Ushauri wenu tafadhali "Sifikirii kama nitakuja kuoa"

Ushauri wenu tafadhali "Sifikirii kama nitakuja kuoa"

Levels baby

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
832
Reaction score
770
Nimekuwa kijana mwenye umri wa miaka 35 lakin kuna vitu vingi nimekutana navyo ambavyo vimeniharibu kabisa akili mpaka kufika hatua ya kutofikilia kuoa na nimepigana sana na hari hiyo kiukwel mwenzenu nimeshindwa na huku kila siku nagombana na wazazi kuhusu suala hilo lakini ilifika kipindi nikawaambia ukwel kuwa siji kuoa.

Sababu zinazonipelekea huko;

1. Always nimekuwa niki date na mabinti wa miaka 19 mpaka 23,yaani mwanamke akiniambia nina below 18 naachana nae na akiniambia nina 23 above naona tatizo la kuja kuniganda mbeleni.

2. Wanawake wengi wa siku hizi nawaona copy sana sijui sababu ya kuishi mijini hata sielewi mwenzenu, so yeyote ninae kutana nae huwa siwatamani zaidi nione ana sura bado mbichi za miaka niliyoitaja hapo juu.

3. Hata nikikaa na mwanamke miaka miwili labda kanivumilia ukivuruge wangu bado age yake ikigonga 24 tu hapo hapo naachana nae, Later naanza kujilaumu kwann nisingekomaa nae labda mind yangu ingechange ningeoa lakini holaa. narud kutafuta age ninazozipenda tena.

4. Toka kuzaliwa sijawah kumpenda mwanamke zaidi nawatamani tu,then tukishakuwa kwenye mahusiano naishia kuwatesa sana kiakili mana mostly of the time anaona sina time nae..Hata mwanamke niliezaa nae aling'ang'ana kupigania penzi lake kwangu lakini ilikuwa ngumu mana sikuwah kumpenda ila yeye alinipenda kiasi kwamba ali risk vitu vingi kwa ajiri yangu.

5. Uwezo wangu wa kawaida kifedha ingawa natoka familia ambayo baba(Daktari) na mama(Mwalimu mkuu) mstaafu wanajiweza kiuchumi vizuri nami naishi kwa kujitegemea ingawa nina backup kubwa sana ya wazazi so naona kama nikioa mwanamke nitampa nini wakat uwezo wangu ni kupata hela ya kula kulipa kodi chumba sebule na kuvaa vya ziada wananipa wazazi.

6. Mentality yangu inaniambia nikioa mambo ya kidunia namwachia nani mana nimezoea muda mwingi kukaa na washikaji kunywa kufurahi kukaa na hao wanawake zangu wengine lakini wakifika age hiyo hapo juu nawa dump.


Ushauri wenu ni muhimu ndugu zangu mana hapa nilipo hata sielew nitafanya nin,sababu nyumbani nikirud kila siku ugomvi na wazazi na dada zangu kila siku simu za kutosha mana mimi wa kiume peke yangu na ndio Last born macho yao wote kwangu.
 
Kinyume cha kuoa ni kuolewa. Kama huwezi kuoa basi olewa.

Kosa ni kuzaliwa wa kiume peke yako kwenye kundi la mabinti. Lazima utakuwa umeambukizwa tabia na dada zako. Probability of an event to occur.
 
Kwa haya mawazo usioe mkuu, utatesa binti wa watu tu.

Hata hivyo kuoa au kuolewa sio jambo la kila mtu.
 
Nimekuwa kijana mwenye umri wa miaka 35 lakin kuna vitu vingi nimekutana navyo ambavyo vimeniharibu kabisa akili mpaka kufika hatua ya kutofikilia kuoa na nimepigana sana na hari hiyo kiukwel mwenzenu nimeshindwa na huku kila siku nagombana na wazazi kuhusu suala hilo lakini ilifika kipindi nikawaambia ukwel kuwa siji kuoa.

Sababu zinazonipelekea huko;

1. Always nimekuwa niki date na mabinti wa miaka 19 mpaka 23,yaani mwanamke akiniambia nina below 18 naachana nae na akiniambia nina 23 above naona tatizo la kuja kuniganda mbeleni.

2. Wanawake wengi wa siku hizi nawaona copy sana sijui sababu ya kuishi mijini hata sielewi mwenzenu, so yeyote ninae kutana nae huwa siwatamani zaidi nione ana sura bado mbichi za miaka niliyoitaja hapo juu.

3. Hata nikikaa na mwanamke miaka miwili labda kanivumilia ukivuruge wangu bado age yake ikigonga 24 tu hapo hapo naachana nae, Later naanza kujilaumu kwann nisingekomaa nae labda mind yangu ingechange ningeoa lakini holaa. narud kutafuta age ninazozipenda tena.

4. Toka kuzaliwa sijawah kumpenda mwanamke zaidi nawatamani tu,then tukishakuwa kwenye mahusiano naishia kuwatesa sana kiakili mana mostly of the time anaona sina time nae..Hata mwanamke niliezaa nae aling'ang'ana kupigania penzi lake kwangu lakini ilikuwa ngumu mana sikuwah kumpenda ila yeye alinipenda kiasi kwamba ali risk vitu vingi kwa ajiri yangu.

5. Uwezo wangu wa kawaida kifedha ingawa natoka familia ambayo baba(Daktari) na mama(Mwalimu mkuu) mstaafu wanajiweza kiuchumi vizuri nami naishi kwa kujitegemea ingawa nina backup kubwa sana ya wazazi so naona kama nikioa mwanamke nitampa nini wakat uwezo wangu ni kupata hela ya kula kulipa kodi chumba sebule na kuvaa vya ziada wananipa wazazi.

6. Mentality yangu inaniambia nikioa mambo ya kidunia namwachia nani mana nimezoea muda mwingi kukaa na washikaji kunywa kufurahi kukaa na hao wanawake zangu wengine lakini wakifika age hiyo hapo juu nawa dump.


Ushauri wenu ni muhimu ndugu zangu mana hapa nilipo hata sielew nitafanya nin,sababu nyumbani nikirud kila siku ugomvi na wazazi na dada zangu kila siku simu za kutosha mana mimi wa kiume peke yangu na ndio Last born macho yao wote kwangu.
Subiri ukue kiakili kwanza ndio uoe na kama hilo litashindikana basi acha kabisa kuoa uendelee kuvivulia boksa vibinti vya miaka 18 mpaka siku ya kiama chako.
FB_IMG_1567086236772.jpeg
 
huyu ni mgonjwa msaidien achen kumkejeli wandugu. mi nikiwa na miaka 15 nishawasahu wazazi yeye anakuambia ana miaka 35 na anaback up kubwa ya wazaz daa huyu anatakiwa kuonana na wataalam wa saikolojia. ninakukumbusha tu una miaka 5 tu ya kufanya maamuz magum vinginevyo umekwisha
 
Pole sana mkuu inaonekana haujapata aliyekudatisha,ila ukifika umri huo na bado unatangatanga bila kuwa na familia basi hautoishi mda mrefu.
 
Kwa umri wako wazazi wako ni wa kulaumiwa sana.


Yani bado unawategemea wazazi,rudi tu kwenu ukazeekee hapo tu.
 
Yaaniiii! bado unawapukutisha wazee wako vipensheni[emoji3][emoji3][emoji3]we ni nowmer!
 
huyu ni mgonjwa msaidien achen kumkejeli wandugu. mi nikiwa na miaka 15 nishawasahu wazazi yeye anakuambia ana miaka 35 na anaback up kubwa ya wazaz daa huyu anatakiwa kuonana na wataalam wa saikolojia. ninakukumbusha tu una miaka 5 tu ya kufanya maamuz magum vinginevyo umekwisha
Ni kweli mkuu. Tatizo ni hii dhana ya kuwa wanaume hawahitaji ndoa.. Umri ukienda ndo wanashtuta hapo sasa anatamani kuoa labda aoe mtu mzima mwenzie, akioa dogodogo, atasumbuka naye kwa kuwa mme anakuwa hawezi kuendana na kasi ya kijana...
 
Bob sijaelewa.

Kwahiyo umepanga chumba na sebule.

Ila kila siku ukirudi nyumbani ugomvi na wazazi na dada zako.

Haya sema ukweli. Umepanga au unaishi kwenu?
 
Kinyume cha kuoa ni kuolewa. Kama huwezi kuoa basi olewa.

Kosa ni kuzaliwa wa kiume peke yako kwenye kundi la mabinti. Lazima utakuwa umeambukizwa tabia na dada zako. Probability of an event to occur.
Kama vipi jitolee nikuoe ww mana hiyo hela ya kukuoa na kukutunza ninayo usije ukawa unatafuta shughuli za kukupa mtaji mjini wakati ta*Ko unalo...Jipendekeze nikuweka ndani
 
35yrs ila bado kwenye maisha yako kuna part unawategemea wazazi??[emoji20][emoji20]usioe kabisa mkuu....Labda atokee mume wakukuoa.
Wazazi wanazo siwaombi muda wote nakuta account inasoma wanaweka tu sasa nifanyeje zaidi ya kutumia...Walaumu wazazi wako ambao walizembea ujanani mwao
 
huyu ni mgonjwa msaidien achen kumkejeli wandugu. mi nikiwa na miaka 15 nishawasahu wazazi yeye anakuambia ana miaka 35 na anaback up kubwa ya wazaz daa huyu anatakiwa kuonana na wataalam wa saikolojia. ninakukumbusha tu una miaka 5 tu ya kufanya maamuz magum vinginevyo umekwisha
Samahani kama sikueleka wazazi ndio wanaweka pesa muda wote katika account zangu siwaombi nao husema sabb mimi ndio wa mwisho inatakiwa kilichochao,nina dada watatu na wote wameolewa na waume wenye ukwasi mrefu ingawa sijawah kuwa karibu nao wala kusaidiana nao.
 
case yako ni ngumu.....
hata upepo wa kisulisuli ukikuona upepo unakimbia wenyewe....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom