papag
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 1,137
- 1,608
Habari wan JF?
Nafahamu asillimia kubwa humu jamvini ni wale wametoka kwenye familia za kawaida.sasa swali langu ni hili.je wakati unaanza mapenzi,umeshawahi kula tunda uchochoroni au vichakani?na je ni uzoefu gani uliupata?ukilinganisha na kukutana nyumba ya wageni au sehemu ambayo ina staha?
nawasilisha
Nafahamu asillimia kubwa humu jamvini ni wale wametoka kwenye familia za kawaida.sasa swali langu ni hili.je wakati unaanza mapenzi,umeshawahi kula tunda uchochoroni au vichakani?na je ni uzoefu gani uliupata?ukilinganisha na kukutana nyumba ya wageni au sehemu ambayo ina staha?
nawasilisha