Amani Nyekele
Senior Member
- Jul 8, 2011
- 159
- 26
Nawasalimu wote!!!
Nimekuwa mtumiaji wa muda mrefu wa JF kwa miaka mitatu sasa.JF imekuwa chanzo muhimu cha habari kwangu!!! Kwa uamuzi na ridhaa yangu mwenyewe nimeamua kujiunga ili kupata nafasi ya kuwasiliana na pengine kuweza kupost maoni na hoja mbalimbali kama member!!!
NI MATARAJIO YANGU KUWA TUTAENDELEA KUIJENGA FAMILIA YA JF KWA HABARI, BURUDANI NAMUSTAKABALI WA NCHI YETU!! Wadau je ni forum gani unadhani inanifaa zaidi mie?????
Nimekuwa mtumiaji wa muda mrefu wa JF kwa miaka mitatu sasa.JF imekuwa chanzo muhimu cha habari kwangu!!! Kwa uamuzi na ridhaa yangu mwenyewe nimeamua kujiunga ili kupata nafasi ya kuwasiliana na pengine kuweza kupost maoni na hoja mbalimbali kama member!!!
NI MATARAJIO YANGU KUWA TUTAENDELEA KUIJENGA FAMILIA YA JF KWA HABARI, BURUDANI NAMUSTAKABALI WA NCHI YETU!! Wadau je ni forum gani unadhani inanifaa zaidi mie?????