Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Una maana kwa akina "mama niwekee" tunakula vibaya kuliko mikojo na damu za period??!!! Nadhani wanaume ndiyo tunakuwa waathirika zaidi, upate dozi za beki 3 halafu ongezea na dozi za waifu kama naye ni mshirikina. Ukitoka hapo kichwa kimechanganyikiwa kabisa.
Usisahau small houses