ushoga

KIDHEHA

Member
May 21, 2012
51
14
halo wanajf mimi huwa najiuliza sipati majibu,kwa nini siku hizi wanaume wengi sana wanajiuza kwa wanaume wenzao?nini kinachangia ushoga huu kukua kwa kasi?pia hata wanawake wengi wanataka kuliwa tigo,why? nini kinachangia?im confused
 
Maumbile tu wengine ni wanaume kwa sura na jinsia yani "phenotye" ila genetically ni pure mwanamke yaani kazaliwa hivyo.Anawezaje kuikataa asili yake.
Wengine walilawitiwa wangal wadgo mpk wakakuwa then inawajenga wanakuwa hivyo.
Kwa wanawake nao pia hivyo hivyo..tena wao hawapati tabu kwakuwa wanakumbuka maumivu ya kutoka bikra yalivyomletea faraja baadae then anajua ataumia mwanzo ila atakapozoea mambo yatakuwa shwari.
 
Back
Top Bottom