Ushauri wenu ni wa muhimu kwangu

Ushauri wenu ni wa muhimu kwangu

kufunga=kuacha pu...???? hapo cjakubl wakat kuna watmish kbao n member

kwani hapa tunazungumuzia watumishi? hapa mleta mada anataka ushauri,wewe mshauri bana sio unaanza oo watumishi sijui nini! kwa hiyo? kufunga,kuomba na kutubia hiyo dhambi kutamsaidia sana maana hapo atakuwa amejiweka karibu naMungu na nijuavyo mimi hakuna alikimbilia kwa Mungu akaaibika kamwe,maana sisi binadamu ni viumbe dhaifu sana bila msaada wa Mungu hatuwezi,so wewe mtoa mada akili kumkichwa.
 
Mapepo hayo

Nenda ukaombewe,

Sio amri yako wala hiari yako, unasukumwa na hayo ma Spiritual wives
 
eti watu8 hata kama mtu ana girlfriend wake anaeza kuwa anapiga pu....

we unasema gf, watu na wake zao wanapiga hii kitu, tatizo wanawake wana mambo sana, utasikia leo nimechoka, mara leo naumwa, niko mwezini etc,ili isiwe tabu mtu anaingia bafuni anajiraha akitoka kalegea na halalamiki tena...
 
Last edited by a moderator:
Kwanza pole. Kwa kweli inahitaji uamzi mgumu kuacha hako kamchezo lakini Amini kuwa unaweza kuacha mwenyewe bila shinikizo lolote, kikubwa fanya mazoezi na ikiwezekana fanya kila siku. JIULIZE KAMA ULIANZA MWENYEWE, KWA NINI USHINDWE MWENYEWE KUACHA?
 
kwani hapa tunazungumuzia watumishi? hapa mleta mada anataka ushauri,wewe mshauri bana sio unaanza oo watumishi sijui nini! kwa hiyo? kufunga,kuomba na kutubia hiyo dhambi kutamsaidia sana maana hapo atakuwa amejiweka karibu naMungu na nijuavyo mimi hakuna alikimbilia kwa Mungu akaaibika kamwe,maana sisi binadamu ni viumbe dhaifu sana bila msaada wa Mungu hatuwezi,so wewe mtoa mada akili kumkichwa.

Asante sana kwa ushauri wako.
 
Kwanza pole. Kwa kweli inahitaji uamzi mgumu kuacha hako kamchezo lakini Amini kuwa unaweza kuacha mwenyewe bila shinikizo lolote, kikubwa fanya mazoezi na ikiwezekana fanya kila siku. JIULIZE KAMA ULIANZA MWENYEWE, KWA NINI USHINDWE MWENYEWE KUACHA?

Asante sana kwa ushauri wako.
 
Back
Top Bottom