Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Tigershark

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2018
Posts
7,051
Reaction score
12,572
Leo wakati napitia mitandao kupata habari za asubuhi,nimekutana na mtu anaeleza kuwa kufikiri maisha kumemfanya apige mshindo!
Hii imenikumbusha story yangu nikiwa kidato cha 4!Nikiwa kwenye mitihani ya NECTA nakumbuka kuna mtihani mmoja wa Engineering science(Kwa wale waliosoma technical schools wanalielewa somo hili) niliingia nikiwa na hofu sana!Tulikuwa na utamaduni wa kuanza section ya mwisho ambayo ilikuwa na maswali yenye marks nyingi lakini conceptual na tricky questions!Nilipoanza kuyasoma,nikaona kama yote hayatembei!!!!Hofu ikaongezeka,basi nikiwa kwenye hali ya panic,ghafla nilipata hisia fulani(siwezi kuielezea) na ndani ya sekunde chache nikajikuta nimepiga bao moja zito ikiambatana na sauti ambayo hata siikumbuki!Wanafunzi wengi waligeuka kuniangalia kulikoni,mpaka msimamizi akanifuata na kuniambia niende nje kupunga upepo kidogo maana jasho lilikuwa likinitoka na ni asubuhi!
Nilienda nje na kutulia na niliporudi nikawa niko calm,nilisoma tena yale maswali na kuyaona ya kawaida tofauti na awali!!!!

Mpaka leo sijawahi kuuliza wataalamu juu ya hali hiyo!Ila nikiri wazi kuwa sijawahi kupiga bao tamu kama lile nikiwa na mwanamke,it was exceptional kwakweli!!!!!
 
Umenikumbusha necta yetu ya form six...tumeingia kwenye practical ya chemistry,jamaa akawa anafanya titration huku haoni colour change mpaka acid yote inaisha kwenye burrete..nikaona suruali yake imelowa kwa mbele,nikashtuka..baadae akajakutuambia kuwa alipizi...
 
Umenikumbusha necta yetu ya form six...tumeingia kwenye practical ya chemistry,jamaa akawa anafanya titration huku haoni colour change mpaka acid yote inaisha kwenye burrete..nikaona suruali yake imelowa kwa mbele,nikashtuka..baadae akajakutuambia kuwa alipizi...
Hahahahaaaaaaa,usiombe ikukute kwenye 18!!!
 
Leo wakati napitia mitandao kupata habari za asubuhi,nimekutana na mtu anaeleza kuwa kufikiri maisha kumemfanya apige mshindo!
Hii imenikumbusha story yangu nikiwa kidato cha 4!Nikiwa kwenye mitihani ya NECTA nakumbuka kuna mtihani mmoja wa Engineering science(Kwa wale waliosoma technical schools wanalielewa somo hili) niliingia nikiwa na hofu sana!Tulikuwa na utamaduni wa kuanza section ya mwisho ambayo ilikuwa na maswali yenye marks nyingi lakini conceptual na tricky questions!Nilipoanza kuyasoma,nikaona kama yote hayatembei!!!!Hofu ikaongezeka,basi nikiwa kwenye hali ya panic,ghafla nilipata hisia fulani(siwezi kuielezea) na ndani ya sekunde chache nikajikuta nimepiga bao moja zito ikiambatana na sauti ambayo hata siikumbuki!Wanafunzi wengi waligeuka kuniangalia kulikoni,mpaka msimamizi akanifuata na kuniambia niende nje kupunga upepo kidogo maana jasho lilikuwa likinitoka na ni asubuhi!
Nilienda nje na kutulia na niliporudi nikawa niko calm,nilisoma tena yale maswali na kuyaona ya kawaida tofauti na awali!!!!

Mpaka leo sijawahi kuuliza wataalamu juu ya hali hiyo!Ila nikiri wazi kuwa sijawahi kupiga bao tamu kama lile nikiwa na mwanamke,it was exceptional kwakweli!!!!!


Nimecheka hadi machozi yamenitoka
 
Hii ilinitokea paper 2 ya advanced mathematics npo na pga swali la probability wakati huo msimamizi anasema tumebakiwa na dakika tano na swali nalijua ikatokea mvutano tu plus panic nikajikuta nakosa nguvu mwisho nikapiga bao...niliwasimulia washkaji walicheka sana
 
Form 1 swali lilisema mention and explain types of family. Nika mention, baadae naona ile explain, nikakata, ile nataka kuanza kuandika teacher akasema bado dakika 5. Nilitetemeka mikono haiandiki. Nikajisikia raha ya ajabu. Baadae nikaona vitu vyeupe kwenye boxer , jamaa kuwauliza wakaniambia ndo bao hilo
 
Back
Top Bottom