Elections 2010 Ushindi wa CCM Kigamboni na mkono wa Jeshi

Mnyamahodzo

JF-Expert Member
May 23, 2008
1,932
985
Katika hali isiyotarajiwa, huku zikiwa zimebakia kata mbili za Mbagala kuwasilisha matokeo yao kwa Msimamizi Mkuu wa Jimbo la Kigamboni, kwenye kituo cha kupokelea matokeo yote ya uchaguzi wa jimbo hilo ambacho ni Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere(Mwalimu Nyerere Memorial Academy) faustine Ndugulile alitangazwa kuwa ameshinda ubunge na askari(mjeshi). Akapewa ulinzi na wajeshi kutoka hapo chuo hadi kuelekea pande za Kigamboni (kwamba ni kwake au kwenye ofisi za CCm haikujulikana).

Wakati yanafanyika majumuisho hadi saa 5 asubuhi, Mama Maulida-anna Komu alikuwa amemwacha Ndugulile kwa kura zaidi ya 3000.

Mama Komu alipokwenda ili kutangazwa rasmi kuwa ni mshindi , ndipo tik-tak hiyo ilipopigwa.

Kitu kizuri ni kuwa si yeye wala mgombea wa CUF waliokubali matokeo hayo, pia hawakuweka saini zao.
 
Hongera sana Ndugulile kwa ushindi wa Kigamboni, hope utatutetea ili Kigamobni yetu irudi mikononi kwetu kutoka kwa wawekezaji. Lakini Jimbo hili bora lingechukuliwa na Wapinzani labda mabadiliko yengewezekana.
 
Ukiacha Unazi wa chama. Be honest for a minute. Dr Faustine au Mama Komu nani atakuwa mbunge bora? Its the same way with Halima Mdee, she was better than yule mama wa CCM. Same thing as yule Profesa wa Chadema wa Ulanga, the guy is brilliant. Dr. Buriani is better than Godbless Lema. Chenge, Prof Maji Marefu and Sugu hawafai kuwa wabunge, regardless wametoka chama gani.
 

Wewe unae faa mbona hukugombea ili uwatumikia wananchi?
 
Ushindi ni ushindi tu,Mkwezi zake mbili zinazobaki ni za mwenye mnazi,mmeshapewa Kawe na Ubungo finish zinazobaki ni zamwenye mnazi.
 
Huo ni mtazamo wako. Si lazima uwe sahihi maana uongozi haupimwi kwa mitazamo.
 
Usimtukane Mbunge wetu G. lema kwani kufanya hivyo ni kusema Arusha hatuna akili woote tuliomchagua Lema. hatukurupuka hapa hatuchaguai Mbunge wa kwenda kuwa lecturer bungeni bali mwenye uwezo na utashi wa kuyaelewa matatizo ya wananchi na kuyafanyia kazi. Hili halihitaji elimu kubwa. DK. Batilda anaweza kuwa Brilliant lakini kwenye proffessional aliyosomea na siyo kuongoza watu wa Arusha. Sisi tumempima Lema na wasomi wote wakaona anaweza na kama wewe unabisha basi tusubiri na tuone.

Acha kuchambua elimu ya mtu kwa kuangalia uwezo wa Elimu yake. Kama elimu inaweza kuwa ni kipimo cha kuweza kila kitu basi kwa mfano rahisi kabisa tungetegemea kwa kuanzia kuona ndoa zao zikiwa stable kuliko za watu wasiokwenda shule. Ubunge ni uwezo na utashi wa mtu kama sivyo basi akina Mtemi Mirambo, Mangi Sina, Mkwawa na Kinjikitile na wengine wengi wasingeweza kuongoza kwa sababu hawakusoma .
 
Pamoja na kukosa elimu nataka nikwambie akina Mkwawa na Mtemi Mirambo na watemi woote maarufu wangekuwepo wangetuongoza vizuri kuliko JK ambaye amesoma
 
Hongera sana Ndugulile kwa ushindi wa Kigamboni, hope utatutetea ili Kigamobni yetu irudi mikononi kwetu kutoka kwa wawekezaji. Lakini Jimbo hili bora lingechukuliwa na Wapinzani labda mabadiliko yengewezekana.
HIVI NDIVYO MBUNGE ANVYOCHUJWA
KURA ZA MAONI NDANI YA CHAMA = UNAOSEMA HAWAFAI WALIPITA
MCHUJO WA NEC = UNAOSEMA HAWAFAI WALIPITA
KURA ZA WANANCHI = UNAOSEMA HAWAFAI WALIPITA
MAPAMBANO ZIDI YA UCHAKACHUAJI =UNAOSEMA HAWAFAI WALIPITA
KUPIGWA MABOMU NA POLISI =UNAOSEMA HAWAFAI WALIPITA
KUPEWA HONGO NA CCM(400Million -900Million) ILI WAACHIE =UNAOSEMA HAWAFAI WALIPITA

Jamani alipita vikwazo hivyo vyote anafaa, amepita katika moto na sasa ni dhahabu safi
 


kinyeo wewe

:nono::nono::nono::nono::nono::nono:
 

Selemani, huenda ukawa hujui ama unajifanya hujui wakati haujui kweli. Katafute gazeti la RAI la tarehe 20,27 na 3 april 2008 sambamba na Mwananchi ya wiki hizo usome vizuri.


NEED WE SAY MORE?

Kitu gani kilimtoa Wizara ya afya hata akakimbilia Afrika ya Kusini?
 
HAIWASAIDII, WAENDE WAKADAI HAKI YAO KORTINI:tape:
 
Sawia na hilo selemani et al jiulizeni ni watanzania wangapi walikufa na wanaendelea kufa hadi sasa kutokana na maamuzi yaliyotokana na rushwa yaliyofanywa na huyu Dk na wenzake?

Kisha njoo utafute, ukipata tuambie, madudu aliyofanya Mama Komu yanayowagharimu watanzania hadi sasa.
 
AISE ASANTE. Yani hawa watu wazushi. Alafu hio gazeti sio ya Rostam kweli?
 
Hongera sana Ndugulile kwa ushindi wa Kigamboni, hope utatutetea ili Kigamobni yetu irudi mikononi kwetu kutoka kwa wawekezaji. Lakini Jimbo hili bora lingechukuliwa na Wapinzani labda mabadiliko yengewezekana.

ni sawa na fisi kukurudishia mfupa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…