Ushauri wenu unahitajika hapa

Ushauri wenu unahitajika hapa

Vipi usalama wako ??
Hayo mapenzi yasikufanye kipofu, ukajisemea ati upo tayari kwa lolote ila uwe nae, aloo utakatwa mapanga na binti bado akaolewa na wamtakaye huku wewe na dhambi zako ukiteketea kwa imani yako huko kuzimuni.
Hii ni point muhimu,kwanza mimi kwao wakishanikataa hata mimi hamu inaisha,sijui wenzetu wakoje

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom