Ushauri wenu muhimu

Ushauri wenu muhimu

Wakati wa kichapo nlikuwa najitahidi kumpa majeraha madogo madogo, kama kumng'ata, kumtoboa na pini, yani kichapo kikiisha kila mtu anaugulia maumivu...Halafu shost mapenzi ya kupigwa yapo sana, me nlikuwa nasemaga kama wewe wakati bado sijakutana na huyu bondia wangu, ila nikajiuliza nitaacha wangapi? Halafu kupigwa na kusalitiwa bora nini? Naweza kumzuia asinipige kwa kufanya anavyotaka lakini siwezi kumzuia asichepuke kama ni hulka yake
Ila kusema ukweli kipigo kimeninyoosha, nimekuwa na adabu haswa.

Usiseme ivo bwana wengine apa wakiona ivi wataanza kutupiga.
 
Wanawake wa mkoa wa mara usipo mpiga anahisi auna mpz ya dhati kwake pengine unamsaliti xo kipigo ndo habar ya town!.
 
Wakati wa kichapo nlikuwa najitahidi kumpa majeraha madogo madogo, kama kumng'ata, kumtoboa na pini, yani kichapo kikiisha kila mtu anaugulia maumivu...Halafu shost mapenzi ya kupigwa yapo sana, me nlikuwa nasemaga kama wewe wakati bado sijakutana na huyu bondia wangu, ila nikajiuliza nitaacha wangapi? Halafu kupigwa na kusalitiwa bora nini? Naweza kumzuia asinipige kwa kufanya anavyotaka lakini siwezi kumzuia asichepuke kama ni hulka yake
Ila kusema ukweli kipigo kimeninyoosha, nimekuwa na adabu haswa.

haya bibie na bondia wako kila a kheri,... mimi kupigwa loh siwezi kwa kweli... any way nisiseme mengi isijekuwa nimekwama alafu nasema hivyo ... ila kwa kuwa sipendi kupigwa naomba Mungu sinipe bondia tu
 
Wakati wa kichapo nlikuwa najitahidi kumpa majeraha madogo madogo, kama kumng'ata, kumtoboa na pini, yani kichapo kikiisha kila mtu anaugulia maumivu...Halafu shost mapenzi ya kupigwa yapo sana, me nlikuwa nasemaga kama wewe wakati bado sijakutana na huyu bondia wangu, ila nikajiuliza nitaacha wangapi? Halafu kupigwa na kusalitiwa bora nini? Naweza kumzuia asinipige kwa kufanya anavyotaka lakini siwezi kumzuia asichepuke kama ni hulka yake
Ila kusema ukweli kipigo kimeninyoosha, nimekuwa na adabu haswa.

...umenikumbusha nyuma nilikuwa na mtu wa aina hiyo, jamani hicho kichapo nilichokuwa napata kim asikuambie mtu! ..nakumbuka nilikuwa mpaka navaa ma-pull neck na longsleeves kuficha alama, yaani hata kwa bahati mbaya nikaulizwa "umefanya nini hapo?" Nilikuwa naishia kusema nilianguka...nimejigonga... visingizio vingi.
..wanawake kweli tuna huruma! Pamoja na hayo bado nilirudi kila alipokuwa anaomba msamaha kwa kulia.. huwa najiuliza sana ni kitu gani hicho kisichoweza kutatuliwa kwa kuzungumza mpaka mdundane
 
Ata mke hapigwi. Mambo ya kupigwa wengine mnajitakia wenyewe mkipigwa mnanyamaza kimya mnabembelezwa kesho mahaba motomoto. Mwanaume akikupiga mpeleke polisi alale ata siku tatu
 
...umenikumbusha nyuma nilikuwa na mtu wa aina hiyo, jamani hicho kichapo nilichokuwa napata kim asikuambie mtu! ..nakumbuka nilikuwa mpaka navaa ma-pull neck na longsleeves kuficha alama, yaani hata kwa bahati mbaya nikaulizwa "umefanya nini hapo?" Nilikuwa naishia kusema nilianguka...nimejigonga... visingizio vingi.
..wanawake kweli tuna huruma! Pamoja na hayo bado nilirudi kila alipokuwa anaomba msamaha kwa kulia.. huwa najiuliza sana ni kitu gani hicho kisichoweza kutatuliwa kwa kuzungumza mpaka mdundane

Nimeshindwa ku like post yako kwakuwa nitaonekana kama vile nimekipenda hicho alichokuwa anakufanyia huyo jamaa

Nataka kukuambia kuwa pole sana,lakini kikubwa zaidi ni kuwa wafujaji ni wazuri sana wa kuomba msamaha na kulia,wanalia kwasababu wanakuwa wanaona mtumwa wao anataka kuondoka na watakosa wa kumfuja hivyo hutumia kila mbinu kukufanya urudi ili waendelee kukufuja na sio kuwa kwa kulia anajutia alichokifanya na anakupenda

Ukikutana na mtu wa aina hiyo kimbia sana!
 
Ata mke hapigwi. Mambo ya kupigwa wengine mnajitakia wenyewe mkipigwa mnanyamaza kimya mnabembelezwa kesho mahaba motomoto. Mwanaume akikupiga mpeleke polisi alale ata siku tatu

Subiri ukue ndio uje hapa useme haya!
 
Nimeshindwa ku like post yako kwakuwa nitaonekana kama vile nimekipenda hicho alichokuwa anakufanyia huyo jamaa

Nataka kukuambia kuwa pole sana,lakini kikubwa zaidi ni kuwa wafujaji ni wazuri sana wa kuomba msamaha na kulia,wanalia kwasababu wanakuwa wanaona mtumwa wao anataka kuondoka na watakosa wa kumfuja hivyo hutumia kila mbinu kukufanya urudi ili waendelee kukufuja na sio kuwa kwa kulia anajutia alichokifanya na anakupenda

Ukikutana na mtu wa aina hiyo kimbia sana!

Nilishapoa baba paroko.... nilikimbia mbona.. maana mh! Kisa cha kutoka na kilema mtoto wa watu ni nini?!
 
Hata nikikua aisee itabaki hivo kama sio kukulaza polisi basi wote tutapelekana hosptal

Nina sababu kubwa sana ninapokuambia hivyo

Kuwa mvumilivu tu na utakuja kujua!
 
Nina sababu kubwa sana ninapokuambia hivyo

Kuwa mvumilivu tu na utakuja kujua!

Sawa kaka ila ndani ya moyo wangu nimeshasema no to domestic violence na ukiangalia matukio mengi wanawake wenyewe ndio wanayapokea na kuyakubali.
Kuna kupigwa kibao kimoja ama viwili kitu ambacho si kibaya ila sio unapigwa mpaka unashindwa kutoka nje, umevunjwa mkono sura imevimba kama alikua anapiga mwizi. Katika hali kama hiyo huwezi kusema hayo ni mapenzi
 
Wanawake wa mkoa wa mara usipo mpiga anahisi auna mpz ya dhati kwake pengine unamsaliti xo kipigo ndo habar ya town!.

No research no right to speak, we ni wa Mara au ni miongoni mwa propagandists, shuka ground ufanye utafiti wa kina mkuu.
 
Back
Top Bottom