Ushawahi pitia kama hii single father?

Huyo mwanao ana tabia gani mbaya?
 
Ni ngumu kwa sana kwa mama wa kambo kumpenda mtoto asiye wake. Hii kitu sikia tu kwa wengine. Tena mbaya zaidi ukute huyo mama wa kufikia hana mtoto. Naanza kukuelewa mkuu. Story saingine ikiwa nusu ni rahisi mtu kuhukumu
 
Duh mbona una changamoto mkuu tatzo ni nini adi inakuwa hiv? Huyo mkeo wa pili ujazaa nae ?
 

Brother hauna mzazi yoyote ambaye yuko hai ?
Kama bibi yake yuko hai jaribu kumpeleka akapate maradhi mazuri, huyo mtoto una mduhurumu vitu vya msingi baadae atakuja kukulahumu huyo 🥹
 
Unafikili mtoto wa miaka 8 tena bint atakuwa na tabia mbaya ambayo ww mzazi mwenye miaka 30 na kuendelea kushindwa kuirekebisha?? Waza hili kwanza.
Nimewaza kwa mapana: iwaje mama wa kambo afikie kukuchagulisha kati yake na mtoto

Usikute mtoto ndo wale dady's princess kama ndo hivo hata mimi mama wa kujitolea ntashindwa! mana mi ndo nataka mtoto anyooke kama rula usafi ndo usafi mtoto aweza ona yuko jehanam
 
Konk ujumb mzuri
 
Konk ujumb mzuri
 
Mkuu huna ndugu kama mama yako, dada yako au ndugu yeyote wa kike anayeweza kukaa na mtoto wako huyo na wewe ukawa unapeleka mahitaji yake huko?
 
uoneshe upendo mkubwa kana kwamba umemzaa wewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…