The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 4,780
- 8,155
Soma hapa kufahamu namna ya kudhibiti maumivu na sumu ukiwa nyumbani.
NGE-- Maumivu yake ni ya masaa 24 na sumu inadumu kwa muda mfupi, Na Ukumwona ukimuua hapo mwisho wa sumu yake.
Au wanasema kata kimkia chake.
TANDU-- Sumu yake kali inakimbilia kifuani na kooni mpaka kichwani sumu yake inafukuta kama
pilipili mwili mzima. Huyu ni hatari kuliko nge.
Ichukuwa masaa 12 Ukimwona muue sumu yake itasimama.
TIBA--Alipo kuuma pakamue kisha Chukua majivu kologa kikombe cha nusu lita kunywa kwa siku ×3, Utakuwa umejitubia ukiwa nyumbani.
Unapoona mabadiliko usisite kwenda hospitali kwa tiba zaidi.
NGE-- Maumivu yake ni ya masaa 24 na sumu inadumu kwa muda mfupi, Na Ukumwona ukimuua hapo mwisho wa sumu yake.
Au wanasema kata kimkia chake.
TANDU-- Sumu yake kali inakimbilia kifuani na kooni mpaka kichwani sumu yake inafukuta kama
pilipili mwili mzima. Huyu ni hatari kuliko nge.
Ichukuwa masaa 12 Ukimwona muue sumu yake itasimama.
TIBA--Alipo kuuma pakamue kisha Chukua majivu kologa kikombe cha nusu lita kunywa kwa siku ×3, Utakuwa umejitubia ukiwa nyumbani.
Unapoona mabadiliko usisite kwenda hospitali kwa tiba zaidi.
️USHAWAHI KUNG'ATWA NA NGE AU TANDU ?