Ushauri: Zitto Kabwe aongezewe ulinzi

Miuaji iko povuni
 
Nitakuwa binaadam wa mwisho kabisa kumuamini Zitto Kabwe.
 
CHADEMA wananikumbushaga zile sinema za kihindi za kina Amitabh na Mithun. Yaani huwa wanaviziana kutaka kutekana!.

Unajiuliza hawa wakipewa ile ofisi ya magogoni watafanya mambo ya aina gani.
 
Hivi lile sakata la Zitto kutaka kulishwa Sumu na ben Saanane liliishia wapi?
wewe ni wa kupuuzwa . unamzungumziak mtu ambae wewe na washirika wako mmeshirikiana kumua na hamtaki uchunguzi ufanyike ???
shetani mkubwa wewe? shetan wewe .
 
Watanzania itatuchukua karne kujitambua,kwa hiyo hizo hela za serikali zinatumiwa na mtu bila kufuata utaratibu?
CAG yuko sawa ukweli na uwazi uzingatiwe kwani hii nchi zi ya mtu mmoja kila mmoja ana haki ya kuhoji.
 
Hivi lile sakata la Zitto kutaka kulishwa Sumu na ben Saanane liliishia wapi?
Zitto hakusema kalishwa Sumu bali alipata food poisoning baada ya kula chakula chenye Ecoli sasa unageuza.
 
Mkuu ummeleza mambo mengi sana lakini mleta mada anataka Zitto apewe ulinzi kwa sabu ya kukosoa Serekali naungo mkono hoja yake apewe ulinzi tena mkali sana.
 
Nyie si makamanda? Anzeni kumlinda
 
Mkuu naona ukimuunga mkono CAG na Zitto bila kujua kwani wabunge wanakazi gani majukumu yao niyapi kunasababu gani yakua na wabunge Ujasili wakutumia pesa za umma bila kupitishwa na bunge mwaupatawapi au chigani inatumia nfumo huu?
 
Tumieni akili basi,ndio kama nchi kuna,Katiba,sheria,kanuni na taratibu, hatuwezi kufanya mambo kiholela kwa kisingizio cha kwamba matumizi yasiyofuata taratibu yana faida Kwa Umma, lazima kama nchi tuzingatie utaratibu, kujiamulia mtu anavyojisikia
 
Mkuu hata kama yana manufaa ila kufata utaratibu ni Jambo zuri sana hatuhitaji strong men bali strong institute ili hata kesho Akija Hata Shilole au Diamond basi anaendesha nchi tu bila shida
 
Wataenda na kifaru kabisa ili wasikosee safari hii ya TL yasijirudie.Zzk awape kubwa team ghamboshi anawachelewesha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…