Ushauri wenu tafadhari. Nimfuate huyu mwanaume kumuuliza kwa nini alinidanganya au nifanye?

Ushauri wenu tafadhari. Nimfuate huyu mwanaume kumuuliza kwa nini alinidanganya au nifanye?

We naye sasa hapo alikuwa ameolewa? Yaani mimi niache kuishi maisha yangu kisa kuna mpuuzi kaniambia ananipenda? Mnatakaga mwanamke asisimame na maisha yake halafu ukiambiwa uprovide kila kitu unatoa macho!! Kuna maisha nje ya mapenzi ww unataka mtu asijipe furaha ukitoka saa tano ya usiku sio mwanamke na aliyetoka saa ya mchana ndio mwema sana? Ujinga🚮
Mbona umechanga idea, suala kutoka nje usiku na kuwa provided kila vina uhusiano gani?
 
Unapata vizuri tuā˜ŗļø
Inawezekana ila ni ngumu sana kwa Tanzagiza yetu . Most likely atapata mwingine anayefanana na huyo wa miaka 48. Anaweza mpata wa late 30s or early 40s though. But sanasana atampata mwanaume alieyefiwa au aliyeachana na mwingine/wengine wengi. Ni ukweli mchungu kwamba bongo haya mambo tunaanza mapema sana. By 30 unakua either umeazalishwa ukaachwa, umeachana, au anayekuo alifiwa au yalimshinda hukoo alikotoka.
 
Inawezekana ila ni ngumu sana kwa Tanzagiza yetu . Most likely atapata mwingine anayefanana na huyo wa miaka 48. Anaweza mpata wa late 30s or early 40s though. But sanasana atampata mwanaume alieyefiwa au aliyeachana na mwingine/wengine wengi. Ni ukweli mchungu kwamba bongo haya mambo tunaanza mapema sana. By 30 unakua either umeazalishwa ukaachwa, umeachana, au anayekuo alifiwa au yalimshinda hukoo alikotoka.
Ni sawa lakini the goal ni kuishi pamoja nothing much or less! Haijalishi ulizaliwa tu ukaolewa, Sijawahi kuelewa point ya umri au sjui kupitia ups and downs za kila aina before kupatana na mwenza wa maisha! Kwanz ahayo mapito yote huwa ni funzo! Vilio vinafanana sio kwa aliyewahi au aliyechelewa! Kama
Unaishi kwenye jamii ya kawaida utakuwa unanielewa! Kwa kifupi hakuna unafuu kwenye swala zima la ndoa!
 
Back
Top Bottom