Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Biblia inasema usimwache mwanamke mchawi akaishi.
mwanaume mchawi je?
Biblia inasema usimwache mwanamke mchawi akaishi.
mkuu wengine tunaogopa waganga itakuje?
mkuu unaichana tu!alafu kipande unatupa?au!....do!mkuu hii kaliTatizo hilo lipo pia huko Kigoma. Dawa wanayoifanya watu wa huko ni kuchana kipande kidogo cha noti ya mteja pembeni! Ukienda Kigoma noti nyingi utazikuta zimechanwa pembeni. Sasa sijui kama ni dawa kweli; kazi ni kwako!
YESU ni JIBU
pole sanahii imewahi nikuta kwenye daladala baada ya kuchanganya pesa nyingine na chenji niliyorudishiwa na konda. Pesa yote ilipotea ktk mazingira ya kutatanisha!
mkuu ni kweli bank haipenyi?au kwakua hata wale wahudumu zinakua si zao?Kama hayajawai kukusibu lazima utasema chuma ulete haipo.
Kuna watu DSM wanaishi kwa iyo kazi akiamka ni mwendo wa kucheza bao mpaka jioni akienda kwenye kihenge chake anakuta noti,anachukua za kumfaa kwa matumizi ya siku ile zingine zasalia kulinda kihenge.
Ila ninachoshangaa hii tech haipenyi bank bwana
mkuu unaichana tu!alafu kipande unatupa?au!....do!mkuu hii kali
mkuu hii kali,je kunakua na mafanikio na mtu yoyote anachana tu au mpaka uwe na dawa?Kiongozi kipande kinatupwa; Noti nyingi utakuta zimekatwa karibu pembe nne zote!
kama hayajawai kukusibu lazima utasema chuma ulete haipo.
Kuna watu dsm wanaishi kwa iyo kazi akiamka ni mwendo wa kucheza bao mpaka jioni akienda kwenye kihenge chake anakuta noti,anachukua za kumfaa kwa matumizi ya siku ile zingine zasalia kulinda kihenge.
Ila ninachoshangaa hii tech haipenyi bank bwana
mi mwenyewe yalishanikuta tena kwa omba omba wa barabarani. Ingawa sikuliwa hela nyingi ila ilinifanya niprove kuwa haya mambo kweli yapo.