasa salam akaitikia.
Nikauliza mbona kimya hata hukunitafuta akasema nitakutafuta muda bado haujafika. Basi nikamuuliza tena Jina akasema mda ukifika nitamfahamu alidai mda bado.
Tulipiga story kidogo akanyanyuka kuondoka nikamuuliza mbona unaondoka akasema anawahi kipindi nami nikamuacha.
Kama bahati CR wao alikuwa ni jamaa tulie fahamiana kwa mda mfupi sababu akitoka mkoa mmoja na mimi hivyo tulishare Kabila. Ilibidi nimtumie yeye kumfuata na kumueleza kua anisaidie kupata namba za binti fulani nikamuelekeza sifa za huyo binti ili ajaribu kupata mawasiliano yake, alisema atamtafta ili amfahamu. Baada ya siku kadhaa alisema amemuona sema hajapata kumfahamu Jina wala hajapata mawasiliano yake maana binti yupo serious sana.
Siku zikapita CR akasema amepata namba zake hivyo atanipatia.
Dahh kwakweli nilifurahi sana ilibidi nikomae na huyo CR ili nipate namba.
Siku moja nipo geto CR akanitumia namba 075XXXXXX4 Akaniambia Jina kanaitwa ka Adelina.
To be continued...