Changes boy
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 552
- 363
- Thread starter
- #81
Nawaacha wote kuanzia my babie mpaka mashemeji kuanzia sasa wote nitawachana true. Maana wanakwamisha ratiba zangumdogo wangu huo sio ufahari angalia UTU wako utadhalilika baadae kwa tamaa ya muda mfupi