Nilikuwa na mahusiano na binti fulani, nikiwa kama mteja kwenye mgahawa fulani kutokana na mazoea nkabahatika kula mzigo.
Miezi 5 imepita eti ananiambia nilimuachia ujauzito, nikamhoji inakuwaje muda wote huo usiniambie hadi tumbo limeshafutuka hivyo?
Majibu yake sasa...
"Nilikuona uko bize sana halafu hukuwa na time na mimi so nikaamua nikuchunie ila leo nimeamua kukuambia ukweli"
Nilitokwa na jasho jingi sana kwa hasira na nikawa nafkria nimpige au nifanyeje, yaani wahuni wamemjaza huko wamemkataa anakuja kwangu.
Cha ajabu anatuma SMS nyingi sana + calls muda wote kunihakikishia ni mimba yangu.
Wadau nakosa raha kabisa yani hata nikimblock ananitafuta kwa namba tofauti.
Nisaidieni nifanyeje mimi maana hadi nakosa raha naishia kupiga mvinyo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miezi 5 imepita eti ananiambia nilimuachia ujauzito, nikamhoji inakuwaje muda wote huo usiniambie hadi tumbo limeshafutuka hivyo?
Majibu yake sasa...
"Nilikuona uko bize sana halafu hukuwa na time na mimi so nikaamua nikuchunie ila leo nimeamua kukuambia ukweli"
Nilitokwa na jasho jingi sana kwa hasira na nikawa nafkria nimpige au nifanyeje, yaani wahuni wamemjaza huko wamemkataa anakuja kwangu.
Cha ajabu anatuma SMS nyingi sana + calls muda wote kunihakikishia ni mimba yangu.
Wadau nakosa raha kabisa yani hata nikimblock ananitafuta kwa namba tofauti.
Nisaidieni nifanyeje mimi maana hadi nakosa raha naishia kupiga mvinyo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app