Therapist 2015
JF-Expert Member
- Aug 4, 2018
- 791
- 830
Habari ya uzima ndugu Wana JF,, poleni na majukumu ya kila siku.
Nimempenda binti wa kimasai naniko tiyari kwenda kwao kufanya taratibu za kuoana. Ugumu unakuja kwa kaka zake hawataki dada yao aolewe kwa mwanamme asiye masai. wakati huo mama wa binti amekubali na hajui kiswahili na namna ya kuongea naye vigumu.
Kaka ake mkubwa ndo mlezi mkubwa aliyemlea binti tangu mdogo pindi baba yao alipofariki. Binti wa wawatu amekufa ameoza kwangu kama ilivyo kwangu.
Naombeni ushauri wenu wenye experience na case hii. Natanguliza shukrani kwenu wakuu.
Nimempenda binti wa kimasai naniko tiyari kwenda kwao kufanya taratibu za kuoana. Ugumu unakuja kwa kaka zake hawataki dada yao aolewe kwa mwanamme asiye masai. wakati huo mama wa binti amekubali na hajui kiswahili na namna ya kuongea naye vigumu.
Kaka ake mkubwa ndo mlezi mkubwa aliyemlea binti tangu mdogo pindi baba yao alipofariki. Binti wa wawatu amekufa ameoza kwangu kama ilivyo kwangu.
Naombeni ushauri wenu wenye experience na case hii. Natanguliza shukrani kwenu wakuu.