Ushauri: Zitto Kabwe aongezewe ulinzi

Naunga mkono hoja kwani Zitto amekuwa ni mwiba mkubwa katika kupambana na hii serikali ya majizi, mafisadi na WAUAJI ambao wanaweza kabisa kupanga kuchukua uhai wa huyu mwenzetu katika upambanaji.
Mkuu wapinzani wanaishi kimachale sana! Nimeshuhudia mwenyewe! Mfano Mbowe mwenyewe hata kula hali hovyohovyo nk. Kuna jamaa alisema aliwahi kuwashuhudia kina Lissu huko Mwanza wakati wa kula wakiibadilishana vyakula na vinywaji! Kwahiyo mbali na kuongezewa ulinzi, wenyewe tayari wanaishi kama ukimbizini! Nimeshuhudia mwenyewe nikashangaa sana! Kwakweli mh Mbowe ana nafasi yake kwenye historia ya hii nchi!
 
Reactions: BAK
Wanastahili kuishi hivyo Mkuu. Hawa wauaji wako tayari kufanya lolote lile ili kuwanyamazisha hawa wapambanaji wote milele.

 

Kwani ulinzi anapata wap kama sio kwenye tungulili kama za Kigwaks
 
Kwa hiyo kama ni kwamaslahi ya umma, mtu yeyote anaweza kujiamulia kutumia pesa za wananchi!!!
umetoa hoja dhaifu sana!
 
hivi chadema mmeanza lini kumpenda zitto?

chadema wakitoa walinzi ndio hao hao watammaliza zitto na kisha mtasingizia CCM
Hivi wahaya ni cheap? Wee mhaya wa wapi usiye na thamani?
 
na sinunuliki

ila chadema wahuni


ebu kaa chini, zitto before ACT alikuwa chama gani??
That is a reason but it ain't strong, ulimsikiliza alichokuambia? Ukaamimi? Nadhani Hata mtoto wa miaka saba angejua what transpired, he was a friend of the regime not of a person he couldn't distinguish of the two!

Na hakukomaa na kuelewa tofauti hizo, but you didn't understand that maana nikakuona ukamfuata ACT Na sasa uko CCM, but the party you are in now is devoulish hutaelewa kwa sasa, is just like Sadaams BATH party utaelewa baadae tuu.
 

haha sasa wewe TISS unapata presha gani kama niko CCM??
 
Chadema mmepanga kumjeruhi zitto kama mlivyofanya kwa Tundu Lissu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaaa eti kontena la risasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…