Ushindi unakuja CHADEMA

Ipo shida moja kubwa ambayo inabidi ifanyiwe kazi haraka iwezekanavyo nayo ni;

Kuuelimisha UMMA utofauti kati ya UZALENDO na UANA HARAKATI.

UZALENDO ni pale damu ya wachache humwagwa kwa ajili ya wengi

UANAHARAKATI ni pale kundi dogo la watu linapotetea maslahi ya watu wachache.

Huwezi kumueleza kijana Solomoni Mahlangu kwa kuitakasa CHADEMA wewe unakua unashida ya maana ya maneno hayo mawili hapo juu.

TAFAKARI TENA KISHA REJEA MAANDIKO YAKO
 
I can't agree more yaani you narrowed it down with precize words.
 
Kwa mtazamo wako nani mzalendo na nani mwanaharakati?
 
Bila Tume huru na sheria sawa za uchaguzi ndoto yako itabakia ndoto.
 
chama kimetawala mda mrefu hadi mawazo mapya hakuna.
 
jadili hoja acha personal attacks.Ila tatizo lako ndio hili kuwa na utapiamlo kichwani
Mkuu sisi wakunaji huwa tunakuja panapowasha..
Nashkru nimekukuna mahali sahihi Hadi umeshindwa kujizuia.......
 
Yuko wp cku hz
Nasikia Mr. Lowassa ana imani atapendekezwa kuwania uraisi Chadema. Sasa hivi ni "AJUA" - yaani amerudi CCM wasipompendekeza anaenda CHADEMA! Na kwa sababu CHADEMA hawana mtu wa mvuto mpaka sasa, hawata mkatalia.
 
Hatuwezi kuwapa nchi wazinzi
Kama tu mnaweza kusaliti ndoa zenu mpaka mnateguka miguu,mkipewa dola ,mtatafuna wanawake wa nchi nzima
Kwa hilo, japo sina uhakika kwa Mbowe, aheri ufunge mdomo. Hivi unajua kuwa hata unayemwabudu alimpa mimba mwanafunzi wa kidato cha 6?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ya hii nchi elimu ni tatizo yaani ukiwa mpinzani ni kama mhaini

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana! Upinzani wa dr Slaa ulionesha ukomavu wa mawazo na hoja. Huu wa akina Lissu ni kutukana. Mwenye matusi mengi ndo mwenye sifa ya ushujaa. NO!

Niliwahi kuuliza sababu ya mtu kutukana; Huu ni upumbavu, Uchwara, n.k. Halafu ukipelekwa mahakamani unasema nimewapiga chini! Yes, umewapiga chini mahakamani lakini ktk jamii hatutakuona kuwa ni mshindi. Pole pole baadaye tunawaona wapinzani ni wahuni tu!
 
Tazama kibuyu kingine hiki, unatujazia hisia zako hapa halafu unataka zijadiliwe!.

Werevu wanajadili facts, sio hisia, wacha ushamba.
Kwa matusi tu mnashInda kwa 100%.

Lowasa mlimshangilia hata zaidi ya Membe na baada ya kumaliza kazi yake sasa mnapukutika kama wagonjwa wa covid19 tena wa USA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…