Ushirikiano mpya wa upinzani kuzaliwa DeFront

Ushirikiano mpya wa upinzani kuzaliwa DeFront

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,150
Reaction score
56,463
Kuna mkakati wa kuanzisha ushirikiano mpya wa vyama vya upinzani nchini kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 lengo likiwa ni kuing’oa CCM madarakani, utakaojulikana kama, The United Democratic Front (DeFront) au (U-Front).

Wazo hilo lilitolewa wakati vyama 10 vya upinzani vilipokutana Zanzibar na kutoa Azimio la Zanzibar, na huenda hatua ya Maalim Seif Sharif Hamad ambaye alikuwa muumini wa UKAWA kuhamia rasmi ACT- Wazalendo kumekoleza chachu ya vyama hivyo kutaka kuungana.

Wazo la ushirikiano huo linaweza kufanana na wazo la Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe la kuanzisha muungano mpya wa ushirikiano wa vyama vya upinzani, The United Democratic Front (DeFront).

Zitto alieleza kuwa ana dhamira ya kuona vyama vya upinzani na taasisi nyingine mbalimbali zikiunganisha nguvu dhidi ya CCM katika chaguzi mbalimbali.

Ushirikiano huo wa vyama unaelezwa kuwa mbadala ya UKAWA ya sasa.

Kwa mujibu wa Mwanachama mpya wa ACT, Nassor Ahmed Mazrui ambaye kabla ya kuhamia ACT alikuwa naibu katibu mkuu wa CUF, amesema ushirikiano unaotakiwa kujengwa sasa unapaswa uwe zaidi ya vyama vya siasa kutokana na hali halisi iliyopo.

“Sasa waathirika ni wengi ukilinganisha na vipindi vingine, wafanyabiashara, waandishi wa habari, wanawake na makundi mbalimbali yameumizwa; tunahitaji mabadiliko ya haraka na siyo tu kuwa na muungano wa vyama vya siasa pekee badala yake tunapaswa kuhusisha na taasisi za kiraia.

Kwa upande wake Naibu katibu mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu amesema kwa sasa majadiliano ni namna gani vyama hivyo vitashirikiana kufanya kazi pamoja baada ya azimio lile la Zanzibar.

“Inaweza isiwe UKAWA tena na kuwa kitu kingine kabisa, pengine vyama vikaamua kuongeza chama kimoja au vyote, hii itajulikana baada ya vyama kutoa mapendekezo yake na kujadiliwa kwa pamoja pindi tutakapokutana.”

Chanzo Mwananchi.

Ushirikiano mpya upinzani kuzaliwa
 
Kuna kila dalili za ushirikiano mpya wa vyama vya upinzani nchini kuzaliwa kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 lengo ikiwa ni kuing’oa CCM madarakani.

Wazo hilo lilitolewa wakati vyama 10 vya upinzani vilipokutana Zanzibar na kutoa Azimio la Zanzibar, na huenda hatua ya Maalim Seif Sharif Hamad ambaye alikuwa muumini wa Ukawa kuhamia rasmi ACT- Wazalendo kumekoleza chachu ya vyama hivyo kutaka kuungana.

Wazo la ushirikiano huo linaweza kufanana na wazo la Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe la kuanzisha muungano mpya wa ushirikiano wa vyama vya upinzani utakaojulikana kama, The United Democratic Front (DeFront).

Zitto alieleza kuwa ana dhamira ya kuona vyama vya upinzani na taasisi nyingine mbalimbali zikiunganisha nguvu dhidi ya CCM katika chaguzi mbalimbali.

Ushirikiano huo wa vyama unaelezwa kuwa mbadala ya UKAWA ya sasa.

Kwa mujibu wa Mwanachama mpya wa ACT, Nassor Ahmed Mazrui ambaye kabla ya kuhamia ACT alikuwa naibu katibu mkuu wa CUF, amesema ushirikiano unaotakiwa kujengwa sasa unapaswa uwe zaidi ya vyama vya siasa kutokana na hali halisi iliyopo.

“Sasa waathirika ni wengi ukilinganisha na vipindi vingine, wafanyabiashara, waandishi wa habari, wanawake na makundi mbalimbali yameumizwa; tunahitaji mabadiliko ya haraka na siyo tu kuwa na muungano wa vyama vya siasa pekee badala yake tunapaswa kuhusisha na taasisi za kiraia.

Kwa upande wake Naibu katibu mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu amesema kwa sasa majadiliano ni namna gani vyama hivyo vitashirikiana kufanya kazi pamoja baada ya azimio lile la Zanzibar.

“Inaweza isiwe UKAWA tena na kuwa kitu kingine kabisa, pengine vyama vikaamua kuongeza chama kimoja au vyote, hii itajulikana baada ya vyama kutoa mapendekezo yake na kujadiliwa kwa pamoja pindi tutakapokutana.”
Mbona Chadema mnalilia sana ushirikiano........Zitto amewashika pabaya?!!
 
Kuna mkakati wa kuanzisha ushirikiano mpya wa vyama vya upinzani nchini kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 lengo likiwa ni kuing’oa CCM madarakani.

Wazo hilo lilitolewa wakati vyama 10 vya upinzani vilipokutana Zanzibar na kutoa Azimio la Zanzibar, na huenda hatua ya Maalim Seif Sharif Hamad ambaye alikuwa muumini wa Ukawa kuhamia rasmi ACT- Wazalendo kumekoleza chachu ya vyama hivyo kutaka kuungana.

Wazo la ushirikiano huo linaweza kufanana na wazo la Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe la kuanzisha muungano mpya wa ushirikiano wa vyama vya upinzani utakaojulikana kama, The United Democratic Front (DeFront).

Zitto alieleza kuwa ana dhamira ya kuona vyama vya upinzani na taasisi nyingine mbalimbali zikiunganisha nguvu dhidi ya CCM katika chaguzi mbalimbali.

Ushirikiano huo wa vyama unaelezwa kuwa mbadala ya UKAWA ya sasa.

Kwa mujibu wa Mwanachama mpya wa ACT, Nassor Ahmed Mazrui ambaye kabla ya kuhamia ACT alikuwa naibu katibu mkuu wa CUF, amesema ushirikiano unaotakiwa kujengwa sasa unapaswa uwe zaidi ya vyama vya siasa kutokana na hali halisi iliyopo.

“Sasa waathirika ni wengi ukilinganisha na vipindi vingine, wafanyabiashara, waandishi wa habari, wanawake na makundi mbalimbali yameumizwa; tunahitaji mabadiliko ya haraka na siyo tu kuwa na muungano wa vyama vya siasa pekee badala yake tunapaswa kuhusisha na taasisi za kiraia.

Kwa upande wake Naibu katibu mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu amesema kwa sasa majadiliano ni namna gani vyama hivyo vitashirikiana kufanya kazi pamoja baada ya azimio lile la Zanzibar.

“Inaweza isiwe UKAWA tena na kuwa kitu kingine kabisa, pengine vyama vikaamua kuongeza chama kimoja au vyote, hii itajulikana baada ya vyama kutoa mapendekezo yake na kujadiliwa kwa pamoja pindi tutakapokutana.”
Chadema mnahangaika mno na Maalimu hadi kinyaa/kichefuchefu
 
Kuna mkakati wa kuanzisha ushirikiano mpya wa vyama vya upinzani nchini kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 lengo likiwa ni kuing’oa CCM madarakani, utakaojulikana kama, The United Democratic Front (DeFront) au (U-Front).

Wazo hilo lilitolewa wakati vyama 10 vya upinzani vilipokutana Zanzibar na kutoa Azimio la Zanzibar, na huenda hatua ya Maalim Seif Sharif Hamad ambaye alikuwa muumini wa UKAWA kuhamia rasmi ACT- Wazalendo kumekoleza chachu ya vyama hivyo kutaka kuungana.

Wazo la ushirikiano huo linaweza kufanana na wazo la Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe la kuanzisha muungano mpya wa ushirikiano wa vyama vya upinzani, The United Democratic Front (DeFront).

Zitto alieleza kuwa ana dhamira ya kuona vyama vya upinzani na taasisi nyingine mbalimbali zikiunganisha nguvu dhidi ya CCM katika chaguzi mbalimbali.

Ushirikiano huo wa vyama unaelezwa kuwa mbadala ya UKAWA ya sasa.

Kwa mujibu wa Mwanachama mpya wa ACT, Nassor Ahmed Mazrui ambaye kabla ya kuhamia ACT alikuwa naibu katibu mkuu wa CUF, amesema ushirikiano unaotakiwa kujengwa sasa unapaswa uwe zaidi ya vyama vya siasa kutokana na hali halisi iliyopo.

“Sasa waathirika ni wengi ukilinganisha na vipindi vingine, wafanyabiashara, waandishi wa habari, wanawake na makundi mbalimbali yameumizwa; tunahitaji mabadiliko ya haraka na siyo tu kuwa na muungano wa vyama vya siasa pekee badala yake tunapaswa kuhusisha na taasisi za kiraia.

Kwa upande wake Naibu katibu mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu amesema kwa sasa majadiliano ni namna gani vyama hivyo vitashirikiana kufanya kazi pamoja baada ya azimio lile la Zanzibar.

“Inaweza isiwe UKAWA tena na kuwa kitu kingine kabisa, pengine vyama vikaamua kuongeza chama kimoja au vyote, hii itajulikana baada ya vyama kutoa mapendekezo yake na kujadiliwa kwa pamoja pindi tutakapokutana.”
Nimekubali huu muungano, utasaidia pakubwa kupatikana democracy, wengi wanavyo fahamu democracy ni siasa tu, wakati democracy katika siasa ni sehemu ndogo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mkakati wa kuanzisha ushirikiano mpya wa vyama vya upinzani nchini kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 lengo likiwa ni kuing’oa CCM madarakani, utakaojulikana kama, The United Democratic Front (DeFront) au (U-Front).

Wazo hilo lilitolewa wakati vyama 10 vya upinzani vilipokutana Zanzibar na kutoa Azimio la Zanzibar, na huenda hatua ya Maalim Seif Sharif Hamad ambaye alikuwa muumini wa UKAWA kuhamia rasmi ACT- Wazalendo kumekoleza chachu ya vyama hivyo kutaka kuungana.

Wazo la ushirikiano huo linaweza kufanana na wazo la Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe la kuanzisha muungano mpya wa ushirikiano wa vyama vya upinzani, The United Democratic Front (DeFront).

Zitto alieleza kuwa ana dhamira ya kuona vyama vya upinzani na taasisi nyingine mbalimbali zikiunganisha nguvu dhidi ya CCM katika chaguzi mbalimbali.

Ushirikiano huo wa vyama unaelezwa kuwa mbadala ya UKAWA ya sasa.

Kwa mujibu wa Mwanachama mpya wa ACT, Nassor Ahmed Mazrui ambaye kabla ya kuhamia ACT alikuwa naibu katibu mkuu wa CUF, amesema ushirikiano unaotakiwa kujengwa sasa unapaswa uwe zaidi ya vyama vya siasa kutokana na hali halisi iliyopo.

“Sasa waathirika ni wengi ukilinganisha na vipindi vingine, wafanyabiashara, waandishi wa habari, wanawake na makundi mbalimbali yameumizwa; tunahitaji mabadiliko ya haraka na siyo tu kuwa na muungano wa vyama vya siasa pekee badala yake tunapaswa kuhusisha na taasisi za kiraia.

Kwa upande wake Naibu katibu mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu amesema kwa sasa majadiliano ni namna gani vyama hivyo vitashirikiana kufanya kazi pamoja baada ya azimio lile la Zanzibar.

“Inaweza isiwe UKAWA tena na kuwa kitu kingine kabisa, pengine vyama vikaamua kuongeza chama kimoja au vyote, hii itajulikana baada ya vyama kutoa mapendekezo yake na kujadiliwa kwa pamoja pindi tutakapokutana.”

Chanzo Mwananchi.

Ushirikiano mpya upinzani kuzaliwa
Kikwazo kitaletwa na Chadema.
Kama kuna mtu anabisa asubiri aone kwenye uchaguzi wa muhimu sana wa serikali za mitaa ambao Chadema wamelala kama vile hakuna kitu kiko mbele yao. Uchaguzi wa serikali za mitaa ni wa muhimu kuelekea uchaguzi mkuu.
Matokeo yake tunaona Wabunge tuliojua ni Makamanda wanaonyesha upimbi mkubwa kabisa wakionyesha hadharani ubinasi wao na kushiba fedha kwa kujitapa kabisa kuwa wameacha kuwatumikia wananchi kwa sababu walikua na Maternity Leave na huko Marekani.!! Matokeo yake wapiga kura nchi nzima welipuka kwa hasira kuwa kumbe wale wanaopigania Chama mpaka wanapata ulemavu na wengine kupoteza maisha yao wao hawana familia.
Pumba za mbavu kabisa!!
Mtu kama Nasari mwaka Kesho utashangaa Chini ya Mwenyekiti huyo atapewa tena nafasi ya kupeperusha bendera ya Chama.
Halafu chama kikikosa kura mnailalamikia Tume.

Wapinzani waanze kwanza kuungana kwa kuachiana viti kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa.

Ni lazima siasa iangalie mazingira ya eneo na itikadi za vyama.

Suala lisiwe tu kuwa ni chama gani kilichopata kura nyingi Chini ya ukawa lakini pia itikadi za vyama na muitikio wa wapiga kura wa eneo hilo.

Bila upinzani imara hii CCM kitakua chama cha wakoloni weusi wasiojali wapiga kura ,chama kisichokua na hofu yoyote ya kuwadharau na kuwagandamiza na kuwanyima haki wananchi.

CCM hata ikishinda lakini isishinde kwa Ushindi wa zaidi ya 55% nchi hii itakua mahali pazuri sana pa kuishi . CCM ikishinda kwa zaidi ya 55% kwenye serikali za mitaa ,madiwani na wabunge; kwa sheria walizopitisha nchi hii itakua kama kule Afrika ya kusini wakati wa utawala wa Makaburu. CCM ndio watakaokuwa wenye nchi na watu wa daraja la juu. Wengine wote watakua ni kama wahalifu kwenye nchi. Umma utakua umeridhia kila kitu kinachofanywa.
Yaani Bunge kukaa gizani , Uhuru wa habari kuendelea kuwa finyu zaidi, Uhuru wa kisiasa kuwa ni uhalifu mkubwa . Magereza itakua ni nyumba za watu wenye mitizamo tofauti na CCM.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
..moja ya malengo yao ni kusimamisha mgombea mmoja ktk kila nafasi[diwani,mbunge,raisi] ya uchaguzi.
Wanatakiwa waanze mchakato wa kushirikiana mapema, wafanye research kila jimbo na kata nani na chama kipi kina nguvu.
 
Kuna mkakati wa kuanzisha ushirikiano mpya wa vyama vya upinzani nchini kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 lengo likiwa ni kuing’oa CCM madarakani, utakaojulikana kama, The United Democratic Front (DeFront) au (U-Front).

Wazo hilo lilitolewa wakati vyama 10 vya upinzani vilipokutana Zanzibar na kutoa Azimio la Zanzibar, na huenda hatua ya Maalim Seif Sharif Hamad ambaye alikuwa muumini wa UKAWA kuhamia rasmi ACT- Wazalendo kumekoleza chachu ya vyama hivyo kutaka kuungana.

Wazo la ushirikiano huo linaweza kufanana na wazo la Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe la kuanzisha muungano mpya wa ushirikiano wa vyama vya upinzani, The United Democratic Front (DeFront).

Zitto alieleza kuwa ana dhamira ya kuona vyama vya upinzani na taasisi nyingine mbalimbali zikiunganisha nguvu dhidi ya CCM katika chaguzi mbalimbali.

Ushirikiano huo wa vyama unaelezwa kuwa mbadala ya UKAWA ya sasa.

Kwa mujibu wa Mwanachama mpya wa ACT, Nassor Ahmed Mazrui ambaye kabla ya kuhamia ACT alikuwa naibu katibu mkuu wa CUF, amesema ushirikiano unaotakiwa kujengwa sasa unapaswa uwe zaidi ya vyama vya siasa kutokana na hali halisi iliyopo.

“Sasa waathirika ni wengi ukilinganisha na vipindi vingine, wafanyabiashara, waandishi wa habari, wanawake na makundi mbalimbali yameumizwa; tunahitaji mabadiliko ya haraka na siyo tu kuwa na muungano wa vyama vya siasa pekee badala yake tunapaswa kuhusisha na taasisi za kiraia.

Kwa upande wake Naibu katibu mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu amesema kwa sasa majadiliano ni namna gani vyama hivyo vitashirikiana kufanya kazi pamoja baada ya azimio lile la Zanzibar.

“Inaweza isiwe UKAWA tena na kuwa kitu kingine kabisa, pengine vyama vikaamua kuongeza chama kimoja au vyote, hii itajulikana baada ya vyama kutoa mapendekezo yake na kujadiliwa kwa pamoja pindi tutakapokutana.”

Chanzo Mwananchi.

Ushirikiano mpya upinzani kuzaliwa
Machadema yanalia..."eeh Zitto utufungulie safina.....eeh Zitto utufungulie safina.."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye siasa hakuna adui wa kudumu, mliyemuita tumbili leo yuko kwenu.

Politics is the art of the possible. Sikumbuki jina la mtu aliyezungumza haya maneno lakini namkumbuka alikuwa kiongozi wa Liberal Party UK.
 
Back
Top Bottom