Ushauri wenu ni wa muhimu kwangu

Ushauri wenu ni wa muhimu kwangu

Mr big ben

Member
Joined
May 18, 2013
Posts
16
Reaction score
1
Nimekuwa nikifanya wa kupiga p.... Kwa muda mrefu nimejitahidi kujizuia lakin nashindwa wadau nitumie njia gan ili niepukane na tatizo hili, na je nikiendelea kuna madhara gani nisaidien japo kuna watakaonijibu vibaya.
 
Ukiendelea utapoteza uwezo wa kujamiana...kifanyio chako kitatepeta na kuwa kama dekio.
Hakikisha unapunguza muda wa kuwa mwenyewe, epuka vishawishi haswa picha za uchi au ngono, fanya mazoezi, soma maandiko ya Mungu.
 
Maombi ndo kila kitu!!!!! Sali sana ikiwezekana funga juu ya hilo kama ni Mkristo!!!!!!!1
 
mh hebu niwaachie wataalam.........
 
Chosha mwili kwa mazoezi hutakumbuka hiyo kitu.
 
kufunga=kuacha pu...???? hapo cjakubl wakat kuna watmish kbao n member

Kwani shida yake ni kuacha au hao watumishi wanaofanya? na motoni ataenda na hao watumishi? acha utoto bhana...by the way unalala saa ngapi maana kesho kuna mwalimu atahesabisha namba!!!!
 
Nimekuwa nikifanya wa kupiga p.... Kwa muda mrefu nimejitahidi kujizuia lakin nashindwa wadau nitumie njia gan ili niepukane na tatizo hili, na je nikiendelea kuna madhara gani nisaidien japo kuna watakaonijibu vibaya.

One arm will be bigger than the other..
 
Nimekuwa nikifanya wa kupiga p.... Kwa muda mrefu nimejitahidi kujizuia lakin nashindwa wadau nitumie njia gan ili niepukane na tatizo hili, na je nikiendelea kuna madhara gani nisaidien japo kuna watakaonijibu vibaya.

ulivoandika pu.... nimeshindwa kuelewa ni punyeto ama? kama ni punyeto mgoja niseme yafuatayo...

1. tatizo lako sio sio physical ila ni psychological, unahitaji kupunguza kufikiria ngono muda mwingi, au kuangalia picha zinazochochea ashki.

2. tafuta mbadala, usiache ghafla. soma vitabu, fanya mazoezi, jiweke bize ili usipate muda wa kufikiria puli.

3. tafuta mpenzi ambae utafanya nae, itakusaidia sana kupunguza kupiga hii kitu.

4. punguza kukaa doro, au kukaa na marafiki wenye mawazo au mtazamo kama wako


madhara ya punyeto utayaona baadae, sasa hivi utaona raha ila utaona
 
ulivoandika pu.... nimeshindwa kuelewa ni punyeto ama? kama ni punyeto mgoja niseme yafuatayo...

1. tatizo lako sio sio physical ila ni psychological, unahitaji kupunguza kufikiria ngono muda mwingi, au kuangalia picha zinazochochea ashki.

2. tafuta mbadala, usiache ghafla. soma vitabu, fanya mazoezi, jiweke bize ili usipate muda wa kufikiria puli.

3. tafuta mpenzi ambae utafanya nae, itakusaidia sana kupunguza kupiga hii kitu.

4. punguza kukaa doro, au kukaa na marafiki wenye mawazo au mtazamo kama wako

madhara ya punyeto utayaona baadae, sasa hivi utaona raha ila utaona
Asante kwa ushauri wako ndg.
 
ulivoandika pu.... nimeshindwa kuelewa ni punyeto ama? kama ni punyeto mgoja niseme yafuatayo...

1. tatizo lako sio sio physical ila ni psychological, unahitaji kupunguza kufikiria ngono muda mwingi, au kuangalia picha zinazochochea ashki.

2. tafuta mbadala, usiache ghafla. soma vitabu, fanya mazoezi, jiweke bize ili usipate muda wa kufikiria puli.

3. tafuta mpenzi ambae utafanya nae, itakusaidia sana kupunguza kupiga hii kitu.

4. punguza kukaa doro, au kukaa na marafiki wenye mawazo au mtazamo kama wako


madhara ya punyeto utayaona baadae, sasa hivi utaona raha ila utaona
 
We endelea tu maana kama umeshindwa kujikataza na kujionea huruma mwenyewe sisi tutawezaje? Endelea kubomoa mwili wako mwenyewe kwa raha zako.
 
Ukiendelea utapoteza uwezo wa kujamiana...kifanyio chako kitatepeta na kuwa kama dekio.
Hakikisha unapunguza muda wa kuwa mwenyewe, epuka vishawishi haswa picha za uchi au ngono, fanya mazoezi, soma maandiko ya Mungu.

eti watu8 hata kama mtu ana girlfriend wake anaeza kuwa anapiga pu....
 
Last edited by a moderator:
We endelea tu maana kama umeshindwa kujikataza na kujionea huruma mwenyewe sisi tutawezaje? Endelea kubomoa mwili wako mwenyewe kwa raha zako.

ameshindwa kujikataza ndo maana kaja kuomba ushauri wa namna ya kuacha koz effort zake zimeshindikana
 
eti watu8 hata kama mtu ana girlfriend wake anaeza kuwa anapiga pu....

Hahahah...hilo swali nadhani kila mtu atakuwa na jibu lake...
Kimsingi kupiga puli ni kama addiction au aina fulani ya matatizo ya kisaikolojia...
 
Last edited by a moderator:
Jitahidi kwa kila hali uachane na mchezo huo.
 
Ukiendelea utapoteza uwezo wa kujamiana...kifanyio chako kitatepeta na kuwa kama dekio.
Hakikisha unapunguza muda wa kuwa mwenyewe, epuka vishawishi haswa picha za uchi au ngono, fanya mazoezi, soma maandiko ya Mungu.

Nadhani watu8 amemaliza kila kitu. Chukua ushauri huo uko sahihi,labda kama kuna nyongeza hapo.
 
Back
Top Bottom