Ushindi wa Netanyahu tahadhari kubwa kwa Iran

Ushindi wa Netanyahu tahadhari kubwa kwa Iran

Yusomwasha

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
2,092
Reaction score
844
Baada ya Netanyahu kushinda Chama chake cha Likud kimepata ushindi wa kishindo kuliko miaka ya nyuma.

Netanyahu ataazimia kuunda baraza la mawaziri kwa kuwashirikisha vyama vyenye misimamo mikali kama likud ambayo itaifanya serekali ya netanyahu kuwa na nguvu kubwa ya maamuz tofauti na miaka mingine.

Kipaumbele cha Netanyahu ni kuzuia Iran kijeshi na huenda akafanikiwa kwa kuungwa mkono na Mawaziri na Wabunge wengi wa Likud na vyama vyenye misimamo mikali na huenda Israel ikazidi kutengwa na kudorora kiuchumi kutokana Na misimamo ya Netanyahu na kuhusu Palestina huenda Chama cha Fatah kikaungana na Hamas na wakaanza mapambano dhidi ya Israel kwa sababu ya sera mpya za Netanyahu za kuhakikisha kuwa no palestinian state
awamu hii israel itakua na changamoto km iran,hzbullah,hamas,na fatah[hamas mpya].

Netanyahu ana kibarua kizito cha kupunguza umasikini mkubwa wa Waisrael sambamba na kuboresha huduma za jamii na miundo msingi

NAWASILISHA KWENU.
 
Thank you.. Binafsi sikuona kiongozi anayeweza kulinda maslahi ya waisrael kama Netanyau. Ushindi huu wa kishindo ulimstahili. Waisrael wanamwamini. Sauti ya "BIBI" ndio sauti ya waisrael na ndio mawazo yao.
Republican wako nyuma ya Israel. Hope next time kama Jebb Bush atagombea urais pamoja na mama Hillary. Ni wazi mama Hilary ataibuka loser. Na Democratic watapoteza. So USA watarudi kufufua uhusiano wao na Israel. Kimsingi bado ni ngumu kwa Rais yoyote wa Marekani kuna na kubadilisha kile USA wanakisimamia kwenye siasa za kimataifa. Obama alichofanya ni kujaribu kuyumbisha nguvu na umuhimu wa marekani kwenye siasa za kimataifa, kwa kujaribu kuifanya marekani passive badala ya active. Ndio maana alikuwa akimsujudia mfalme wa saudia na viongozi wa kiarabu as if yupo altareni.Na hizi imepelekea kukifanya chama chake kupoteza sana.
Pia amezorotesha uhusiano wake na saudia na israel kwa kujaribu kuipatana na Iran.

Kikubwa zaidi ni kukosa utashi wa kimungu alipojiingiza kwenye lobbying za mashoga na hapa anapambana na kanisa katoliki kinamna na imani nyingine zisizotambua ushoga.
 
IRAN is in state of alert since 1978s to date....so US and its allies wanalijua hilo so wanachokifanya ni kuibana IRAN kwa economic sanctions lakini kivita kidogo ni ngumu kumeza...Mbaya zaidi amewekewa vikwazo vya uchumi na silaha lakini ana home grown tecknology hivyo strategic weapon anatengeneza na mbaya zaidi ana Oil n Gas hivyo anakiburi cha kupunguza makari ya vikwazo...So forget abt Netanyahu na habari zake kuhusu Iran
 
2013

Wewe hasa unataka nini humu duniani. Vita?
 
Last edited by a moderator:
I concur with those who're pessimistic about the future. The confluence of Nutnyahu and the Republican administration will be a disaster to the world. It points to only one thing, wars, destruction and millions of deaths of the innocent.

All this for just one thing: hegemony.

However,I believe there is a power bigger than the two.

This power sees, reckons and hears the prayers of many that we are tired of all these wars and we need peace in the family of the human beings. This power is certain to intervene.
 
2013 hajui hasa anachokitaka,anadhani maisha ni kama game la yanga na simba
 
Netanyahu amekubarika sana na waisrael ndiyomaana anafanikiwa kuwaongoza waisrael kwa muhula wa nne sasa,hali katika mawazir wa Israel haijawahi kutokea hapo nyuma wazir mkuu wa Israel kutawala kwa mihula 4 lakin Bibi amefanikiwa.
 
BINARY NO

Jamaa zako hawajaingia kwenye target, ni lazima wataingia soon yawakute yaliyomkuta Gamal Abdul Nasser. Msijifariji katika hili.

WAY FORWARD:-
1) Iran wafute kauli yao ya kutaka kulifuta kwenye uso wa dunia taifa la israel
2) wa Iran waondoe chuki kwa vitendo dhidi ya Israel
3) wafilisti Waachane na fikra achilia mbali kupambana na israel, wapambane na adui yao sahihi (sheitwan)

Kutokujua haya niliyoyasema kutawafanya Iranan na filistine kutokujua purpose ya wao kuwepo juu ya uso wa dunia.
 
Last edited by a moderator:
Netanyahu amekubarika sana na waisrael ndiyomaana anafanikiwa kuwaongoza waisrael kwa muhula wa nne sasa,hali katika mawazir wa Israel haijawahi kutokea hapo nyuma wazir mkuu wa Israel kutawala kwa mihula 4 lakin Bibi amefanikiwa.
Nimekusoma mkuu
 
Netanyahu amekubarika sana na waisrael ndiyomaana anafanikiwa kuwaongoza waisrael kwa muhula wa nne sasa,hali katika mawazir wa Israel haijawahi kutokea hapo nyuma wazir mkuu wa Israel kutawala kwa mihula 4 lakin Bibi amefanikiwa.
Hajawahi kumaliza muhula hata mmoja.
 
Mkuu unatakiwa kuangalia mambo in very objective way. Two wrongs will never make a right. Unyama wa waarabu dhidi ya wayahudi unatokana na ukatili dhidi yao. Ukumbuke kuwa wazungu Ulaya walisema no more jews in Europe, tatizo wanalokutana nalo waarabu sasa walikutana nalo wazungu zamani sana ndio maana waliamua kuwarudisha middle east. Pamoja na kuwa napinga sana ugaidi na unyama dhidi ya wayahudi, lakini ujue kabisa kuwa kuna watu wanaopenda unyama huo ili kuhalalisha uwepo wao kisiasa
Mkuu kuna myth na reality. ni wazi kuwa Huko Ulaya Jews hawakuwa na tatizo na wajerumani. Kimsingi ni kuwa Kuna tabia ya Binadamu kuwa defensive na ku-protect like Racism, Tribalism, ndio ilipelekea Jews ambao ni minority kuuwawa na wajerumani. Wala haihusiani na Ubaya wao. Kimsingi Hitler alitaka kulifanya taifa la ujerumani kuwa Race superior duniani. In fact alithubutu..
Ni kama useme waafrika ndio tuliokuwa enslave, hivyo tulikuwa na matatizo na tulistahili kuwa inferior dhidi ya mtu mweupe. I can't swallow that either.


1: Kuhusu waarabu: Hii ni story ndefu ya Kihistoria na ya kidini kati ya Judaism na Muhammadanism.
Source: Sa'd, Kitab al-Tabagat al Kabir, trans. S. M. Haq (New Delhi: Kitab
Bhavan, 1972), vol. 1, p. 32.
Bani An-Nadir and Bani Quraiza fought,' so the Prophet (Muhammad) exiled Bani
An-Nadir and allowed Bani Quraiza to remain at their places. He then killed their
men and distributed their women, children and property among the Muslims, but
some of them came to the Prophet and he granted them safety, and they embraced
Islam. He exiled all the Jews from Medina. They were the Jews of Bani Qainuga',
the tribe of 'Abdullah bin Salam and the Jews of Bani Haritha and all the other Jews
of Medina.


Tukiachana na DINI: tukirudi kisiasa: Recently hii ngoma inaanzia kipindi cha Ottoman empire. British ambao wali-colonize Palestina walipohitaji msaada kwa jews na Arabs wakijeshi dhidi ya Ujerumani na ushirika wa ottoman empire. British wakiwaahidi kuwa-support wote kwa nyakati tofauti kuunda mataifa yao kwenye ardhi inayokaliwa na israel na eneo lote la arabuni.
British walishinda vita wakateka eneo hilo la palestine wakishirikiana na jeshi la wayahudi. hali ilizidi kuwa mbaya kwa waarabu kwani wayahudi waliongezeka zaidi baada ya ubaguzi huko germani wakati wa Hitler.
Mwisho wa siku Israel ikajitangaza taifa Bada ya muda uliowekwa na British kumalizika. waarabu wakajaribu kuzipiga na Israel hawakuweza . Israel ikajitanua na kuongeza mipaka. chuki ndipo iliponoga Arabuni kote na kuzidi kuota mizizi.
British hawakuweza kuwasapoti waarabu, NA US iliwasapoti Israel.. Matokeo yake waarabu wakagoma Wakatumia mgongo wa mafuta kuwabania waingereza, marekani. hii ikapelekea Soviet Union kujiingiza kwa mgongo wa nyuma akiwasapoti waarabu. Na ndio wanaofanya maisha kuwa magumu pale mashariki ya kati. Kila upande una-push interest zake bila kutazama interst za mwingine.


Kwa Sasa kuna hili kundi la kigaid la HAmas lenye ideology ya kidini ya kuangamiza Taifa la israel ndio inapelekea huu ugomvi kutokwisha kabisa. Manake linakalia GAZA na linajenga underground Tunnel. NA limegeuka kitisho kwa Usalama wa raia wa Palestina na waisrael.

Taifa la iran.nalo ni Tatizo pale mashariki ya KAti: Israel sio kitisho kwa waarabu tena.
Mauaji wanayayapata wampalestina yanachangiwa na Mbinu za kigaidi za HAmas.
 
Mkuu kuna myth na reality. ni wazi kuwa Huko Ulaya Jews hawakuwa na tatizo na wajerumani. Kimsingi ni kuwa Kuna tabia ya Binadamu kuwa defensive na ku-protect like Racism, Tribalism, ndio ilipelekea Jews ambao ni minority kuuwawa na wajerumani. Wala haihusiani na Ubaya wao. Kimsingi Hitler alitaka kulifanya taifa la ujerumani kuwa Race superior duniani. In fact alithubutu..
Ni kama useme waafrika ndio tuliokuwa enslave, hivyo tulikuwa na matatizo na tulistahili kuwa inferior dhidi ya mtu mweupe. I can't swallow that either.


1: Kuhusu waarabu: Hii ni story ndefu ya Kihistoria na ya kidini kati ya Judaism na Muhammadanism.
Source: Sa'd, Kitab al-Tabagat al Kabir, trans. S. M. Haq (New Delhi: Kitab
Bhavan, 1972), vol. 1, p. 32.
Bani An-Nadir and Bani Quraiza fought,' so the Prophet (Muhammad) exiled Bani
An-Nadir and allowed Bani Quraiza to remain at their places. He then killed their
men and distributed their women, children and property among the Muslims, but
some of them came to the Prophet and he granted them safety, and they embraced
Islam. He exiled all the Jews from Medina. They were the Jews of Bani Qainuga',
the tribe of 'Abdullah bin Salam and the Jews of Bani Haritha and all the other Jews
of Medina.


Tukiachana na DINI: tukirudi kisiasa: Recently hii ngoma inaanzia kipindi cha Ottoman empire. British ambao wali-colonize Palestina walipohitaji msaada kwa jews na Arabs wakijeshi dhidi ya Ujerumani na ushirika wa ottoman empire. British wakiwaahidi kuwa-support wote kwa nyakati tofauti kuunda mataifa yao kwenye ardhi inayokaliwa na israel na eneo lote la arabuni.
British walishinda vita wakateka eneo hilo la palestine wakishirikiana na jeshi la wayahudi. hali ilizidi kuwa mbaya kwa waarabu kwani wayahudi waliongezeka zaidi baada ya ubaguzi huko germani wakati wa Hitler.
Mwisho wa siku Israel ikajitangaza taifa Bada ya muda uliowekwa na British kumalizika. waarabu wakajaribu kuzipiga na Israel hawakuweza . Israel ikajitanua na kuongeza mipaka. chuki ndipo iliponoga Arabuni kote na kuzidi kuota mizizi.
British hawakuweza kuwasapoti waarabu, NA US iliwasapoti Israel.. Matokeo yake waarabu wakagoma Wakatumia mgongo wa mafuta kuwabania waingereza, marekani. hii ikapelekea Soviet Union kujiingiza kwa mgongo wa nyuma akiwasapoti waarabu. Na ndio wanaofanya maisha kuwa magumu pale mashariki ya kati. Kila upande una-push interest zake bila kutazama interst za mwingine.


Kwa Sasa kuna hili kundi la kigaid la HAmas lenye ideology ya kidini ya kuangamiza Taifa la israel ndio inapelekea huu ugomvi kutokwisha kabisa. Manake linakalia GAZA na linajenga underground Tunnel. NA limegeuka kitisho kwa Usalama wa raia wa Palestina na waisrael.

Taifa la iran.nalo ni Tatizo pale mashariki ya KAti: Israel sio kitisho kwa waarabu tena.
Mauaji wanayayapata wampalestina yanachangiwa na Mbinu za kigaidi za HAmas.

Mkuu naona unachanganya mambo. Ujerumani ni sehemu ni nchi moja tu walikouawa wayahudi, the fact is it happened accross Europe, wayahudi walikuwa wanawindwa karibu kila nchi, hata kwenye nchi ambako hakukuwa na aryans aka supremacists. It was not racism...may be Nazism which is almost a mix of all sorts of evils.

Isarel haikuwahi kujitangaza kuwa nchi, ilianzishwa na azimio namba 181 lililopitishwa mwaka 1947 na baraza la usalama la Umoja wa mataifa. Sababu ni kuwa hakuna nchi ya Ulaya iliyotaka kuwa accomodate wayahudi walikuwa hawatakiwi Ulaya, na wao waklikataa kupelekwa Uganda.

Kumbuka kuwa Iran imekuwa tatizo baada ya kutofautiana na Marekani na hasa baada ya mapiduzi ya kiislamu. Kumbuka kuwa Israel kuna right wingers ambao bila uwepo wa Hamas uwepo wao kisiasa unafutika, kama Hamas wakiwa kimya wanaelekeza macho Iran.

Kwa mtu anayejua vizuri IDF, wakiifanyia kazi Hamas kwa mwezi mmoja tu wanaweza kuimaliza. So usijedanganye kuwa Hamas ni tatizo kubwa kwa Isarel au ni tishio kubwa kwa Israel. Tishio la kweli kwa Israel may be Iran or Pakistan.
 
Mkuu naona unachanganya mambo. Ujerumani ni sehemu ni nchi moja tu walikouawa wayahudi, the fact is it happened accross Europe, wayahudi walikuwa wanawindwa karibu kila nchi, hata kwenye nchi ambako hakukuwa na aryans aka supremacists. It was not racism...may be Nazism which is almost a mix of all sorts of evils.

Isarel haikuwahi kujitangaza kuwa nchi, ilianzishwa na azimio namba 181 lililopitishwa mwaka 1947 na baraza la usalama la Umoja wa mataifa. Sababu ni kuwa hakuna nchi ya Ulaya iliyotaka kuwa accomodate wayahudi walikuwa hawatakiwi Ulaya, na wao waklikataa kupelekwa Uganda.

Kumbuka kuwa Iran imekuwa tatizo baada ya kutofautiana na Marekani na hasa baada ya mapiduzi ya kiislamu. Kumbuka kuwa Israel kuna right wingers ambao bila uwepo wa Hamas uwepo wao kisiasa unafutika, kama Hamas wakiwa kimya wanaelekeza macho Iran.

Kwa mtu anayejua vizuri IDF, wakiifanyia kazi Hamas kwa mwezi mmoja tu wanaweza kuimaliza. So usijedanganye kuwa Hamas ni tatizo kubwa kwa Isarel au ni tishio kubwa kwa Israel. Tishio la kweli kwa Israel may be Iran or Pakistan.
Mkuu kuanzishwa kwa taifa la Israel ni maamuzi ya waisrael wenyewe na sio maoni ya wazungu - Ni Matokeo ya kuibuka kwa ZIONISM MOVEMENT.

MAtaifa ya Ulaya yaliwasapoti kwasababu wao walitaka Kuwa na Taifa Lao.
Wakati huo huo kulikuwa na ARAB NATIONALISM. Na wao wakitaka ardhi eneo la PAlestine, iliyokuwa chini ya mkoloni Mwingereza. NA hii ni baada ya Kushinda vita dhidi ya ujerumani.

The conflicting forces of Arab nationalism and the Zionist movement created a situation which the British could neither resolve nor extricate themselves from. Pogroms in Russia and the Ukraine as well as Adolf Hitler's rise to power in Germany created a new urgency in the Zionist movement to create a Jewish state, and the evident intentions of the Zionists provoked increasingly fierce Arab resistance and attacks against the Jewish population (most notably in the preceding 1929 Hebron massacre, the activities of the Black Hand, and during the 1936–39 Arab revolt in Palestine). The British-appointed Grand Mufti of Jerusalem, Haj Amin al-Husseini, led opposition to the idea of turning part of Palestine into a Jewish state.[SUP][5][/SUP]
WAafrika tumegeuzwa watumwa duna nzima. Kupitia framework of thought yako Unataka kuleta impression kuwa sisi Waafrika kwa kuwa watumwa ni kwasababu sisi tulikuwa Tatizo Dunia nzima.? Manake kama kuna jamii iliyonyanyasika Duniani SISI BLACKS tunaongoza.
Na ukumbuke pia hata sisi black tumepata uhuru kwa kudai. Nyerere kukibaliwa UN haimaanishi tulihurumiwa. Tulidai
Historical Timeline - Israeli-Palestinian Conflict - ProCon.org
https://history.state.gov/milestones/1945-1952/creation-israel

Historical Timeline - Israeli-Palestinian Conflict - ProCon.org
 
A leaked report filed by the European
Union suggests that sanctions on Israel
should be considered for its continued
construction in “sensitive areas” of
Jerusalem, and warns that polarization
and violence in the city are at an all-
time high since Israel captured east
Jerusalem and the Old City from Jordan
in the Six Day War in 1967.
The report detailed a “vicious cycle of
violence … increasingly threatening the
viability of the two-state solution”,
which was heightened by “systematic”
Jewish construction in “sensitive areas”
of Jerusalem, according to an article
published Friday by the Guardian
newspaper.
East Jerusalem was annexed by Israel,
which claims the entire city as its capital,
but Israeli construction across the
pre-67 lines is opposed by most of the
international community; the
Palestinians seek the area as the capital
of a future state.
“The tensions, mistrust and violence
which have accompanied developments
in the city in the course of the year have
reached extremely high levels,” the
report said.
“These developments are increasingly
threatening the viability of the two-state
solution and, in turn, risk precipitating
further levels of polarization and
violence,” it continued.
The report added that 2014 was
“distinguished by a number of specific,
disturbing and often violent
developments,” asserting that stone
throwing, terror attacks and heavy-
handed measures by Israeli security
forces were likely to lead to “further
escalation and extreme polarization” if
not properly addressed.
Security forces, the report noted, “have
been engaged in recurrent violent
confrontations with Palestinian youth
that led to more than 1,300 arrests (with
40% of the detainees being minors)”.
Israeli riot police officers detain a
Palestinian youth during clashes in the
East Jerusalem neighborhood of Silwan
on October 26, 2014 (photo credit: AFP/
AHMAD GHARABLI)
The report also noted Israel’s perceived
interference in the status of the Temple
Mount, blaming both sides for a rise of
violence. Religious jurisdiction at the
Temple Mount — the holiest site in
Judaism and the third holiest site in
Islam — is in the hands of the Islamic
Waqf; Israel maintains overall security
control at the contested site.
The EU report contends that “settlers
and national religious activists [frequent
the Temple Mount] under the protection
of Israeli forces” on an “almost daily
basis.”
The 28-member political body has also
mulled tougher sanctions against Israel
in response to continued construction in
East Jerusalem.
A number of recommendations were
made by the report, including:
– Taking coordinated steps to ensure
consumers in the EU can make informed
decisions on the purchase of “settlement
products” by labeling them according to
existing EU rules
– The adoption of new restrictions
against known violent settlers and those
calling for acts of violence as regards
immigration regulations in EU member
states
– Raising awareness among EU citizens
and businesses about the economic and
financial risks of conducting business
with entities beyond the 1967 lines
– Advancing voluntary guidelines for EU
tour operators to prevent support for
settlement business in East Jerusalem
The report, which is currently being
evaluated in Brussels, expresses the EU’s
frustration over the lack of progress
over peace talks. The EU has threatened
sanctions against Israel for several years
in an effort to prod forward the peace
process with the Palestinians and
discourage settlement expansion. The
political body has also indicated it may
reassess bilateral ties should no
movement on peace talks be made.
In October, the Times of Israel reported
that some EU members were considering
implementing a mechanism that would
immediately penalize Israel for every
step deemed unhelpful to the peace
process.
 
Baada ya Netanyahu kushinda Chama chake cha Likud kimepata ushindi wa kishindo kuliko miaka ya nyuma.

Netanyahu ataazimia kuunda baraza la mawaziri kwa kuwashirikisha vyama vyenye misimamo mikali kama likud ambayo itaifanya serekali ya netanyahu kuwa na nguvu kubwa ya maamuz tofauti na miaka mingine.

Kipaumbele cha Netanyahu ni kuzuia Iran kijeshi na huenda akafanikiwa kwa kuungwa mkono na Mawaziri na Wabunge wengi wa Likud na vyama vyenye misimamo mikali na huenda Israel ikazidi kutengwa na kudorora kiuchumi kutokana Na misimamo ya Netanyahu na kuhusu Palestina huenda Chama cha Fatah kikaungana na Hamas na wakaanza mapambano dhidi ya Israel kwa sababu ya sera mpya za Netanyahu za kuhakikisha kuwa no palestinian state
awamu hii israel itakua na changamoto km iran,hzbullah,hamas,na fatah[hamas mpya].

Netanyahu ana kibarua kizito cha kupunguza umasikini mkubwa wa Waisrael sambamba na kuboresha huduma za jamii na miundo msingi

NAWASILISHA KWENU.
Wa-Iran hawawaogopi Wa-Israil Wa-Iran wanachongojea Kwa Wa-Israil wachokozwe ndipo utakapo wajuwa Wa-Iran ni watu wa aina gani? Wa-Iran wana Bomu la nyuklia wakipigwa na wa-Israil basi wao Wa-Iran watalitumia hilo Bomu la Nyuklia kuiangamiza Israil.
 
Wa-Iran hawawaogopi Wa-Israil Wa-Iran wanachongojea Kwa Wa-Israil wachokozwe ndipo utakapo wajuwa Wa-Iran ni watu wa aina gani? Wa-Iran wana Bomu la nyuklia wakipigwa na wa-Israil basi wao Wa-Iran watalitumia hilo Bomu la Nyuklia kuiangamiza Israil.

Mkuu inaonyesha hujazifahamu vizuri geopolitics.

Iran inajua kabisa kuwa Israel ikiingia vitani. Na USA inaweza kujiingiza kuisapoti Israel like wise saudia. Na hii itafanya wao(Iran) wapoteze ushindi Kwani haya mataifa yako very muscle.
Ni ngumu kwa Iran kuamini kuwa Israel itaingia vitani pekee yake.
Kuhusu nuclear, ufahamu tu kuwa taifa kumiliki nuclear sio jambo la kuficha. Pale Israel kuna wapalestina. Hata tukisema iran itatumia nuclear basi ni wazi itabidi iue na wapalestina na RAIA wa mataifa mengine pale Israel. Plus kuharibu maeneo matakatifu ya abrahamic religion. Kitendo hicho lkitapelekea heavy retaliation Ya mataifa Makubwa dhidi ya Iran.

Kwahiyo kuhusu matumizi ya nuclear pale ni Impossible, isipokuwa kama wa-iran ni extremists wanaweza kujilipua ili wapate pepo, kama pepo IPO. Lakini sioni uwezekano wa Iran kufanya uhalifu huo Mkubwa wa kivita duniani.

Labda watumie proxy war. Hapa napo itawafanya waonekane wanapika ugaidi. Na hii itafanya jumuia ya kimataifa iwashughulikie.

Nachojua Iran inataka kuwa na nuclear ili kupunguza uwezekano wa wao kushambuliwa kijeshi na mataifa ya magharibi. Ambapo mpaka sasa uwezekano huo haujafutika.
George bush alizitaja Iran, northkorea na Iraq kama mihimili ya uovu duniani.

Pia usisahahu Saudia Qatar, Pakistani, Yemen na nchini nyingine za Ghuba zinaichukulia Iran kama kitisho kuliko Israel. Ni wazi kuwa Iran INA mtihani mgumu zaidi kuumudu.

Hii giant shiite country ndani yao wanajua fika utawala wao wa kiayatolah uko hatarini, kama wataruhusu mazingira ya vita kwa sasa. Ahmednejan alipondewa na viongozi wenzake kwa kutaka kuhatarisha nchini yake kushambuliwa na USA wakati wa uongozi wake. Ndio maana Rais wa sasa wa Iran amekaa ki-diplomasia sana kama alivyokuwa khatami. Lengo ni kuhakikisha Wana bargain bila vita. Ndio maan provocation za Israel wamekuwa wakijibu passive zaidi, kuwa watawasemea Israel UN. Lengo ni wao kujenga taswira njema kimataifa.
Na ndio.maana Iran Umekuwa imara sana kwenye bargaining na kuzizidi nchi za kimagharibi kuna baadhi ya stipulations wameweza kuwa beat wamarekani kwenye round table. Na hii ndio zinafanya Israel izidi kupanik na kujenga hoja kama zile za george bush za kuivamia Iraq.
Lengo waaung'oe utawala wa IRAN mapema.
 
iran habargain na mtu,iran anaombwa,ndo maana unasikia yale mazungumzo yasiyoisha kila siku.
iran siye ataeanza kushambulia israel,inachosubiri ishambuliwe kisha itajibu.
netanyau haaminiki tena kimataifa,na obama amemwambia wazi kuwa watasitiza kuwaunga mkono israel kule umoja wa mataifa.

umoja wa ulaya nao wanafikilia uwezekano wa kuiwekea vikwazo israel iwapo itaendelea na ujenzi kataka maeneo ya east jerusalem.
 
Mkuu inaonyesha hujazifahamu vizuri geopolitics.

Iran inajua kabisa kuwa Israel ikiingia vitani. Na USA inaweza kujiingiza kuisapoti Israel like wise saudia. Na hii itafanya wao(Iran) wapoteze ushindi Kwani haya mataifa yako very muscle.
Ni ngumu kwa Iran kuamini kuwa Israel itaingia vitani pekee yake.
Kuhusu nuclear, ufahamu tu kuwa taifa kumiliki nuclear sio jambo la kuficha. Pale Israel kuna wapalestina. Hata tukisema iran itatumia nuclear basi ni wazi itabidi iue na wapalestina na RAIA wa mataifa mengine pale Israel. Plus kuharibu maeneo matakatifu ya abrahamic religion. Kitendo hicho lkitapelekea heavy retaliation Ya mataifa Makubwa dhidi ya Iran.

Kwahiyo kuhusu matumizi ya nuclear pale ni Impossible, isipokuwa kama wa-iran ni extremists wanaweza kujilipua ili wapate pepo, kama pepo IPO. Lakini sioni uwezekano wa Iran kufanya uhalifu huo Mkubwa wa kivita duniani.

Labda watumie proxy war. Hapa napo itawafanya waonekane wanapika ugaidi. Na hii itafanya jumuia ya kimataifa iwashughulikie.

Nachojua Iran inataka kuwa na nuclear ili kupunguza uwezekano wa wao kushambuliwa kijeshi na mataifa ya magharibi. Ambapo mpaka sasa uwezekano huo haujafutika.
George bush alizitaja Iran, northkorea na Iraq kama mihimili ya uovu duniani.

Pia usisahahu Saudia Qatar, Pakistani, Yemen na nchini nyingine za Ghuba zinaichukulia Iran kama kitisho kuliko Israel. Ni wazi kuwa Iran INA mtihani mgumu zaidi kuumudu.

Hii giant shiite country ndani yao wanajua fika utawala wao wa kiayatolah uko hatarini, kama wataruhusu mazingira ya vita kwa sasa. Ahmednejan alipondewa na viongozi wenzake kwa kutaka kuhatarisha nchini yake kushambuliwa na USA wakati wa uongozi wake. Ndio maana Rais wa sasa wa Iran amekaa ki-diplomasia sana kama alivyokuwa khatami. Lengo ni kuhakikisha Wana bargain bila vita. Ndio maan provocation za Israel wamekuwa wakijibu passive zaidi, kuwa watawasemea Israel UN. Lengo ni wao kujenga taswira njema kimataifa.
Na ndio.maana Iran Umekuwa imara sana kwenye bargaining na kuzizidi nchi za kimagharibi kuna baadhi ya stipulations wameweza kuwa beat wamarekani kwenye round table. Na hii ndio zinafanya Israel izidi kupanik na kujenga hoja kama zile za george bush za kuivamia Iraq.
Lengo waaung'oe utawala wa IRAN mapema.

Marekani kujiingiza ktk vita dhidi ya Iran inamaanisha kutamvuta Russia upande wa Iran kwasababu Russia ana economic na military interests zake kule.I guarantee you, if that happens we will witness the third world war.God forbid!
 
Mkuu inaonyesha hujazifahamu vizuri geopolitics.

Iran inajua kabisa kuwa Israel ikiingia vitani. Na USA inaweza kujiingiza kuisapoti Israel like wise saudia. Na hii itafanya wao(Iran) wapoteze ushindi Kwani haya mataifa yako very muscle.
Ni ngumu kwa Iran kuamini kuwa Israel itaingia vitani pekee yake.
Kuhusu nuclear, ufahamu tu kuwa taifa kumiliki nuclear sio jambo la kuficha. Pale Israel kuna wapalestina. Hata tukisema iran itatumia nuclear basi ni wazi itabidi iue na wapalestina na RAIA wa mataifa mengine pale Israel. Plus kuharibu maeneo matakatifu ya abrahamic religion. Kitendo hicho lkitapelekea heavy retaliation Ya mataifa Makubwa dhidi ya Iran.

Kwahiyo kuhusu matumizi ya nuclear pale ni Impossible, isipokuwa kama wa-iran ni extremists wanaweza kujilipua ili wapate pepo, kama pepo IPO. Lakini sioni uwezekano wa Iran kufanya uhalifu huo Mkubwa wa kivita duniani.

Labda watumie proxy war. Hapa napo itawafanya waonekane wanapika ugaidi. Na hii itafanya jumuia ya kimataifa iwashughulikie.

Nachojua Iran inataka kuwa na nuclear ili kupunguza uwezekano wa wao kushambuliwa kijeshi na mataifa ya magharibi. Ambapo mpaka sasa uwezekano huo haujafutika.
George bush alizitaja Iran, northkorea na Iraq kama mihimili ya uovu duniani.

Pia usisahahu Saudia Qatar, Pakistani, Yemen na nchini nyingine za Ghuba zinaichukulia Iran kama kitisho kuliko Israel. Ni wazi kuwa Iran INA mtihani mgumu zaidi kuumudu.

Hii giant shiite country ndani yao wanajua fika utawala wao wa kiayatolah uko hatarini, kama wataruhusu mazingira ya vita kwa sasa. Ahmednejan alipondewa na viongozi wenzake kwa kutaka kuhatarisha nchini yake kushambuliwa na USA wakati wa uongozi wake. Ndio maana Rais wa sasa wa Iran amekaa ki-diplomasia sana kama alivyokuwa khatami. Lengo ni kuhakikisha Wana bargain bila vita. Ndio maan provocation za Israel wamekuwa wakijibu passive zaidi, kuwa watawasemea Israel UN. Lengo ni wao kujenga taswira njema kimataifa.
Na ndio.maana Iran Umekuwa imara sana kwenye bargaining na kuzizidi nchi za kimagharibi kuna baadhi ya stipulations wameweza kuwa beat wamarekani kwenye round table. Na hii ndio zinafanya Israel izidi kupanik na kujenga hoja kama zile za george bush za kuivamia Iraq.
Lengo waaung'oe utawala wa IRAN mapema.
Wa-Iran wapo Pamoja na WARUSI ondosha shaka hiyo ndio maana M-Marekani hamruhusu Mu-Israil amshambulie Mu-Iran anajuwa moto utawaka ambaoa kuzimika kwake itakuwa ni vigumu.
 
Back
Top Bottom