Ila trafic wengi wako barabarani sio kufanya kazi ni kupiga bao
Huu ni uongo kwa kugeneralize
Ila trafic wengi wako barabarani sio kufanya kazi ni kupiga bao
Ngumu kumuelewa mayweather kama huangalii akili anayoitumia ulingoni,punch zake nyingi zinafika na ndio point ila yeye anajilinda mno,kama leo pacquiao karusha ngumi nyingi na kushambulia ila chache mno ndo zimempiha mayweather ila za mayweather nyingi zimetua na ameshinfa round nyingi kuliko pacquiao.
Ukiangalia juu juu utaona kabebwa ila kiutaalam huu ni ushindi wa waza kabida
Mkuu uko sahihi kabisa, Mourinho na Mayweather wako sawa kabisa. Kwao haijalishi wanachezaje, cha msingi ni kushinda tu. Mbinu za Mourinho zinajulikana kama "anti football", kwa hiyo Mayweather naye ni "anti boxing".
Nilijua kuna watu kama wewe ambao hamtanielewa; mtaduwaa tu! hizo ni hard facts kuhusu ushindi wa floyd Mayweather; amesinda fair and square! server ya Jf is there for that purpose; solid minds zinazojua kitu na kutafiti kitu zibadilishane mawazo na kuweka records straight; sio server ijae opinions ambazo ni "emotion na infatuation" based! Bs
Pacman is boxer,Mayweather is runner.....
Umesema kweli kabisa.We mtu anakimbiakimbia tu muda wote halafu eti kashinda mhhhhh haingii akilini kabisa.Watu tumekesha kusubiri ngumi halafu mtu anaingia uwanjani anaanza kukimbia tu muda wote ni wapi na wapi?