Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Katika hali isiyotarajiwa, huku zikiwa zimebakia kata mbili za Mbagala kuwasilisha matokeo yao kwa Msimamizi Mkuu wa Jimbo la Kigamboni, kwenye kituo cha kupokelea matokeo yote ya uchaguzi wa jimbo hilo ambacho ni Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere(Mwalimu Nyerere Memorial Academy) faustine Ndugulile alitangazwa kuwa ameshinda ubunge na askari(mjeshi). Akapewa ulinzi na wajeshi kutoka hapo chuo hadi kuelekea pande za Kigamboni (kwamba ni kwake au kwenye ofisi za CCm haikujulikana).
Wakati yanafanyika majumuisho hadi saa 5 asubuhi, Mama Maulida-anna Komu alikuwa amemwacha Ndugulile kwa kura zaidi ya 3000.
Mama Komu alipokwenda ili kutangazwa rasmi kuwa ni mshindi , ndipo tik-tak hiyo ilipopigwa.
Kitu kizuri ni kuwa si yeye wala mgombea wa CUF waliokubali matokeo hayo, pia hawakuweka saini zao.
Wakati yanafanyika majumuisho hadi saa 5 asubuhi, Mama Maulida-anna Komu alikuwa amemwacha Ndugulile kwa kura zaidi ya 3000.
Mama Komu alipokwenda ili kutangazwa rasmi kuwa ni mshindi , ndipo tik-tak hiyo ilipopigwa.
Kitu kizuri ni kuwa si yeye wala mgombea wa CUF waliokubali matokeo hayo, pia hawakuweka saini zao.