mkulimamiwa
JF-Expert Member
- Mar 4, 2025
- 2,254
- 4,466
Embu tuacheni ushabiki tuuseme ukweli
Mtukufu anashindaje tuzo hii kwa kuwashinda Netanyahu waziri mkuu wa Israel kama sio wizi kama kulivyofanyika kwenye uchaguzi?
Trump, Rais wa Marekani anamshindaje kwa mfano kama sio wizi mwingine huu?
Zipi sababu za mtukufu huyu kushinda Tyrant of the Year?
Huko nako tume yake ya uchaguzi imehusika na imetekeleza maagizo yake
Mtukufu anashindaje tuzo hii kwa kuwashinda Netanyahu waziri mkuu wa Israel kama sio wizi kama kulivyofanyika kwenye uchaguzi?
Trump, Rais wa Marekani anamshindaje kwa mfano kama sio wizi mwingine huu?
Zipi sababu za mtukufu huyu kushinda Tyrant of the Year?
Huko nako tume yake ya uchaguzi imehusika na imetekeleza maagizo yake