Dah hongera mkuu.Enzi hizoooo utotoni
poaDah hongera mkuu.
Kweli mdau! Picha ya chabo kawaida yatakiwa kuishia kwenye magoti au chini zaidi ili dalili za milipuko ya volkano zionekane!Pichani sio chabo hiyo!!!
Anamgongea dirisha demu wake amfungulie atinge ndani "wakaongee"
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Umenikumbusha jamaa mmoja mtaani kwetu nikokulia alikuwa mpiga chabo maarufu, alikuwa na kiti kwa ajili ya kupanda madirisha marefu na kofia anavaa kwa kuigeuzia nyuma hivyo mtu akimatazama kwa mbali kama anatazama upande wa nyuma.
Aiseeeeee.......Pichani sio chabo hiyo!!!
Anamgongea dirisha demu wake amfungulie atinge ndani "wakaongee"
oya mkuu unataftwa kuna uzi wako mahala