Mkali manyox
Senior Member
- Sep 7, 2019
- 143
- 154
Wakuu nawasalimia na nawaombea kwa wale wote walio single waweze pitiwa na upepo unaovuma katika nyanda za milima ya moto.
Back to the point, hili jambo limeniwazisha sana. Iko hivi.. kuna dada nilimzalisha miaka hiyo ya kipindi mkwere anaachia nchi, by that time sikuwa na mpango wa kumuoa kwani ndio kwanza nina safar ndefu ya kusoma na ndio kwanza nilikuwa six na hata mpaka anajifungua hakunambia kuwa ana ujauzito wangu, ila hilo sikutia shaka kwamba mimba si yangu kwani mtoto alizaliwa na alinifanania haswa.
Kwa kipindi hicho nilikuwa na dada flani tulikuwa tunapendana sanaa na tumekaa almost 5 years kwa hiyo sikuwa na attention sanaa kwa niliyezaa nae. Unfortunately, manzi niliemuelewa kaolewa mwaka huu na njembaa nyingine baada ya ugomvi wa mara kwa mara kutokana na kuwa mbali.
Baada ya mtoto kunyakuliwa na upepo wa kisulisuli, nikaamua sasa nirudi kwa mama watoto na nikarud full tukayajenga na kuanza maisha mapya ya mapenzi japo napo umbali ukawa ni tatizo. Wakati bado tukiwa kwenye mahusiano nikamuahidi hii December nataka kwenda jitambulisha na kutoa mahari ili nimchukue kabisa awe mke.
Baada ya kumtangazia hayo hivi majuzi kama mnavyojua hii mitandao ya kijamii ina expose vitu vingi sanabalikuea anapost jumbe za kuumizwa kimapenzibalmost one week, nilifikiria kwa nini atume jumbe hizo wakati hatuna ugomvi kwenye haya mahusiano? Basi baada ya kuona jumbe zimekuwa nyingi status nikaamua kumpa pole ya kuumizwa. Reaction yake ilinipa hofu zaidi ikabidi sasa nijifanye kuwa nime trap kila kitu kwenye simu yake na najua A-Z ujinga anaoufanya.
Kwa kweli aliogopa sana na kuanza kujitetea kuwa huwa si yeye anayetumia simu hiyo ila kuna rafik yake anamwazimisha ili kuchati na mpenzi wake. Sikutaka kukubali kirahisi ikabidi niwe na standing point ili kuujua ukweli zaidi. Nilimbana sana ila hakutaka kusema ukweli na aliishia kuomba tu msamaha ila hapa nikaanza kuwa na mashaka ni kwanini aombe msamaha kwa kitu ambacho hajatenda?
Kilichonikatisha tamaa ni juzi sina hili wala lile nikaona kampost kwa status kijana flani wa makamo tu kavalia kichungaji na baada ya muda kamuweka DP, nikavuta picha tu kuwa kuna kipnd alikua ananiambia kuwa anaenda kwenye maombezi kila jion na haikuwa kawaida yake, ila mimi nilimpiga ban kwani najua madhambi hao watu wanaofanya kwa mwavuli wa maombi.
So direct nikaona ndo huyo jamaa ambaye yuko nae kwa sasa. Sasa kwa vile hapa najua kuna watu waliotangulia jua wana chochote cha kunishauri kuhusiana na hili. Je anafaa kuwa mke au nimuache abakie single mother na mimi niendeee na mambo mengine? Kwani naona haya mambo yananiumiza kichwa tu?
Suala la hand writing mnivumilie tu coz huku kuna baridi so vidole vina ganzi.
Back to the point, hili jambo limeniwazisha sana. Iko hivi.. kuna dada nilimzalisha miaka hiyo ya kipindi mkwere anaachia nchi, by that time sikuwa na mpango wa kumuoa kwani ndio kwanza nina safar ndefu ya kusoma na ndio kwanza nilikuwa six na hata mpaka anajifungua hakunambia kuwa ana ujauzito wangu, ila hilo sikutia shaka kwamba mimba si yangu kwani mtoto alizaliwa na alinifanania haswa.
Kwa kipindi hicho nilikuwa na dada flani tulikuwa tunapendana sanaa na tumekaa almost 5 years kwa hiyo sikuwa na attention sanaa kwa niliyezaa nae. Unfortunately, manzi niliemuelewa kaolewa mwaka huu na njembaa nyingine baada ya ugomvi wa mara kwa mara kutokana na kuwa mbali.
Baada ya mtoto kunyakuliwa na upepo wa kisulisuli, nikaamua sasa nirudi kwa mama watoto na nikarud full tukayajenga na kuanza maisha mapya ya mapenzi japo napo umbali ukawa ni tatizo. Wakati bado tukiwa kwenye mahusiano nikamuahidi hii December nataka kwenda jitambulisha na kutoa mahari ili nimchukue kabisa awe mke.
Baada ya kumtangazia hayo hivi majuzi kama mnavyojua hii mitandao ya kijamii ina expose vitu vingi sanabalikuea anapost jumbe za kuumizwa kimapenzibalmost one week, nilifikiria kwa nini atume jumbe hizo wakati hatuna ugomvi kwenye haya mahusiano? Basi baada ya kuona jumbe zimekuwa nyingi status nikaamua kumpa pole ya kuumizwa. Reaction yake ilinipa hofu zaidi ikabidi sasa nijifanye kuwa nime trap kila kitu kwenye simu yake na najua A-Z ujinga anaoufanya.
Kwa kweli aliogopa sana na kuanza kujitetea kuwa huwa si yeye anayetumia simu hiyo ila kuna rafik yake anamwazimisha ili kuchati na mpenzi wake. Sikutaka kukubali kirahisi ikabidi niwe na standing point ili kuujua ukweli zaidi. Nilimbana sana ila hakutaka kusema ukweli na aliishia kuomba tu msamaha ila hapa nikaanza kuwa na mashaka ni kwanini aombe msamaha kwa kitu ambacho hajatenda?
Kilichonikatisha tamaa ni juzi sina hili wala lile nikaona kampost kwa status kijana flani wa makamo tu kavalia kichungaji na baada ya muda kamuweka DP, nikavuta picha tu kuwa kuna kipnd alikua ananiambia kuwa anaenda kwenye maombezi kila jion na haikuwa kawaida yake, ila mimi nilimpiga ban kwani najua madhambi hao watu wanaofanya kwa mwavuli wa maombi.
So direct nikaona ndo huyo jamaa ambaye yuko nae kwa sasa. Sasa kwa vile hapa najua kuna watu waliotangulia jua wana chochote cha kunishauri kuhusiana na hili. Je anafaa kuwa mke au nimuache abakie single mother na mimi niendeee na mambo mengine? Kwani naona haya mambo yananiumiza kichwa tu?
Suala la hand writing mnivumilie tu coz huku kuna baridi so vidole vina ganzi.