Ushauri wenu muhimu

Ushauri wenu muhimu

By the way mi siyo muumini sana wa hiyo imani ya kupiga mtu mzima eti kisa kakukosea.....utawapiga wangapi sasa???!!!!busara ni kumaliza tofauti zenu kistaarabu tu..unamdunda halafu unategemea kesho akuoe tamtam
 
kwa kuwa dunia kuna mengi yawezekana wapo wanaopigwa na wanaume wao ....................kwa kweli akinipiga nitamvizia usiku nilipize siwezi kubali kupigwa na mpenzi hata mume kwa nini afanye hivyo loh? nitajifanya ninaota usiku nimng'ate loh ,........

kichapo utakula na humvizii mtu. Ntakuvuruga mpaka uwe nusu mfu
 
By the way mi siyo muumini sana wa hiyo imani ya kupiga mtu mzima eti kisa kakukosea.....utawapiga wangapi sasa???!!!!busara ni kumaliza tofauti zenu kistaarabu tu..unamdunda halafu unategemea kesho akuoe tamtam

Wewe ndugu hujawahi kuudhiwa,hakuna mtu anaepanga kupiga! unashtukia ushapiga vibao saba kwa mpigo.mimi wapenzi nimechapa sana fimbo na vibao.kama ananipenda abaki kama hapendi aende.
 
kichapo utakula na humvizii mtu. Ntakuvuruga mpaka uwe nusu mfu

mpaka univuruge niwe nusu mfu sioni uvungu wa kitanda na kabati nikaingia huko wala hata siogopi... najificha afu usiku nakufuata uone
 
Wewe ndugu hujawahi kuudhiwa,hakuna mtu anaepanga kupiga! unashtukia ushapiga vibao saba kwa mpigo.mimi wapenzi nimechapa sana fimbo na vibao.kama ananipenda abaki kama hapendi aende.

labda kama ni mkurya sawa... mimi ukinipiga nakuacha siku hiyo hiyo
 
Namwomba Mungu nisikutane na mtu mpenda ugomvi kwa maana najua jinsi nilivyo na hasira ntafanya zero ground eneo La tukio
 
Mpaka ananyanyua mguu na kukupiga teke au mangumi .Nikwamba amekosa lugha zote na njia zote za kuniambia nimekosea jambo. Is a humiliation kwakweli hili sio jambo zuri binafsi sitoweza
 
Ni kukosekana kwa maelewano baina ya wawili..binafsi nilishawahi kukutana na mtu wa hivyo..ila nikamwambia nikinyoosha njia nikiondoka ndo mwisho,so siku amenislap..niliondokaa bila kuaga mpaka leo...kumpiga mtu sio suluhu,
 
Ni kukosekana kwa maelewano baina ya wawili..binafsi nilishawahi kukutana na mtu wa hivyo..ila nikamwambia nikinyoosha njia nikiondoka ndo mwisho,so siku amenislap..niliondokaa bila kuaga mpaka leo...kumpiga mtu sio suluhu,

Hukumpenda.mimi napiga na wanarudi wakikumbuka mgegedo.
 
Hakika Hujaelewa Comment Yangu,
Hivi Anaefaa kuwa mke ni yule anayesubiri kupigwa??Wallah Patachimbika Nguo Kuchanika

Aah kumbe hufai? ila mimi nilikuwa napiga wanasusa ila wakikumbuka tu mgegedo ninaowapa wenyewe wanarudi.
 
Aaahh ...Wapi huo ni uongo

Hujampata wa kukukuna wewe!! akikupiga hata bila kosa utasema nipige tu mpenzi ila USINIACHE!!! Mi nilikuwa nabutua na bakora juu kesho anakuja anajichekesha ananimbia 'basi njoo uguse hata kidogo'
 
kwa hiyo wakati unapokea kichapo unakuwa unafanya nini? mapenzi ya kupigwa siwezi loh

Wakati wa kichapo nlikuwa najitahidi kumpa majeraha madogo madogo, kama kumng'ata, kumtoboa na pini, yani kichapo kikiisha kila mtu anaugulia maumivu...Halafu shost mapenzi ya kupigwa yapo sana, me nlikuwa nasemaga kama wewe wakati bado sijakutana na huyu bondia wangu, ila nikajiuliza nitaacha wangapi? Halafu kupigwa na kusalitiwa bora nini? Naweza kumzuia asinipige kwa kufanya anavyotaka lakini siwezi kumzuia asichepuke kama ni hulka yake
Ila kusema ukweli kipigo kimeninyoosha, nimekuwa na adabu haswa.
 
Back
Top Bottom