Ushawahi date na mpemba?

Uzee kawaida unaleta tabia za uongouongo, na upotevu wa kumbukumbuku ya uongo utakao usema....
Huku mpemba na mwarabu, kule alikuwa mhindi.....
 
Uzee kawaida unaleta tabia za uongouongo, na upotevu wa kumbukumbuku ya uongo utakao usema....
Huku mpemba na mwarabu, kule alikuwa mhindi.....
Tatizo lako wewe ndio unaochanganya mambo,hii set ya ma x haihusiani na wale wanawake niliowataja kule kwenye stori zangu zilizopita,nanda kasome vizuri yule mke wa mhindi niliandika nimezaa nae?
Yule singo maza wa kiarabu niliandika nimezaa nae?
Tuliza ubongo unaposoma vitu bro
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…